Bongo Source

Bongo Source PATA HABARI ZETU KUPITIA YOUTUBE YA BONGO SOURCE

KWA HABARI NA MATUKIO TUTAFUTE-: +255747692064

TAYARI MW3NZETU KAPIGWA KWENYR UBAVU
10/01/2026

TAYARI MW3NZETU KAPIGWA KWENYR UBAVU

🚨 Kwa mujibu wa Ripota  ni kuwa Simba imekamilisha Uhamisho wa Mshambuliaji Baraka Mwangosi kutoka Mbeya City ambaye ali...
10/01/2026

🚨 Kwa mujibu wa Ripota ni kuwa Simba imekamilisha Uhamisho wa Mshambuliaji Baraka Mwangosi kutoka Mbeya City ambaye alikuwa katika majaribio kwenye michuano ya Mapinduzi hivyo baada ya β€˜kuuwasha’ Klabu imempa mkataba kusalia Msimbazi kuelekea mbio za Ubingwa na Kimataifa.

Mnasemaje Wanangu😊

Anaandka Farahan M Kihamu

π…πˆππ€π‹βœ…π…π“β€™π’πˆππ†πˆπƒπ€ 𝐁𝐒 𝟎 πŸ†š 𝟏 π˜πŽπ”ππ† π€π…π‘πˆπ‚π€ππ’ 𝐒𝐂
09/01/2026

π…πˆππ€π‹βœ…

𝐅𝐓’

π’πˆππ†πˆπƒπ€ 𝐁𝐒 𝟎 πŸ†š 𝟏 π˜πŽπ”ππ† π€π…π‘πˆπ‚π€ππ’ 𝐒𝐂

Wanandoa mmoja wameamua kupanga mfumo wa fedha za familia yao kwa namna inayotambua umama k**a kazi halali, wakichukulia...
09/01/2026

Wanandoa mmoja wameamua kupanga mfumo wa fedha za familia yao kwa namna inayotambua umama k**a kazi halali, wakichukulia ujauzito, kujifungua na malezi ya watoto wa muda wote k**a ajira yenye gharama za muda mrefu kimwili, kihisia na kiuchumi.

Mume, ambaye ni mjasiriamali, humlipa mke wake dola 150,000 kwa kila ujauzito na kila mtoto, pamoja na mshahara wa kila mwaka wa dola 250,000 kwa nafasi yake k**a mama wa nyumbani. Kufuatia kuzaliwa kwa mtoto wao wa tano, jumla ya malipo yake ya kila mwaka sasa yanafikia takribani dola milioni 1.

Mpangilio huu uliwekwa kwa makusudi, huku wanandoa hao wakieleza kuwa ujauzito na malezi ya watoto wa muda wote husababisha mabadiliko ya kudumu kiafya, hupunguza muda binafsi na mara nyingi huathiri safari ya kazi ya mwanamke kwa miaka mingi β€” mambo yanayopaswa kutambuliwa kwa vitendo.

Wanasema huu si mpango wa kibiashara, bali ni kutambua mchango. Ujauzito una mahitaji makubwa kwa mwili wa mwanamke, una hatari za kiafya, na unaweza kupunguza uwezo wa mwanamke kujipatia kipato kwa muda mrefu. Kwa kuweka thamani ya kifedha kwenye kazi hiyo, wanakusudia kuleta usawa kati ya kazi ya kuzalisha kipato nje ya nyumba na kazi ya malezi ndani ya nyumba.

Wanandoa hao wamesisitiza kuwa mfumo wao unajengwa juu ya uwajibikaji wa pamoja na mipango ya muda mrefu, na hauhusiani na udhibiti wala kumfanya mmoja awe tegemezi kwa mwingine.

