DUX Entertainment

DUX Entertainment *dux entertainment*

ipo kwaajili yako kwa kukupatia habari na taarifa zote za burudani za ndani na nje ya nchi๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ

Pia tupo kwaajiri ya kutangaza matangazo ya kila aina๐Ÿ”ฅkaribu tukuhudumie
โ˜Ž๏ธ0656266330

โšซMkuu wa Wilaya ya Bagamoyo Mhe Shaibu Ndemanga ametembelea Hospitali ya Wilaya ya Bagamoyo kwa lengo la kuwajulia Hali ...
21/11/2025

โšซMkuu wa Wilaya ya Bagamoyo Mhe Shaibu Ndemanga ametembelea Hospitali ya Wilaya ya Bagamoyo kwa lengo la kuwajulia Hali Wanafunzi wa Shule ya Msingi Jitegemee na Majengo waliopata Changamoto ya ajali ya kuanguka kwa Mti katika Shule hiyo.

Mhe Ndemanga alipata nafasi ya Kutoa pole kwa Wazazi wa Wanafunzi hao ambao walipata changamoto hiyo Leo Novemba 20,2025 wakati wakiwa shuleni muda wa Mapumziko na kudondoka kwa Mti huo wa Muembe huku watoto hao wakiwa pembezoni mwa Mti huo.

Kwa Mujibu wa Taarifa ya Daktari wa Hospitali hiyo ya Wilaya wanafunzi hao walifikishwa Hospitalini hapo wakiwa 6 wanafunzi watano wa shule ya Msingi Jitegemee na Mmoja wa Shule ya Msingi Majengo huku akibainisha hali zao za kiafya zipo vizuri hakuna aliepata majeraha makubwa na taratibu za Kuwapatia huduma Zinaendelea.

Aidha Mhe Mkuu Wilaya ametoa maelekezo kwa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji kuhakikisha Wanashirikiana na Uongozi wa Shule pamoja na Afisa Elimu Awali na Msingi wanatoa miti yote ambayo inaweza kuleta athari shuleni hapo na kukatwa kwa mti ambao umedondoka.

Pia Mhe Mkuu wa Wilaya ametoa rai kwa Wananchi wote kuacha kutoa taarifa ambazo zinazua taharuki kwa Jamii na badala yake kusubiri taarifa kutoka kwa Wahusika kuhusu mambo yote yanaendelea na kutokea katika Wilaya kw ujumla..

repost from

Mzizima Derby  baada ya maboresho ya Ratiba ya NBC PL ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ 2025-26:Simba Sc ๐Ÿ†š Azam Fc๐Ÿ—“๏ธ Disemba 6, 2025โฐ Saa 12 na nusu Ji...
17/11/2025

Mzizima Derby baada ya maboresho ya Ratiba ya NBC PL ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ 2025-26:

Simba Sc ๐Ÿ†š Azam Fc
๐Ÿ—“๏ธ Disemba 6, 2025
โฐ Saa 12 na nusu Jioni
๐ŸŸ๏ธ Benjamin Mkapa

Azam Fc ๐Ÿ†š Simba Sc
โฐ ๐Ÿ—“๏ธ Itapangwa
๐ŸŸ๏ธ Azam Complex

  wanabagamoyo ni muda wa kuonesha umoja kwa pamoja tuungane tukakimbie๐Ÿƒ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒโ€โ™‚๏ธCrown Media Bagamoyo, Tanzania
15/11/2025



wanabagamoyo ni muda wa kuonesha umoja kwa pamoja tuungane tukakimbie๐Ÿƒ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒโ€โ™‚๏ธ
Crown Media Bagamoyo, Tanzania

Mtangazaji wa kipindi cha Michezo CROWN SPORTS na JOGA BONITO  kutoka CROWN MEDIA  ametangazwa rasmi kuwa Afisa habari w...
16/10/2025

Mtangazaji wa kipindi cha Michezo CROWN SPORTS na JOGA BONITO kutoka CROWN MEDIA ametangazwa rasmi kuwa Afisa habari wa klabu ya BIGMAN FC inayoshiriki ligi daraja la kwanza (Championship)

Familia ya Wanamichezo na wafanyakazi wote wa CROWN MEDIA inakupongeza sana Mkali wa Dimba kwa majukumu mapya.

Sikiliza CROWN FM kupitia 92.1 Mhz, Radio Box & Radio Garden tafuta CROWN FM. Tutazame Live kupitia YOUTUBE channel yetu CROWN MEDIA na kwenye Kisimbuzi cha Azam TV ni chaneli namba 67.

Mwanamke mwenye umri wa miaka 105 aitwaye Kathleen Hennings kutoka nchini Uingereza amesema siri ya kuishi maisha marefu...
16/10/2025

Mwanamke mwenye umri wa miaka 105 aitwaye Kathleen Hennings kutoka nchini Uingereza amesema siri ya kuishi maisha marefu ni rahisi tu, kubaki msela na kunywa bia kwani humfanya ajisikie kuwa na amani na furaha muda wote.

