DJ FranklyBoy

DJ FranklyBoy DJ,MUZIKI NA MICHEZO Utazipata apa kwenye ukurasa wako pendwa , Enjoy...

Room No 3Ni EP mpya kabisa ya Mbosso Ndani ya lebo yake mpya KHAN MUSIC vp umeshaipata Ep na umesikiliza ? Je ni Mbosso ...
13/06/2025

Room No 3
Ni EP mpya kabisa ya Mbosso Ndani ya lebo yake mpya KHAN MUSIC vp umeshaipata Ep na umesikiliza ? Je ni Mbosso yule yule au kabadilika baada ya kutoka WCB wasafi Toa maoni yako sehemu ya komenti...🎼🎼🎼

Ipi imekubamba apo kati ya 1-17
02/12/2024

Ipi imekubamba apo kati ya 1-17

  unaipa asilimia ngapi akiwa na zuchu.
02/12/2024

unaipa asilimia ngapi akiwa na zuchu.

Ngoma gani umeikubali kutoka kwenye album ya Marioo
02/12/2024

Ngoma gani umeikubali kutoka kwenye album ya Marioo

Kati ya hawa wachezaji namba gani apo ambayo shabiki wa simba au mdau wa soka unaona imeenda kwa mtu sahihi?
23/11/2024

Kati ya hawa wachezaji namba gani apo ambayo shabiki wa simba au mdau wa soka unaona imeenda kwa mtu sahihi?

Hii ndio   maneno ya shabik mmoja wa   ww unaonaje kwa maoni yako mdau...
23/11/2024

Hii ndio maneno ya shabik mmoja wa ww unaonaje kwa maoni yako mdau...

Salamu wafuasi wangu wapya! Nina furaha kuwa nanyi! Khan Ceejay, Kelvin Safari, Imran Brighton, Eliah Eliah
23/11/2024

Salamu wafuasi wangu wapya! Nina furaha kuwa nanyi! Khan Ceejay, Kelvin Safari, Imran Brighton, Eliah Eliah

Nyama nyingi ugali kidogo
31/10/2024

Nyama nyingi ugali kidogo

31/10/2024
31/10/2024
Watu tunapenda sehemu ya furaha na amani mmeliona hilo.
31/10/2024

Watu tunapenda sehemu ya furaha na amani mmeliona hilo.

Tutayaweza Haya Jamani Vijana Wenzangu Au Tuboreshe Tu Mahaba Kwenye Ndoa Yetu Na Umasikini???
04/04/2024

Tutayaweza Haya Jamani Vijana Wenzangu Au Tuboreshe Tu Mahaba Kwenye Ndoa Yetu Na Umasikini???

Address

Dodoma

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when DJ FranklyBoy posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to DJ FranklyBoy:

Share

Category