Sports kitaa

Sports kitaa Sportskitaa.com: Football News, Live Scores, Results and Transfers

Sportskitaa.com is a purely up-to-date sports and entertainment website.
The East African based website, is professionally run by a seasoned East African sports fans and proudly using Swahili language.

BREAKING 🔴: Kylian Mbappé Lottin amepata jeraha la Ankle kwahiyo atarejea katika klabu yake ya Real Madrid C.F. Kwa ajil...
11/10/2025

BREAKING 🔴: Kylian Mbappé Lottin amepata jeraha la Ankle kwahiyo atarejea katika klabu yake ya Real Madrid C.F. Kwa ajili ya matibabu zaidi.

Jeraha Hilo alilopata akiwa kwenye majukumu ya timu ya taifa.
Sports kitaa

11/10/2025

:🗣"Simba ni miongoni mwa timu tatu tulizo zialika kucheza na sisi kwenye tamasha letu Jumapili kwa sababu ni timu iliyotufunga tukiwa pungufu hawana uwezo wa kutufunga tukiwa kamili ndiyo maana wao, Mtibwa na Mbeya City tumewaalika wote atakaye kuja tutamuonyesha kwa nini hakustahili kutufunga"

Afisa habari wa kikosi cha Fountain Gate Isaa Liponda Mbuzi akizungumza na chombo cha habari kimojawapo hapa nchini

Wewe Ndio Kocha Unamchagua nani katika ubora wao?Iniesta    vs    Ozil
11/10/2025

Wewe Ndio Kocha Unamchagua nani katika ubora wao?

Iniesta vs Ozil

🚨Mchezaji pekee anayecheza ligi ya Afrika tena kutoka Yanga, Zizzou wa Ivory Coast Pacome Zouzoua ameweka  rekodi ya kuw...
11/10/2025

🚨Mchezaji pekee anayecheza ligi ya Afrika tena kutoka Yanga, Zizzou wa Ivory Coast Pacome Zouzoua ameweka rekodi ya kuwa miongoni mwa wachezaji wa taifa hilo kufanikisha Mabingwa hao wa AFCON kutinga kwenye michuano mikubwa ya soka duniani ya kombe la dunia
Pacome amecheza dakika zote 90 mchezo dhidi ya Ushelisheli na kupelekea indirect kupatikana kwa mkwaju wa penati kwenye ushindi wa mabao Saba dhidi ya Ushelisheli na kuwa mchezaji wa Yanga aliyeweka rekodi hiyo ya kulipeleka Ivory Coast kombe la dunia !!
USINUNUE TENA MIKEKA CHIMBO HILI HUKU NJOO NIKUUNGE KWENYE GROUP KILA SIKU JISAJILI HAPA👇👇
Pata Bonasi ya TSH 10,000 unapojisajili. Karibu tushinde pamoja.
Jiunge na Leo Upate
💸 Malipo Fasta
🏆 Odds Kubwa
Bofya hapa >> http://betwinwins.co.tz/affiliates/?btag=2543935

11/10/2025

☎️⤵️🇫🇷X🇦🇷
Antoine Griezmann Akimzungumzia Messi
🎙️“Nilipokuwa Barcelona, vyombo vya habari vilisema Messi hafurahii uwepo wangu ila yeye aliniambia: ‘Antoine, tulia. Hayo ni maneno tu ya vyombo vya habari’.”
🎙️"Aliwajibu uwanjani, alikuwa ananipa nipige penati lakini pia alikuwa anayashangilia mabao yangu k**a amefunga yeye"
© Goal (report on X)

Nasreddine Nabi’s time with Kaizer Chiefs:🏟️ Games: 39✅ Wins: 15🤝 Draws: 10❌ Losses: 14⚽ Goals Scored: 47🥅 Goals Concede...
11/10/2025

Nasreddine Nabi’s time with Kaizer Chiefs:

🏟️ Games: 39
✅ Wins: 15
🤝 Draws: 10
❌ Losses: 14
⚽ Goals Scored: 47
🥅 Goals Conceded: 44
🏆 Trophies: 1

What’s your take on his spell at the club? 💭

11/10/2025

USINUNUE TENA MIKEKA CHIMBO HILI HUKU NJOO NIKUUNGE KWENYE GROUP KILA SIKU JISAJILI HAPA👇👇
Pata Bonasi ya TSH 10,000 unapojisajili. Karibu tushinde pamoja. 🏆 Odds Kubwa
Bofya hapa >> http://betwinwins.co.tz/affiliates/?btag=2543935

KISHA TUMA NENO NIUNGE AU NJOO WHATSAPP 0620 412 415
Mzungo wa pili hatua ya Awali CAF Inter Clubs 25/26
Silver striker🇲🇼 v Young Africans 🇹🇿
Nsingizini Hotspurs 🇸🇿 v Simba SC🇹🇿
KMKM🇹🇿 v Azam FC🇹🇿
Singida Black Stars🇹🇿 v Flambeau du Centre 🇧🇮
Naamini hakuna tunayemuacha njiani, wote makundi wapinzani wetu tunawamudu.

10/10/2025

MICHEZO: Anaandika Mchambuzi wa kubumbu nchini Official Farhan Kiham, kwa jinsi alivyoutazama mchezo wa Jana kati ya Simba vs Al Hilal Omduman ambapo uliisha Simba 2-1 Al Hilal Omduman 🔥🔥.
"Huyu Pantev na Simeone ni k**a kitu na kaka yake ni chizi wa mpira namna ambavyo alikuwa anawasachi Al Hilal ni k**a Diego Simeone akifanya msako mbele ya Real Madrid 🙌🙌🔥🔥.
Huyu kocha wa Simba anajua sana boli na uchezaji wake ni k**a zile falsafa za Simeone na Guadiola wa Man City yaoto, hakika nasadiki wazi leo Simba wamepata kocha Mtani asahau kushinda tena goli 5 mbele ya Pantev"........... ✍️✍️
VIPI UNAUNGANA NA MAWAZO YAKE...???

10/10/2025

Baada ya ushindi wa 2-1 dhidi ya Al Hilal Ya Sudan ,klabu hizo zimepanga Tena kucheza mchezo wa kirafiki katika uwanja wa Gymkhana jijini Dar es salaam.
Magoli ya Simba yalifungwa na Jean Ahoua na Jonathan sowah huku bao pekee la wasudan hao likifungwa na winga wao Adama Coulibaly

Address

Dar Es Salaam
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Sports kitaa posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Sports kitaa:

Share

Category