Sokoni Fix

Sokoni Fix Habari • Soko • Fursa
Tanzania’s Business Pulse

31/05/2026

Mfanyabiashara anayejua kuomba biashara yake na watu wake kusudi la Mungu halizuiwi.

Jifunze jinsi Anthony Chamungwana anavyofundisha kujenga biashara yenye nguvu za kiroho na mahusiano imara.
Fuatilia ujifunze zaidi.

29/05/2026

Mteja akikwambia: ‘Bidhaa yako ni ghali sana’,kama salesperson unamjibuje?

20/05/2026

Moral of the story 'Shule inakupa elimu, maisha yanakupa hekima. Usidharau experience ya mtu kwa sababu tu hakusoma'.



🎥:

19/05/2026
18/05/2026

Siri ya wafanyabiashara wakubwa ni kutoweka mayai yote kwenye kapu moja. Unapopata faida kwenye biashara yako, sehemu salama zaidi ya kuilinda na kuikuza ni kwenye ARDHI ILIYOPIMWA.

​Milele Properties (2017) inakuletea viwanja vyenye uhakika 100% (vimepimwa, vina bikoni na namba zake) vilivyo na huduma zote muhimu tayari kwa ujenzi:

​🔹 Huduma Zilizopo: Shule, Hospitali, Maduka, Maji, Umeme, Barabara, Parking Area, na Open Space/Maeneo ya michezo.

​Ukubwa na Bei:

📍 SQM 425 ➔ TSh 2.3M tu.

📍 SQM 450 hadi 500 ➔ TSh 2.5M tu.

📍 SQM 550 hadi 600 ➔ TSh 3.0M tu.

​💳 MGAWANYO WA MALIPO: Unaweza kulipia kwa Cash au kwa AWAMU (Kidogo kidogo) kulingana na mzunguko wa biashara yako!

​📞 Chukua hatua leo kabla havijaisha, wasiliana nasi:

Simu: 0695240002 / 0753878934

Instagram:

17/05/2026

Je, wewe upo upande gani? Unadhani ni bora kupambana na stress za kujiajiri au kubaki kwenye usalama wa ajira? Tag mtu anaetakiwa kusikia hii.



🎥:

16/05/2026

Umenunua kiwanja kwa Shilingi Milioni 10 kwa lengo la kibiashara (kukiuza baada ya thamani kupanda). Mtaalamu anashauri kuwa, bei ikifika Shilingi Milioni 20, hicho ndicho kipindi muafaka cha kukiuza.



🎥:

Ulipata muda wa kufuatilia Siku ya Uwekezaji kwa Wanahisa wa Benki ya CRDB leo? Swipe kujua baadhi ya yaliyozungumzwa!
15/05/2026

Ulipata muda wa kufuatilia Siku ya Uwekezaji kwa Wanahisa wa Benki ya CRDB leo? Swipe kujua baadhi ya yaliyozungumzwa!

15/05/2026

Sehemu ya hotuba ya CEO wa Dr. Mei 15, 2026 kwenye Siku ya Uwekezaji kwa Wanahisa wa Benki ya CRDB iliyofanyika kwenye Ukumbi wa AICC jijini Arusha

Umejifunza nini?

15/05/2026

Elimu ya utengenezaji pesa ianze darasa la kwanza!" Hii ni kauli ya mfanyabiashara na mwanasiasa Jumanne Kishimba aliyoitoa kupitia .

Nini mtazamo wako?

Je, unafikiri ni wakati muafaka kwa mabadiliko haya kwenye mtaala wetu wa elimu, au watoto wa darasa la kwanza ni wadogo mno kuanza kufikiria mfuko?

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Sokoni Fix posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share