22/09/2014
Katika pita pita zangu hamad!!, nakutana na hii
Wenzetu wa Scottish wamepiga kura kukataa kujitenga na UK kwa sababu wanajua umuhimu wa kuungana. Watanzania tujifunze kutoka kwao sio kutanguliza ubinafsi. Udumu Muungano na serikali zetu mbili. Watanzania tusikubali kuyumbishwa na upinzani. Tusome kwa makini historia na kutafuta ukweli. Si kushabikia maandamano. Then what???
tia neno na ww basi mchana mwema