πŸ‘‰ Fuata zaidi:

ET Wakuu
07/01/2026

ET Wakuu

Dakika ya 119 mwamba alidondoka pale chama lake liliporuhusu goli dhidi ya Algeria na kuondolewa kwenye mashindano ya Af...
07/01/2026

Dakika ya 119 mwamba alidondoka pale chama lake liliporuhusu goli dhidi ya Algeria na kuondolewa kwenye mashindano ya Afcon msimu huu

Mechi zilizopita zote alikuwa akisimama kwa dakika zote za mchezo

Image ya Patrice Emery Lumumba, wanaharakati lazima wanamjua vyema huyo jamaa na misimamo yake ya kishujaa, alipokuwa akiukataa ukoloni kwenye karne ya 20

Lumumba kwenye barua yake ya wosia kwa mke wake ilinukuliwa akimwambia
"Usinililie mimi ila ililie Congo, kesho ya Congo ni nzuri"

Japo Amani haipo kwa 100% ila aliacha kumbukumbu za kishujaa sana kwa wacongoman na waafrica kiujumla...

Credit Mtandao

KWA NINI???
06/01/2026

KWA NINI???

πŸ“’ SIKU YA MECHI | HATUA YA 16 BORA – AFCON 2025πŸ† KIKOSI CHA KWANZA CHA LΓ‰OPARDS πŸ‡¨πŸ‡©πŸ†š Algeria πŸ‡©πŸ‡ΏπŸŸ Uwanja wa Moulay Hassan ...
06/01/2026

πŸ“’ SIKU YA MECHI | HATUA YA 16 BORA – AFCON 2025

πŸ† KIKOSI CHA KWANZA CHA LΓ‰OPARDS πŸ‡¨πŸ‡©
πŸ†š Algeria πŸ‡©πŸ‡Ώ
🏟 Uwanja wa Moulay Hassan – Rabat
πŸ•” Muda wa kuanza: Saa 1:00 jioni

🧀 Mpasi
πŸ›‘ Mbemba (K) – A. Wan-Bissaka – Tuanzebe – J. Kayembe
βš™οΈ Mukau – Moutoussamy – Sadiki
⚑ Elia – Bongonda
🎯 Bakambu

πŸ”„ Wachezaji wa Akiba:
Fayulu, Epolo, Kalulu, Kapuadi, Essende, Banza, Bushiri, Pickel, Kakuta, Mayele, Mbuku, Edo, Balikwisha, Cipenga, Batubinsika

πŸ”₯ Ni wakati wa mapambano. Ni wakati wa fahari ya taifa.
Wote tuwaunge mkono LΓ©opards kuandika ukurasa mpya wa historia! πŸ†πŸ’ͺπŸΎπŸ‡¨πŸ‡©

Habari kaka yangu,samahani sana kwa kukufata kwa njia hii. Naomba unisamehe kwa dharura hii.Naomba msaada wako ndugu yan...
04/01/2026

Habari kaka yangu,
samahani sana kwa kukufata kwa njia hii. Naomba unisamehe kwa dharura hii.
Naomba msaada wako ndugu yangu. Nimekwama sana na hali yangu siyo nzuri. Nipo kwenye maombi na nimeamua kuomba msaada kwa yeyote ambaye Mungu atamgusa anisaidie nauli ya tiketi kutoka Songwe kwenda Dar es Salaam (shilingi 63,000) ili niweze kwenda kumfuata mwanangu.
Nilimwacha nyumbani nikaja huku kutafuta maisha, lakini mambo hayakwenda k**a nilivyotarajia. Leo nimepigiwa simu nikaambiwa nirudi haraka, kwa sababu mwanangu yupo kwenye hali mbaya sana. Ameathirika kisaikolojia kutokana na kupigwa, kutukanwa na kukosa upendo wa mzazi. Mwanangu alikuwa mzima kabisa, lakini sasa hali yake inatia uchungu mkubwa.
Naomba nipate nauli tu nimuwahishe, nimchukue nimpeleke kwenye maombi na nimlee kwa upendo wangu mwenyewe. Mwanangu ana miaka 6 tu. Ninaamini kwa maombi, upendo na uangalizi, Mungu atamrejeshea afya yake ya akili na furaha yake.
Ndugu yangu, nipo chini ya miguu yenu πŸ™ naomba msaada wako kadri Mungu atakavyokuwezesha. Mungu akubariki sana kwa moyo wako wa huruma πŸ™
Namba yangu ya mawasiliano: 0683 077 398

Address

Dodoma

Telephone

+255747692064

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Bongo Source posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Bongo Source:

Share