Bongo Source

Bongo Source PATA HABARI ZETU KUPITIA YOUTUBE YA BONGO SOURCE

KWA HABARI NA MATUKIO TUTAFUTE-: +255747692064

Klabu ya AC Milan imeibuka na ushindi wa mabao 4-2 dhidi ya wapinzani wao Liverpool katika mchezo wa kirafiki uliochezwa...
26/07/2025

Klabu ya AC Milan imeibuka na ushindi wa mabao 4-2 dhidi ya wapinzani wao Liverpool katika mchezo wa kirafiki uliochezwa leo jijini Hong Kong.

Milan walionesha ubora wao kwa kuongeza bao la nne kabla ya mchezo kumalizika, na hivyo kufunga rasmi ushindi huo mnono wa 4-2 hadi filimbi ya mwisho.

26/07/2025

MKutano mkuu maalum wa Chama Cha Mapinduzi uliofanyika leo tar 26 Julai 2025 kwa njia ya kiditali


26/07/2025

Haya ndiyo marekebisho madogo ya Katiba ya CCM.

26/07/2025

HEEEE JAMANI CODE IMETOLEWA HAPA 😂
Follow us-:

________________________________________________________
Karibu utangaze nasi sasa Biashara yako Kwa bei rahisi kabisa 🔥🫰Gusa link hii kujiunga nasi katika group letu upate taarifa mbalimbali...
👇👇👇👇👇👇👇👇👇
https://chat.whatsapp.com/ByXMhbek7M8AZlz9sTpVte

🚨🙄🙄🙄🙄🙄 JAMANI JAMANI NITAKUWA MTU WA MWISHO KUAMINI HILI.......... YANI MCHUNGAJI KABISA AU HII NI AI JAMANI 🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄...
26/07/2025

🚨🙄🙄🙄🙄🙄 JAMANI JAMANI NITAKUWA MTU WA MWISHO KUAMINI HILI.......... YANI MCHUNGAJI KABISA AU HII NI AI JAMANI 🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄

NATOA OFA YA MATANGAZO KWA BEI NAFUUU SANA 🙏🙏🙏🙏🙏

Cc.
Follow us-:

________________________________________________________
Karibu utangaze nasi sasa Biashara yako Kwa bei rahisi kabisa 🔥🫰

Kiungo mshambuliaji wa klabu ya Simba, Elie Mpanzu amerejea katika klabu hiyo baada ya kutimiziwa mahitaji yake binafsi ...
26/07/2025

Kiungo mshambuliaji wa klabu ya Simba, Elie Mpanzu amerejea katika klabu hiyo baada ya kutimiziwa mahitaji yake binafsi pamoja na klabu yake kulipwa kiasi cha pesa kilichokuwa kimesalia.

Baada ya Simba kutimiza hayo mchezaji huyo ameshawasili kambini kuendelea na maandalizi ya msimu ujao ✅

🚨⛽ RASMI: Young Africans Sports Club 🇹🇿 Wamemtambulisha Kiungo wa Ball, Lassine Kouma Raia wa Mali Kwa mkataba wa Miaka ...
25/07/2025

🚨⛽ RASMI: Young Africans Sports Club 🇹🇿 Wamemtambulisha Kiungo wa Ball, Lassine Kouma Raia wa Mali Kwa mkataba wa Miaka Miwili , Lassine Kouma Amepewa jezi namba 8 Aliyokuwa Anaivaa Khalid Aucho 🇺🇬

Gusa link hii kujiunga nasi katika group letu upate taarifa mbalimbali...
👇👇👇👇👇👇👇👇👇
https://chat.whatsapp.com/ByXMhbek7M8AZlz9sTpVte

  Klabu ya Simba SC imekamilisha usajili wa beki wa kushoto kutoka Coastal Union, Miraji Abdallah maarufu k**a Zambo.Mir...
25/07/2025

Klabu ya Simba SC imekamilisha usajili wa beki wa kushoto kutoka Coastal Union, Miraji Abdallah maarufu k**a Zambo.

Miraji Zambo amejiunga rasmi na Wekundu wa Msimbazi kwa mkataba wa muda mrefu, ikiwa ni sehemu ya mpango wa kuimarisha safu ya ulinzi kuelekea msimu wa 2025/26.

Usajili wa Zambo unakuja baada ya kuonesha kiwango bora katika Ligi Kuu ya NBC akiwa na Coastal Union, na sasa anapewa nafasi ya kuthibitisha ubora wake katika kikosi cha Simba chenye malengo makubwa ndani na nje ya nchi.

Kilichobakia ni Simba SC kumtangaza rasmi mchezaji huyo.

