
26/08/2025
Nini mtazamo wako kwa baadhi ya watu wasiotoa msaada wa matibabu kwa ndugu zao pindi wanapohitaji?
Wakisikia wameaga dunia ndipo wanapohangaika kugharamia gharama za mazishi.
Katika ABRA 93.7 TBC REDIO JAMII DODOMA tunajadili hilo kwenye Mada Mezani.
Shiriki nasi kwa kutoa maoni kwani mchango wako ni muhimu.
Kuanzia saa 3.00 Asubuhi -6.00 Mchana
Tunapatikana kwenye mitandao ya kijamii.
Facebook TBCDodoma
Instagram tbc_dodoma