Boresha Radio

Boresha Radio Online Platform for Non Mainstream Art and Educational Programs • • Gusa Website boresha.live Sikiliza Boresha Radio

16/10/2025

Jana usiku, YouTube ilizima global nzima kwa dakika 90! 😱
Ulihisi ni WiFi yako imekufa, au ulikimbilia X (Twitter) kuthibitisha? 😂
Tuambie 👇



16/10/2025

"Asilimia kubwa ya wanawake hawawezi kuvumilia mwanaume asiye na nguvu za kiume 😔
Si kwa sababu wanapenda tamaa, bali kwa sababu wanahitaji kujisikia wanapendwa, kuthaminiwa na kuridhishwa kimwili na kihisia ❤️
Mapenzi sio maneno tu — ni vitendo pia."


16/10/2025

"Mwanamke anayekupenda kwa dhati na ana future na wewe 🙏❤️
Hata k**a ana shida, hatakuwa wa kukuomba hela hovyo hovyo 💵
Atajitahidi kwanza, kwa sababu anajua thamani yako na anaheshimu juhudi zako.
Mapenzi ya kweli hayajengwi kwa kuomba — yanajengwa kwa kuelewana na kusaidiana 🤝"


Tazama mazungumzo ya kipekee na mmoja wa washikaji wakali katika ulimwengu wa ushereheshaji: MC LIZ B!Jua mengi kuhusu s...
15/10/2025




Tazama mazungumzo ya kipekee na mmoja wa washikaji wakali katika ulimwengu wa ushereheshaji: MC LIZ B!
Jua mengi kuhusu safari yake, uzoefu wake, changamoto, na siri za mafanikio k**a
Mshehereshaji. Atajibu maswali yote muhimu kuhusu kazi yake!
Tune in, jifunze, na pata burudani.

Host🎙️: Limmy_ip

Guest🗣️: Liz B

🎧 Tusikilize kila siku Jumatatu-Ijumaa
🕗 Saa 3:00Pm hadi 5:00Pm
📱Kupitia Online Radio Platforms - Tafuta Boresha Radio



Raila Amolo Odinga (7 Januari 1945 – 15 Oktoba 2025)Kenya 🇰🇪Raila Odinga alizaliwa katika hospitali ya Kanisa Missionary...
15/10/2025

Raila Amolo Odinga (7 Januari 1945 – 15 Oktoba 2025)
Kenya 🇰🇪

Raila Odinga alizaliwa katika hospitali ya Kanisa Missionary Society, Maseno, kaunti ya Kisumu, Kenya. Mwenzi wa Mary Juma Odinga na Jaramogi Oginga Odinga, aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Kenya.

Elimu & Kazi ya Awali
Alisoma shule za msingi na sekondari nchini Kenya, kisha akapewa msaada wa kusoma nchini Ujerumani, ambapo mwaka 1970 alipata shahada ya Uzamili (MSc) katika Uhandisi (Mechanical Engineering) kutoka Chuo cha Magdeburg (sasa sehemu ya Otto von Guericke University) . Baada ya kumaliza, alirejea Kenya na kufanya kazi kwenye Chuo cha Nairobi na pia Baureau ya Viwango ya Kenya (Kenya Bureau of Standards).

Kwa Siasa
Raila alikuwa mmoja wa viongozi wakuu wa upinzani na mwandishi wa siasa za mageuzi nchini Kenya. Alikuwa Mbunge wa Langata kuanzia 1992 hadi 2013.
Miongoni mwa nyadhifa alizoshikilia:

Waziri wa Nishati (2001–2002)

Waziri wa Barabara, kazi za Umma na Makazi (2003–2005)

Kiongozi wa Chama cha Orange Democratic Movement (ODM)

Kampeni za Urais: Raila alipigania urais mara tano bila kufanikiwa, na mara nyingi akadai kupigwa kura haramu.

Kwenye mkataba wa 2008 baada ya matokeo ya uchaguzi wa 2007, walikuwa na serikali ya muungano na Rais Mwai Kibaki, Raila akawa Waziri Mkuu wa Kenya 2008–2013.

Kifo
Raila Odinga alifariki dunia tarehe 15 Oktoba 2025, akiwa na umri wa miaka 80, kutokana na mshtuko wa moyo alipotibiwa India.







14/10/2025

Happy Nyerere Day! 🇹🇿
Bado tunaishi kwa busara zako Mwalimu Julius K. Nyerere. Ni wazi tunahitaji kiongozi atakaye simama imara dhidi ya rushwa – adui mkubwa wa haki na maendeleo, atakayetoa kipaumbele kwa wananchi kupitia elimu, afya, kazi na ajira.
Tunahitaji pia kiongozi atakayekemea udini na ukabila, kwa ajili ya umoja wa taifa letu. 🙏🏾

13/10/2025

“Tusiwe na mtazamo finyu… sio kila single mother ana ndoto ya kurudi kwa aliyempa mimba. Wengine walishajifunza, wakaendelea na maisha yao kwa amani.



10/10/2025

Provider? Hapana, tupo kwenye kizazi cha usawa!” ✊
Sio lazima mtu mmoja abebe mzigo wote — mapenzi, maisha, na mafanikio ni ushirikiano.
Tumeamka, tunashirikiana, tunainuana! 💯

#

10/10/2025

Usisubiri kuwa na kila kitu ndio uanze, mafanikio huanza na hatua ndogo.
Kila unachonacho sasa hivi kinaweza kukufikisha mbali ukikiamini.
Wengi wanangoja “wakati sahihi” bila kujua wakati wenyewe ni sasa

10/10/2025

Siku ya kawaida shuleni Florida iligeuka kuwa taharuki kubwa 😳
Mwanafunzi wa miaka 13 aliandika ujumbe hatari kupitia ChatGPT — na mfumo wa ufuatiliaji ukamuanika papo hapo!

Je, hii ni hatua bora ya kulinda usalama au uvunjifu wa faragha za wanafunzi? 🤔

ane Goodall (Aprili 3, 1934 – Oktoba 1, 2025) amefariki dunia 🕊️. Alijulikana duniani kote kwa tafiti zake za sokwe pori...
02/10/2025

ane Goodall (Aprili 3, 1934 – Oktoba 1, 2025) amefariki dunia 🕊️. Alijulikana duniani kote kwa tafiti zake za sokwe pori Gombe, Tanzania 🇹🇿, ambazo zilibadilisha uelewa wa uhusiano kati ya binadamu na wanyama. Urithi wake katika uhifadhi wa mazingira utaendelea kuishi milele."

29/09/2025

Culture Code .radio
“Muda huu wasanii ndio maproducer!” – Vinny Vinubi akifunguka kuhusu changamoto za malipo ya asilimia 10 kwa kila ngoma baada ya studio session, na jinsi taratibu hizi hazifuatwi mara nyingi kwenye muziki wa Tanzania.

Address

Mbezi Beach
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Boresha Radio posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Boresha Radio:

Share