Kathleen amekuwa akifurahia kinywaji hicho cha Guiness cha Kiairish tangu akiwa kijana na anasema ndicho kimechangia afya na furaha yake. Wakati wa kusherehekea siku yake ya kuzaliwa ya miaka 105, kampuni ya Guinness ilimtumia zawadi maalumu yenye bia na vitu mbalimbali.

Kathleen, ambaye hakuwahi kuolewa, alitania kwamba kuepuka msongo wa mahusiano kumemsaidia kuishi muda mrefu zaidi. Watu waliomzunguka wanasema uchangamfu wake, uhuru wake, na upendo wake maisha ndio siri kuu inayomfanya aendelee kuwa na nguvu na furaha hadi leo.

Shabiki ajichora tattoo yenye jina la Nandy kwenye shingo lake.Kwa upande wako unaweza kuchora tattoo ya msanii gani una...
16/10/2025

Shabiki ajichora tattoo yenye jina la Nandy kwenye shingo lake.

Kwa upande wako unaweza kuchora tattoo ya msanii gani unaemkubali..?

๐Ÿšจ ๐‡๐€๐๐€ ๐๐ƒ๐ˆ๐๐Ž ๐‡๐€๐๐€๐‘๐ˆ ๐’๐€๐‡๐ˆ๐‡ ๐๐„๐Š๐„๐„! ๐ŸคKocha kutoka Bulgaria, Dimitar Nikolaev Pantev, amekubali kuwa kocha mkuu mpya wa vigo...
05/10/2025

๐Ÿšจ ๐‡๐€๐๐€ ๐๐ƒ๐ˆ๐๐Ž ๐‡๐€๐๐€๐‘๐ˆ ๐’๐€๐‡๐ˆ๐‡ ๐๐„๐Š๐„๐„! ๐Ÿค

Kocha kutoka Bulgaria, Dimitar Nikolaev Pantev, amekubali kuwa kocha mkuu mpya wa vigogo wa Tanzania, Simba SC! ๐Ÿ‘”๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ฌ

Amesaini mkataba wa miaka miwili hadi Juni 2027.

Simba imelipa fidia kwa Gaborone United ili kumuachia.

Pantev atatua Dar es Salaam kesho, tayari tiketi imekatiwa.

Atakuja na kocha msaidizi mmoja pekee, kwa sababu mikataba ya benchi kubwa la ufundi wa Simba inaisha Juni.

Klabu imeamua kuendelea nao kwa sasa na kumpa Pantev nafasi ya kuamua nani ataendelea naye baada ya Juni.

Katika umri wa miaka 49, Pantev tayari ameshinda mataji ya ligi nchini Cameroon (Victoria United) na Botswana (Gaborone United).

Mshindi wa kweli, sasa yupo tayari kwa changamoto ya Simba! ๐Ÿฆ

Imekamilika. Hii ndiyo habari mpya ya kocha wenu, mashabiki wa Simba!

Unazungumziaje uteuzi huu? ๐Ÿ‘€

Credit- Micky Jnr

BREAKING ๐Ÿ”ด: Vilabu mbalimbali kutoka nchini Uingereza vipo tayari kupitisha azimio la kupinga mpango wa kusapoti mapenzi...
05/10/2025

BREAKING ๐Ÿ”ด: Vilabu mbalimbali kutoka nchini Uingereza vipo tayari kupitisha azimio la kupinga mpango wa kusapoti mapenzi ya jinsia moja ๐Ÿณ๏ธโ€๐ŸŒˆ kwenye michezo ya ligi kuu.

Mpango huo upo kimkakati kwasababu wachezaji wengi wamepiga kura za maoni na hawafurahishwi na harakati za kusapoti ushoga hali ya kuwa wao wanachukia pia.

Baadhi ya vilabu vikubwa kutoka Premier League ndio vinaongoza harakati hizo, wakiongozwa na Manchester City ambao tayari washaweka wazi hawasapoti masuala ya mapenzi ya jinsia moja tena kwenye jezi zao Wala kwenye uwanja wao.

RARIBA YA MECHI KALI ZA LEOToday's Fixtures Friday, Sep, 26.๐ŸŒ TotalEnergies CAF Champions League18:00 ๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ฒZilimadjou ๐Ÿ†š Rem...
26/09/2025

RARIBA YA MECHI KALI ZA LEO
Today's Fixtures Friday, Sep, 26.

