96 Link

96 Link Follow Us For News | Updates | Interviews &More welinkyou | tunakuunganisha 🤝🌍
(1)

24/05/2026

amesema kwamba ziara ya Rais wa Urusi Valdimir Putin nchini China ilikuwa imepangwa mapema lakini ziara ya Rais wa Marekani Donald Trump haikuzaa chochote cha maana.

Mahojiano hayo kwa urefu yapo You tube yetu ya 96link.

✍️ .
________________________________________________________________________

Powered by & .



24/05/2026

🗣️ "Mikataba zaidi ya 40 imesainiwa" .

Mahojiano hayo kwa urefu yapo You tube yetu ya 96link.

✍️ .

________________________________________________________________________

Powered by & .



24/05/2026

Kuhusu ujio wa mchezaji wa zamani Rio Ferdinand hapa nchini, amesema kwamba Watanzania wanatakiwa wajipe muda juu ya gharama zilizotumika kwa mchezaji huyo .

Mahojiano hayo kwa urefu yapo You tube yetu ya 96link.

✍️ .
________________________________________________________________________

Powered by & .



24/05/2026

amechambua ujio Rio Ferdinand ambaye ni mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya Uingereza ambaye alishawahi kucheza katika klabu ya Manchester United .

Mahojiano hayo kwa urefu yapo You tube yetu ya 96link.

✍️ .
________________________________________________________________________

Powered by & .



20/05/2026

Maoni ya baada Mfanyabiashara kutoka Nigeria kukutana na Rais wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan kujadili mambo ya uwekezaji na biashara nchini.

Full interview ipo kwenye YouTube channel ya

Powered by &


15/05/2026

Je kuonekana kwa Lamine Yamal akibeba bendera ya Palestine wakati wa parade la ubingwa kutamuathiri kwenye kazi yake ya mpira ? . ametoa ufafanuzi kuhusu hilo .

Mahojiano hayo kwa urefu yapo You tube yetu ya 96link.

✍️ .



15/05/2026

Maoni ya kuhusu Mfanyabiashara Dangote kubadili mpango wa kujenga kiwanda mkoani Tanga Tanzania na kusema anaiweka Mombasa Kenya kuwa kwa sasa ndio sehemu nzuri zaidi kwa ujenzi wa kiwanda hicho cha nishati ya mafuta.

"Tajiri k**a Dangote anayo nafasi ya kuzungumza na kiongozi wa nchi moja kwa moja hata Magufuli aliwahi kumchana anyooke na sio kupita pembeni hata kwenye hili alipaswa kuongea na uongozi wa nchi moja kwa moja..."

Full interview ipo kwenye YouTube channel ya


14/05/2026

Maoni ya kuhusu ziara ya Rais wa Marekani Donald Trump nchini China .

Mahojiano hayo kwa urefu yapo You tube yetu ya 96link.

✍️ .



12/05/2026

Msanii wa kuigiza na mtengeneza maudhui mitandaoni nchini ameishukuru taasisi ya kwa kumsaidia kutatua tatizo la uzazi hasa nguvu za kiume kupitia huduma zao wanazozitoa.

Katika upande mwingi Cawinna amewataka watu wote wanaosumbuliwa na matatizo ya uzazi kufika mara moja kwenye Ofisi za zilizopo ilala jijini Dar es Salaam kwa huduma zaidi.

Tembelea page ya kwa taarifa zaidi.


29/04/2026

amesema kwamba vita havijaisha bali Marekani na Israel wanajipanga kwa awamu nyingine ya a tatu .

Mahojiano hayo kwa urefu yapo You tube yetu ya 96link.

✍️ .



Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when 96 Link posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share