Bongo Source

Bongo Source PATA HABARI ZETU KUPITIA YOUTUBE YA BONGO SOURCE

KWA HABARI NA MATUKIO TUTAFUTE-: +255747692064

UCHAMBUZII WA GHARIB MZINGA JUU YA MCHEZAJI WA KLABU YA SIMBA, NEO MAEMA SIKILIZA HAPA
17/11/2025

UCHAMBUZII WA GHARIB MZINGA JUU YA MCHEZAJI WA KLABU YA SIMBA, NEO MAEMA SIKILIZA HAPA

NEO MAEMA NI MCHEZAJI WA KAWAIDA SANA - SIYO MCHEZAJI WA KUTISHA NDANI YA SIMBA

17/11/2025

HEE JAMAN

MENA ASHINDWA KUSEMA KITU 🥲 HUZUNI JAMANI DAH!!!Powered by  Follow us-:   ______________________________________________...
17/11/2025

MENA ASHINDWA KUSEMA KITU 🥲 HUZUNI JAMANI DAH!!!
Powered by

Follow us-:

________________________________________________________
Karibu utangaze nasi sasa Biashara yako Kwa bei rahisi kabisa 🔥🫰

MC PILIPILI AFARIKI DUNIA GAFLA AKIWA ANAKWENDA KWENYE HARUSI - AACHA MKETazama hapa👇👇👇👇
16/11/2025

MC PILIPILI AFARIKI DUNIA GAFLA AKIWA ANAKWENDA KWENYE HARUSI - AACHA MKE

Tazama hapa
👇👇👇👇

MC PILIPILI AFARIKI DUNIA GAFRA AKIWA ANAKWENDA KWENYE KAZI ya HARUSI - SIMANZI YATAWALA

Breaking News: Taarifa zilizotufiukia hivi punde katika chumba chetu cha habari, zinaeleza kuwa mchekeshaji na msherehes...
16/11/2025

Breaking News: Taarifa zilizotufiukia hivi punde katika chumba chetu cha habari, zinaeleza kuwa mchekeshaji na mshereheshaji maarufu nchini Tanzania, Emmanuel Mathias almaarufu MC Pilipili, amefariki dunia ghafla mchana leo, Novemba 16, 2025.

Taarifa zinaeleza kuwa, MC Pilipili alisafiri kuelekea jijini Dodoma ambapo jioni ya leo alitarajiwa kwenda kufanya kazi yake ya ushereheshaji jijini humo, lakini akafikwa na mauti.

Kwa mujibu wa Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya General, Dodoma, Ernest Ibenzi ambaye amethibitisha taarifa hizo na kueleza kuwa MC Pilipili amefikishwa hospitalini hapo akiwa tayari amefariki dunia.

Taarifa zaidi zitakujia.

Powered by

Follow us-:

________________________________________________________
Karibu utangaze nasi sasa Biashara yako Kwa bei rahisi kabisa 🔥🫰

16/11/2025

Yapi maoni yako

Kupitia INSTA STORY ya mama mzazi wa Diamond Platnumz  ameshare video mbalimbali akionekana yeye na Diamond wakiwa ndani...
16/11/2025

Kupitia INSTA STORY ya mama mzazi wa Diamond Platnumz ameshare video mbalimbali akionekana yeye na Diamond wakiwa ndani ya mjembo ambapo kwa kuungalia mjengo sio hotel bali ni nyumba ya kawaida ya kuishi na mazingira ya mjengo huo yanaonyesha kwamba ni Dubai.

Katika video ya kwanza anaonekana yupo kwenye mjengo huo ambapo ameweka emoj za kumshukuru Mungu,mazingira yakionyesha kwamba mjengo huo upo Dubai na pembeni anaonekana akiwa mepumzika.

Na katika video nyingine ni asubuhi ambapo Mama Dangote anaonekana akiwa anazunguka katika mjengo huo,hapa karibuni ilisemekana Diamond alisafiri na familia yake yote na kwenda nayo Dubai inawezekana safari hiyo ilikuwa kwenda kuipeleka familia yake kwenye mjengo huo.

Powered by

Follow us-:

________________________________________________________
Karibu utangaze nasi sasa Biashara yako Kwa bei rahisi kabisa 🔥🫰

FIFA INTERNATIONAL FRIENDLY MATCH FT’ Kuwait 🇰🇼 4️⃣ - 3️⃣ 🇹🇿 TanzaniaCharles M’Mombwa ⚽️Tarryn Allarakhia⚽️Charles M’Mom...
15/11/2025

FIFA INTERNATIONAL FRIENDLY MATCH

FT’ Kuwait 🇰🇼 4️⃣ - 3️⃣ 🇹🇿 Tanzania
Charles M’Mombwa ⚽️
Tarryn Allarakhia⚽️
Charles M’Mombwa ⚽️

Serikali ya Rais Donald Trump inakusudia kuanza kuwanyima visa wahamiaji wa kigeni wenye unene uliopitiliza (vibonge).In...
15/11/2025

Serikali ya Rais Donald Trump inakusudia kuanza kuwanyima visa wahamiaji wa kigeni wenye unene uliopitiliza (vibonge).