๐ŸŒ TotalEnergies CAF Champions League
18:00 ๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ฒZilimadjou ๐Ÿ†š Remo Stars๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ฌ

๐ŸŒ CAF CONFEDERATION CUP
16:00 AS fanalamanga๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฌ ๐Ÿ†š Ferroviario Maputo ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฟ

16:00 ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ฟRoyal Leopards ๐Ÿ†š Young Africans ๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ฆ

16:15 ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ KMKM Port ( ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ฏ)

19:30: ๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ณHafia ๐Ÿ†š Bhanta๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ฑ

20:00 ๐Ÿ‡ฑ๐Ÿ‡พAl Ithad ๐Ÿ†š Welayta Dich๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡น

20:00 ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ฏCoton fc ๐Ÿ†š Black Man Warrior๐Ÿ‡ฑ๐Ÿ‡ท

๐Ÿ‡ซ๐Ÿ‡ท FRANCE: Ligue 1
21:45 Strasbourg ๐Ÿ†š Marseille

๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ช GERMANY: Bundesliga
21:30 Bayern Munich ๐Ÿ†š Werder Bremen

๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ฑ NETHERLANDS: Eredivisie
21:00 Twente ๐Ÿ†š Sittard

๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ SPAIN: LaLiga
22:00 Girona ๐Ÿ†š Espanyol

๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡ฟ AZERBAIJAN: Premier League
14:30 Imisli FK ๐Ÿ†š Zira
18:00 Qarabag ๐Ÿ†š Gabala

๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ช BELGIUM: Jupiler Pro League
21:45 Leuven ๐Ÿ†š Anderlecht

๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฟ CZECH REPUBLIC: Chance Liga
20:00 Slavia Prague ๐Ÿ†š Dukla Prague

๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ ENGLAND: Championship
22:00 West Brom ๐Ÿ†š Leicester

๐Ÿ‡ซ๐Ÿ‡ท FRANCE: Ligue 2
21:00 Clermont ๐Ÿ†š Le Mans
21:00 Grenoble ๐Ÿ†š Bastia
21:00 Nancy ๐Ÿ†š Reims
21:00 Rodez ๐Ÿ†š Pau FC
21:00 Troyes ๐Ÿ†š Annecy

๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ช GERMANY: 2. Bundesliga
19:30 Darmstadt ๐Ÿ†š SG Dynamo Dresden
19:30 Schalke ๐Ÿ†š Greuther Furth

๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡น ITALY: Serie B
21:30 Catanzaro 2 Juve Stabia

๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฆ MOROCCO: Botola Pro
22:00 FUS Rabat ๐Ÿ†š Union Touarga

๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ฑ NETHERLANDS: Eerste Divisie
21:00 Almere City ๐Ÿ†š Jong Utrecht
21:00 Cambuur ๐Ÿ†š Jong PSV
21:00 Den Bosch ๐Ÿ†š Jong AZ
21:00 Dordrecht ๐Ÿ†š De Graafschap
21:00 Helmond 2 Eindhoven FC
21:00 Jong Ajax ๐Ÿ†š Venlo
21:00 Maastricht ๐Ÿ†š FC Emmen
21:00 Oss ๐Ÿ†š Roda
21:00 Waalwijk ๐Ÿ†š Den Haag

๐Ÿ‡ต๐Ÿ‡น PORTUGAL: Liga Portugal
22:15 Benfica ๐Ÿ†š Gil Vicente

๐Ÿ‡ถ๐Ÿ‡ฆ QATAR: QSL
18:00 Al Wakra ๐Ÿ†š Umm-Salal
20:00 Al-Shahaniya ๐Ÿ†š Al Ahli Doha

๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡ด ROMANIA: Superliga
18:00 FC Hermannstadt ๐Ÿ†š FC Arges
21:00 Univ. Craiova ๐Ÿ†š Din. Bucuresti

๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ฆ SAUDI ARABIA: Saudi Professional League
18:35 Al Hazem ๐Ÿ†š Al Ahli SC
18:40 Damac ๐Ÿ†š Al Ettifaq
21:00 Al Ittihad ๐Ÿ†š Al Nassr

๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡ธ SERBIA: Mozzart Bet Super Liga
19:00 Radnik ๐Ÿ†š IMT Novi Beograd

๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ SPAIN: LaLiga2
21:30

Jezi mpya za Young Africans Sports Club awamu ya pili.Toleo hili la pili lina mzalishaji mpya tofauti na lile la pili le...
26/09/2025

Jezi mpya za Young Africans Sports Club awamu ya pili.

Toleo hili la pili lina mzalishaji mpya tofauti na lile la pili lengo ni kupambana na jezi feki ambazo zinaingizwa nchini ambazo hazijazalishwa na mdhamini wao GSM.

25/09/2025
๐Ÿ—ฃ๏ธ  โ€œ Foutain Gate wana Mlima wa kuupanda leo hata sare hawawezi kulamba kWa Simba leo .Sikiliza CROWN FM kupitia 92.1 M...
25/09/2025

๐Ÿ—ฃ๏ธ โ€œ Foutain Gate wana Mlima wa kuupanda leo hata sare hawawezi kulamba kWa Simba leo .

Sikiliza CROWN FM kupitia 92.1 Mhz, Radio Box & Radio Garden tafuta CROWN FM. Tutazame Live kupitia YOUTUBE channel yetu CROWN MEDIA na kwenye Kisimbuzi cha Azam TV ni chaneli namba 67.

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when DUX Entertainment posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share