Bongo Source

Bongo Source PATA HABARI ZETU KUPITIA YOUTUBE YA BONGO SOURCE

KWA HABARI NA MATUKIO TUTAFUTE-: +255747692064

Takwimu za mawinga hatari wa NBCPL kutokea mitaa ya Kariakoo: Allan Okello Mechi 13Magoli 03Assist 06Dakika 1033K. Njano...
06/05/2026

Takwimu za mawinga hatari wa NBCPL kutokea mitaa ya Kariakoo:
Allan Okello
Mechi 13
Magoli 03
Assist 06
Dakika 1033
K. Njano 00
K.Nyekundu 00

Elie Mpanzu
Mechi 18
Magoli 03
Assist 07
Dakika 949
K.Njano 00
K.Nyekundu 00

Je! Nani bora kati ya hawa wawili?? πŸ™„πŸ€”πŸ‘‹

Follow the BONGO SOURCE channel on WhatsApp:
πŸ‘‡πŸ‘‡ https://whatsapp.com/channel/0029Vb6u2Xu7tkjHaNMwcQ44

MATUKIO KATIKA PICHA WAZIRI MKUU DKT. NCHEMBA NA RAIS RUTO BUNGENIWaziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba  akiwa na Rais wa Ke...
05/05/2026

MATUKIO KATIKA PICHA WAZIRI MKUU DKT. NCHEMBA NA RAIS RUTO BUNGENI

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba akiwa na Rais wa Kenya Dkt. William Ruto pamoja na viongozi wengine baada ya Rais Ruto kulihutubia Bunge jijini Dodoma, Mei 5, 2026.

(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Paul Makonda akiwa pamoja na mshambuliaji wa zamani wa Timu ya Taifa...
04/05/2026

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Paul Makonda akiwa pamoja na mshambuliaji wa zamani wa Timu ya Taifa ya Ivory Coast na Klabu ya Chelsea, Didier Drogba katika viwanja vya Bunge jijini Dodoma, tayari kwa kuwasilisha Hotuba ya Bajeti ya Wizara hiyo kwa mwaka wa Fedha 2026/27, leo Mei 04, 2026

Follow the BONGO SOURCE channel on WhatsApp:
πŸ‘‡πŸ‘‡ https://whatsapp.com/channel/0029Vb6u2Xu7tkjHaNMwcQ44

02/05/2026

Ila hawa kila wakikutana lazima pachimbike ,Yanga ametoka anakutana na Simba nje nae anataka kuingia ko kamzozo kanaendelea ni balaa ,bivi sababu uwaga ni nini mpaka jeshini mnafanya haya ?? Jengeni viwanja vyenu bhana πŸ˜‚
Tazama Video full hapa
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
https://youtu.be/mPYALo5Z9lk?si=i__vuchb6OK-3jau

Mchambuzi wa soka nchini, Jemedari Said, amemshushia rungu mwamuzi wa kati, Dickens Mimisa Nyagrowa, kufuatia uchezeshaj...
30/04/2026

Mchambuzi wa soka nchini, Jemedari Said, amemshushia rungu mwamuzi wa kati, Dickens Mimisa Nyagrowa, kufuatia uchezeshaji wake katika mchezo wa dabi ya Muungano uliopigwa visiwani Zanzibar.

Jemedari ameeleza kutoridhishwa kwake na kiwango cha mwamuzi huyo, akidai kuwa ameshindwa kusimamia sheria za mchezo kwa ujasiri na badala yake amechezesha kwa "uoga wa lawama." Kwa mujibu wa Jemedari, licha ya nia njema ya ZFF, Dickens Mimisa ameonekana kuwa "kawaida sana" na ameshindwa hata kutoa kadi za njano kwenye madhambi ya wazi, jambo ambalo amedai ni kuwadhalilisha waamuzi wengine ambao wangeweza kufanya kazi bora zaidi.

​Katika ukosoaji wake huo mzito kupitia ukurasa wake wa kijamii, Jemedari Said aliandika:

​"Nia ya ZFF kumleta ilikuwa njema kabisa, lakini huyu Refa wa MUONGO hana lolote, tena 'TAPELI' kabisa. Muoga wa lawama k**a vile kwao ni Mikindani Mtwara, faulu nyingi sana ameogopa kutoa hata kadi za njano. Kwa uchezeshaji huu waamuzi wetu tumewadharau bure kabisa, binafsi sina cha kumpongeza kwa 90 minutes."

​Yapi maoni yako?


Follow the BONGO SOURCE channel on WhatsApp:
πŸ‘‡πŸ‘‡ https://whatsapp.com/channel/0029Vb6u2Xu7tkjHaNMwcQ44

FT’ | Young Africans 0-1 Simba SC.
29/04/2026

FT’ | Young Africans 0-1 Simba SC.

Mwalimuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu.
29/04/2026

Mwalimuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu.

Address

Dodoma

Telephone

+255747692064

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Bongo Source posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Bongo Source:

Share