01/06/2026
📍Hizi ndizo mechi tano (5) zilizosalia kukamilisha msimu wa NBC Premier League 2025-2026:
🏟️ Juni 14: Pamba Jiji FC (Nyumbani)
✈️ Juni 18: Mbeya City (Ugenini)
✈️ Juni 24: Mtibwa Sugar (Ugenini)
🏟️ Juni 27: Singida Black Stars (Nyumbani)
🏟️ Juni 30: KMC FC (Nyumbani)
✨️ Tukiwa nyuma kwa alama 2 pekee kileleni, kila mchezo hapa ni fainali na pointi 15 zote ni muhimu ili kutwaa ubingwa. Hatuna nafasi ya kupoteza hata alama moja!
🏆 Je, unaona tukivuna alama ngapi kwenye mechi hizi tano za lala salama? Dondosha maoni yako hapa chini! 👇🗣️