Sports kitaa

Sports kitaa Sportskitaa.com: Football News, Live Scores, Results and Transfers

Sportskitaa.com is a purely up-to-date sports and entertainment website.
The East African based website, is professionally run by a seasoned East African sports fans and proudly using Swahili language.

TUNAFUNGA MFUMO WA GESI KWENYE GARI YAKO KWA GHARAMA NAFUU-TEMBEA ZAIDI YA KM 200 KWA GESI YA TZS 17,000πŸš–πŸš˜β›½Bado haujache...
04/12/2025

TUNAFUNGA MFUMO WA GESI KWENYE GARI YAKO KWA GHARAMA NAFUU-TEMBEA ZAIDI YA KM 200 KWA GESI YA TZS 17,000πŸš–πŸš˜β›½
Bado haujachelewa, ofa inaendelea kwa bei kitonga kutoka Tsh 1,700,000/=,
Kutumia CNG hufanya injini kuwa safi na ufanisi zaidi, unasubiri nini kwa mfano kufunga gas ya CNG nasi?
Bei zetu ni nafuu, tuna wataalamu wakutosha , gari itafungwa ndani ya muda mchache tu.
Piga simu leo >> 0754575188 https://chat.whatsapp.com/LM8vm3PEieaISe4I6X7DAI

24/11/2025

TUNAFUNGA MFUMO WA GESI KWENYE GARI YAKO KWA GHARAMA NAFUU-TEMBEA ZAIDI YA KM 200 KWA GESI YA TZS 17,000πŸš–πŸš˜β›½
Bado haujachelewa, ofa inaendelea kwa bei kitonga kutoka Tsh 1,700,000/=,
Kutumia CNG hufanya injini kuwa safi na ufanisi zaidi, unasubiri nini kwa mfano kufunga gas ya CNG nasi?
Bei zetu ni nafuu, tuna wataalamu wakutosha , gari itafungwa ndani ya muda mchache tu.
Piga simu leo >> 0754575188

  BUNGENI: RAISI SAMIA ANALIHUTUBIA BUNGE 14| 11 | 2025
14/11/2025

BUNGENI: RAISI SAMIA ANALIHUTUBIA BUNGE 14| 11 | 2025

BUNGENI: RAISI SAMIA ANALIHUTUBIA BUNGE 14| 11 | 2025

12/11/2025

TUNAFUNGA MFUMO WA GESI KWENYE GARI YAKO KWA GHARAMA NAFUU-TEMBEA ZAIDI YA KM 200 KWA GESI YA TZS 17,000πŸš–πŸš˜β›½
Bado haujachelewa, ofa inaendelea kwa bei kitonga kutoka Tsh 1,800,000/=,
Kutumia CNG hufanya injini kuwa safi na ufanisi zaidi, unasubiri nini kwa mfano kufunga gas ya CNG nasi?
Bei zetu ni nafuu, tuna wataalamu wakutosha , gari itafungwa ndani ya muda mchache tu.
Piga simu leo >> 0754575188

12/11/2025

Msimamizi wa Aziz ANDABWILE andabwile_02 anaitwa Hilary akiongea na CROWN SPORTS ya , kabla ya kuongea na Hilary Crown FM iliulizia kwanza TFF k**a kweli kuna kesi yoyote ya Yanga SC na mchezaji wake ANDABWILE tukajiridhisha kwamba shauri hilo lipo.
Hakuna mwenye nia ya kumchafua yoyote ila ni kufikisha taarifa kwa umma kwa kufuata weledi, kuna ambayo tunayajua na ushahidi tunao kwenye jambo hili, hata caption tulianza kuiona kabla ya kupostiwa, tusillazimishane kuonyesha kilakitu.
Tukubaliane vilabu kudaiwa ni kawaida na Yanga SC kudaiwa na kufikishwa FIFA na TFF ni kawaida sana kwa siku za karibuni, acheni kabisa kuwatisha waandishi wakifanya kazi zao.
Wakati mwingine hatuwezi kusema kilakitu kwa sababu za kimahusiano zaidi na kupevuka kwa fikra zetu, lakini tusionane k**a wote ni sawa na wale wanaopewa vijihela, NO, BIG NO. Ila kumbukeni wachezaji hawa ni ndugu zetu, wanetu, majirani zetu, watoto wetu, etc, wakitoka kwenu tunakuwa nao kitaa, msijisahulishe sana.
Vijana (wachezaji) hivi vilabu vishapendwa sana, sasa mkiweka mapenzi mbele mtaula wa chuya, watu wanajuta kwa kujifanya wanavipenda hivi vilabu. Pia kudai haki zenu sio dhambi mkiogopa kujisimamia itakula kwenu, sio unatishwa kidogo unajikojolea huo wakati haupo na hayo unayodai ni maslahi na haki yako na kufanya hivyo si dhambi. Mbaya pale unaleta jambo usaidiwe halafu baadae unaenda kulazimishwa kukana, wakati ukweli unaujua. Kuna wengi mnakufa kisabuni na hamtaki kusema, Shauri yenu.
✍✍✍✍BIN KAZUMARI MTIPA (Real voice of voiceless)

  BUNGENI: JINA LA WAZIRI MKUU MPYA LATAJWA BUNGENI DODOMA, MAKONDA AFUNGUKA, SPIKA , WAKONGWE BUNGENI WALA VIAPOhttps:/...
12/11/2025

BUNGENI: JINA LA WAZIRI MKUU MPYA LATAJWA BUNGENI DODOMA, MAKONDA AFUNGUKA, SPIKA , WAKONGWE BUNGENI WALA VIAPO
https://www.youtube.com/watch?v=gmCCbBbCI64
Bofya hapa

BUNGENI: JINA LA WAZIRI MKUU MPYA LATAJWA BUNGENI DODOMA

  BUNGENI: JINA LA WAZIRI MKUU MPYA LATAJWA BUNGENI DODOMA, BABA LEVO AFUNGUKA, SPIKA , WAKONGWE BUNGENI WALA VIAPOhttps...
12/11/2025

BUNGENI: JINA LA WAZIRI MKUU MPYA LATAJWA BUNGENI DODOMA, BABA LEVO AFUNGUKA, SPIKA , WAKONGWE BUNGENI WALA VIAPO
https://www.youtube.com/watch?v=gmCCbBbCI64
Bofya hapa

BUNGENI: JINA LA WAZIRI MKUU MPYA LATAJWA BUNGENI DODOMA

TUNAFUNGA MFUMO WA GESI KWENYE GARI YAKO KWA GHARAMA NAFUU-TEMBEA ZAIDI YA KM 200 KWA GESI YA TZS 17,000πŸš–πŸš˜β›½Bado haujache...
12/11/2025

TUNAFUNGA MFUMO WA GESI KWENYE GARI YAKO KWA GHARAMA NAFUU-TEMBEA ZAIDI YA KM 200 KWA GESI YA TZS 17,000πŸš–πŸš˜β›½

Bado haujachelewa, ofa inaendelea kwa bei kitonga kutoka Tsh 1,800,000/=,
Kutumia CNG hufanya injini kuwa safi na ufanisi zaidi, unasubiri nini kwa mfano kufunga gas ya CNG nasi?
Bei zetu ni nafuu, tuna wataalamu wakutosha , gari itafungwa ndani ya muda mchache tu.
Piga simu leo >> 0754575188

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Sports kitaa posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Sports kitaa:

Share

Category