Inaelezwa kuwa mbali na unene uliopitiliza, wahamiaji wengine wenye changamoto za kiafya ambazo zinaweza kuleta mzigo wa ziada kwa serikali, wanaweza kukataliwa maombi ya visa.

Waraka uliotumwa kwa balozi mbalimbali za Marekani duniani umewataka maafisa wa utoaji wa visa “kuzingatia afya ya mwombaji,” na kuongeza kuwa unene uliopitiliza unaweza kusababisha magonjwa k**a pumu, shinikizo la damu na maradhi mengine ambayo yanaigharimu serikali.

Waraka huo uliendelea kueleza kuwa magonjwa ya moyo na mishipa, magonjwa ya kupumua, saratani, kisukari, magonjwa ya mfumo wa mwili kuchakata chakula (metabolic diseases), magonjwa ya neva, na matatizo ya afya ya akili pia yanapaswa kuzingatiwa.

“Hali hizo zinaweza kuhitaji huduma zenye thamani ya mamia ya maelfu ya dola na huduma pana na za muda mrefu,” unasema waraka huo uliotiwa saini na KFF Health News.

Powered by

Follow us-:

________________________________________________________
Karibu utangaze nasi sasa Biashara yako Kwa bei rahisi kabisa 🔥🫰

SALAMU ZA PONGEZI KUTOKA KWA MHESHIMIWA MBUNGE ASMA MWINYI KWA WAZIRI MKUU MTEULE, MHESHIMIWA DKT. MWIGULU NCHEMBAMbunge...
14/11/2025

SALAMU ZA PONGEZI KUTOKA KWA MHESHIMIWA MBUNGE ASMA MWINYI KWA WAZIRI MKUU MTEULE, MHESHIMIWA DKT. MWIGULU NCHEMBA

Mbunge wa Jimbo la Welezo, Mheshimiwa Asma Mwinyi, ametuma salamu za pongezi kwa Mheshimiwa Dkt. Mwigulu Nchemba kufuatia uteuzi wake kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Katika salamu hizo, Mhe. Asma ameeleza kuwa uteuzi huo ni ishara ya imani kubwa aliyopewa Dkt. Nchemba na Viongozi wa Taifa, akisisitiza kuwa anaamini Waziri Mkuu huyo mpya ataendeleza misingi ya utumishi uliotukuka, uwajibikaji na kusukuma mbele agenda za maendeleo kwa manufaa ya Watanzania wote.

Aidha, amebainisha kuwa ni heshima kubwa kushirikiana naye Bungeni katika safari hii mpya ya majukumu makubwa ya kulitumikia Taifa, huku akimtakia hekima, busara na ujasiri katika utekelezaji wa majukumu hayo.

“Hongera sana Mheshimiwa Dkt. Mwigulu Nchemba kwa kuteuliwa kuwa Waziri Mkuu. Tunakuombea kila la heri katika jukumu hili muhimu kwa mustakabali wa nchi yetu,” amesisitiza Mhe. Asma Mwinyi.

cc:tanzaniasbu

14/11/2025

NYUMBANI KWA KINA KIBU DENNIS
Powered by

Follow us-:

________________________________________________________
Karibu utangaze nasi sasa Biashara yako Kwa bei rahisi kabisa 🔥🫰

Jaden Smith hafungui tu mgahaw anajenga harakati. Dhumuni lake la I Love You linahakikisha watu wanaoishi katika mazingi...
14/11/2025

Jaden Smith hafungui tu mgahaw anajenga harakati.

Dhumuni lake la I Love You linahakikisha watu wanaoishi katika mazingira magumu wanaweza kuingia na kula bure. Ukiwa na uwezo wa kulipa, utatozwa zaidi si kwa kukutia hatiani, bali kusaidia kuwapatia chakula wale wanaohitaji.

Huu ni ukarimu wa kipekee uliojengewa moja kwa moja kwenye biashara.

Ni zaidi ya chakula ni heshima. Ni ukumbusho kwamba huruma inaweza kuwa mfumo wa uendeshaji, si tukio la mara moja.

Powered by

Follow us-:

________________________________________________________
Karibu utangaze nasi sasa Biashara yako Kwa bei rahisi kabisa 🔥🫰

Address

Dodoma

Telephone

+255747692064

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Bongo Source posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Bongo Source:

Share