Mtoto wa msanii Davido umri miaka 13 , Ivi ndio pesa au nini kinawakuza haraka ivi watoto wakike wa kizazi cha leo?Follo...
25/07/2025

Mtoto wa msanii Davido umri miaka 13 , Ivi ndio pesa au nini kinawakuza haraka ivi watoto wakike wa kizazi cha leo?
Follow us-:

________________________________________________________
Karibu utangaze nasi sasa Biashara yako Kwa bei rahisi kabisa 🔥🫰

25/07/2025

𝗖𝗖𝗠 𝗞𝗨𝗙𝗔𝗡𝗬𝗔 𝗠𝗔𝗥𝗘𝗞𝗘𝗕𝗜𝗦𝗛𝗢 𝗠𝗔𝗗𝗢𝗚𝗢 𝗬𝗔 𝗞𝗔𝗧𝗜𝗕𝗔 𝗬𝗔𝗞𝗘 - 𝗖𝗣𝗔. 𝗠𝗔𝗞𝗔𝗟𝗟𝗔

“𝘾𝙝𝙖𝙢𝙖 𝘾𝙝𝙖 𝙈𝙖𝙥𝙞𝙣𝙙𝙪𝙯𝙞 (𝘾𝘾𝙈) 𝙠𝙞𝙢𝙚𝙞𝙩𝙖 𝙢𝙠𝙪𝙩𝙖𝙣𝙤 𝙈𝙠𝙪𝙪 𝙈𝙖𝙖𝙡𝙪𝙢 𝙨𝙞𝙠𝙪 𝙮𝙖 𝙠𝙚𝙨𝙝𝙤 𝙅𝙪𝙢𝙖𝙢𝙤𝙨𝙞 𝙩𝙖𝙧𝙚𝙝𝙚 26 𝙅𝙪𝙡𝙖𝙞 2025”

Kauli hiyo imetolewa na Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, 𝗖𝗣𝗔. 𝗔𝗺𝗼𝘀 𝗠𝗮𝗸𝗮𝗹𝗹𝗮 wakati akizungumza na waandishi wa habari na kusema kuwa lengo la mkutano huo ni kufanya marekebisho madogo ya Katiba ya Chama Cha Mapinduzi.

CPA. Makalla amesema kuwa Mkutano huo utafanyika kwa njia ya mtandao na tayari maandalizi yote yamekamilika.

“Nimepokea simu nyingi kutoka kwa watu na kwenye mitandao watu wameandika mambo mengi, nawathibitishia kuwa kesho tutakuwa na mkutano Mkuu Maalumu ambao utafanyika kwa njia ya mtandao,” Amesema CPA. Makalla.

🗓️25 Julai 2025
📍Dodoma


MICHEZO: Unaweza kumuona mnyama yuko kimya ila ndiyo anafanya usajili hivyo kimya kimya bila kelele.Baadhi ya viongozi w...
25/07/2025

MICHEZO: Unaweza kumuona mnyama yuko kimya ila ndiyo anafanya usajili hivyo kimya kimya bila kelele.

Baadhi ya viongozi wa Simba wametapakaa kwaajili ya kunasa wachezaji bora sana wakuweza kufanya kikosi cha mnyama kiwe bora sana na ikiwezekana kutwaa makombe.

Na bado wanamulika tochi zao za usajili na k**a unavojua kuwa simba kwa sasa bado wanamuitaji beki namba tatu atakae weza kuchukua nafasi ya Tshabalala na sasa tochi yo iko kwa nyota wa Congo Lomalisa.

Follow us-:

________________________________________________________
Karibu utangaze nasi sasa Biashara yako Kwa bei rahisi kabisa 🔥🫰

25/07/2025

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetoa ufafanuzi kuhusu uamuzi wa kufanya mkutano mkuu wa dharura kwa njia ya mtandao, baada ya kuibuka maswali juu ya uhalali wa hatua hiyo kikatiba.

Makalla amezungumza hayo na waandishi wa habari leo, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Ndugu Amos Makalla, amesema kuwa hatua hiyo imezingatia kikamilifu masharti ya Katiba ya chama hicho, ambayo inaruhusu matumizi ya mifumo ya kidijitali katika uendeshaji wa mikutano.

Kwa mujibu wa taarifa hiyo, mkutano huo unatarajiwa kufanyika kesho, Julai 26, 2025, kuanzia saa 4:00 asubuhi. Utaunganisha viongozi wakuu na wajumbe kutoka mikoa yote ya Tanzania Bara na Zanzibar kupitia mfumo wa mtandao, ambapo ajenda kuu itakuwa kujadili na kupitisha mabadiliko ya Katiba ya chama.

Hatua hii ya CCM inatajwa k**a mojawapo ya maboresho katika matumizi ya teknolojia kuhakikisha uwazi, ushirikishwaji, na ufanisi katika shughuli za chama.
Gusa link hii kujiunga nasi katika group letu upate taarifa mbalimbali...
👇👇👇👇👇👇👇👇👇
https://chat.whatsapp.com/ByXMhbek7M8AZlz9sTpVte

Address

Dodoma

Telephone

+255747692064

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Bongo Source posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Bongo Source:

Share