Ambokile Francis

Ambokile Francis Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Ambokile Francis, Digital creator, African Dream, Dodoma.

📖 Stories That Make You Laugh😅
❤️ Advice That Warms Your Heart.
💡Tech Tips That keep You Ahead
⚡️Where Stories, Love & Tech Meet.
⌚️Your daily Dose of good vibes.🤏🏾

JIFUNZE KUTULIAUsiku ni muda wa kutuliza moyo na akili.  Baada ya pilikapilika za mchana, jifunze kutulia — si kila kitu...
17/08/2025

JIFUNZE KUTULIA
Usiku ni muda wa kutuliza moyo na akili.
Baada ya pilikapilika za mchana, jifunze kutulia — si kila kitu kinahitaji majibu leo.

🧘‍♀️ Tulia na Tafakari:
- Si kila maumivu ni laana — mengine ni mafundisho.
- Si kila ukimya ni adhabu — mwingine Mungu anakufundisha kuvumilia.
- Si kila kuchelewa ni kukosa — labda anakuandalia bora zaidi.

🤏🏾📃UJUMBE WA USIKU:
Jipe nafasi ya kupumua. Maisha ni safari, si mbio. Yaliopita yaachie, yajayo yakaribishe kwa imani.

🛏️ Lala ukiwa na moyo wa shukrani, si kwa sababu kila kitu kiko sawa, bali kwa sababu bado una nafasi ya kuona kesho.

🌲🌲🌲🌲nawapenda wote🙏

📚UFAFANUZI  KUHUSU MIKOPO KUPITIA ESS (E-LOANS)📌 JE, MTUMISHI UNASOMA MKATABA WA MKOPO WAKO KABLA YA KUUKUBALI?Katika ul...
15/08/2025

📚UFAFANUZI KUHUSU MIKOPO KUPITIA ESS (E-LOANS)

📌 JE, MTUMISHI UNASOMA MKATABA WA MKOPO WAKO KABLA YA KUUKUBALI?

Katika ulimwengu wa kidijitali, watumishi wengi wa umma wanakopa kupitia mifumo ya kielektroniki (mf. ESS) bila kupitia kwa kina mikataba 📃 ya mkopo.

Hali hii imekuwa chanzo kikuu cha changamoto nyingi za kifedha.

⚠️ Tatizo Kuu Lililopo:
- Watumishi wanakubali mikataba bila kuisoma au kuielewa.
- Mikataba hiyo ina masharti ambayo yakiwekwa kwenye mfumo, huenda hayatoi fursa ya mtumishi kufanya maamuzi sahihi kabla ya pesa kuingizwa.
- ESS kwa sasa haiwekwi nakala ya mkataba wa mkopo kwa mtumishi kuipitia kabla ya kuendelea ku-apply Mkopo.

✅ Nini Unapaswa Kufanya Kabla ya Kukubali Mkopo?

1. Kwa kuwa mkataba kwenye ess haupo basi Tembelea benki unayotaka kupkopa kabla ya ku-apply loan
- Omba upate nakala ya mkataba au masharti ya mkopo (Terms & Conditions)

- Upewe muda wa siku 2–3 kwa ajili ya kusoma kwa utulivu.

2. Soma vipengele muhimu vya mkataba kabla ya ku-sign:

- Uwezekano wa kulipa mkopo wote kwa mkupuo

→ Je, mkataba unaruhusu hilo? Kwa masharti gani?

- Uwezekano wa kuuza deni kwa taasisi nyingine (loan buy-off)
→ Je, kuna tozo za siri? Je, unahitaji idhini ya maandishi?
- Utaratibu wa top-up
→ Unaruhusiwa baada ya muda gani? Kwa masharti yepi?

3. Epuka kushawishiwa haraka kukubali mkopo bila kuelewa mkataba.

🧠 Mfano Halisi:
Mwalimu mmoja alikopa Milioni 18, lakini kwa sababu ya riba iliyokuwa ndani ya mkataba (ambao hakusoma), alitakiwa kulipa Milioni 36 kwa miaka 10.

Alipotaka kulipa kwa mkupuo baada ya miaka 2, alikuta mkataba wake hauuruhusu jambo hilo, au linaruhusu lakini kwa tozo kubwa sana.

💡 Ushauri wa Kitaalamu:
- Ulizia mkataba na uupitie kwa kina kabla ya kukubali mkopo.
- Omba maelezo ya vipengele vya mkopo kwa maandishi.
- Fanya maamuzi ya kifedha kwa maarifa, sio kwa haraka.

📝 HITIMISHO: 🤏🏾
Kupitia ESS bila mkataba kamili kunaweka mtumishi kwenye hatari ya kifedha. Mafanikio ya kifedha siyo kupewa mkopo mkubwa, bali ni kuchukua mkopo wenye masharti unayoyaelewa na unaweza kuyatekeleza.

Ila watoto kwa Utundu Sasa Hapo Kaingiaje 🤣🤣🤣🤣 Akitoka Hapo Harudii Tena
12/08/2025

Ila watoto kwa Utundu
Sasa Hapo Kaingiaje 🤣🤣🤣🤣 Akitoka Hapo Harudii Tena

Mtaje Mwalimu Wako wa Mathematics Aliyekuwa na Tabia kaka za huyu Mwalimu 🤣🤣🤣🤣
12/08/2025

Mtaje Mwalimu Wako wa Mathematics Aliyekuwa na Tabia kaka za huyu Mwalimu 🤣🤣🤣🤣

FUN FACT: People and Parents Respect you more when they don't see you often.
12/08/2025

FUN FACT:
People and Parents Respect you more when they don't see you often.

12/08/2025

Baki Njia Kuu Brother..... 🤣🤣🤣🤣 Tazama Hapa

Pesa unazotoa Nje kwenye michepuko ni nyingi Sana ungeweza kununua hata Gari...

08/06/2025

Pesa sio kila kitu katika maisha.
Maisha hayajakamilika kwa mtu yeyote.
Kuna mwenye nyumba hana gari.
Kuna mwenye gari hana watoto.
Kuna mwenye watoto hana pesa.
Kuna mwenye pesa hana afya.
Kuna mwenye afya hana kazi.
Kuna mwenye vyote lakini hana amani wala furaha.
MSHUKURU MUNGU KWA KILA HALI ULIYONAYO.

CODE
05/04/2025

CODE

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria imebaini changamoto ya mtandao na ukosefu wa vitendea kazi kwa wa...
08/02/2025

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria imebaini changamoto ya mtandao na ukosefu wa vitendea kazi kwa watumishi wa umma waliopo vijijini, hali inayowakwamisha kutumia mfumo wa kupima utendaji kazi wa watumishi (PEPMIS) ambao sasa unajulikana k**a e-Utendaji.

Februari 5, 2025, Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Dkt. Joseph Mhagama, amesema changamoto hiyo inasababisha baadhi ya watumishi kushindwa kujaza taarifa zao kwa wakati, hivyo kushindwa kufikia viwango vinavyohitajika.

Kutokana na hilo, Bunge limeazimia kuwa matumizi ya PEPMIS yaendane na utoaji wa vitendea kazi na kuboreshwa kwa mtandao katika maeneo ya vijijini. Pia, Serikali ifanye tathmini ya mfumo huo na kutatua changamoto zilizojitokeza tangu kuanza kwake. Wabunge wameikubali na kupitisha maazimio ya k**ati hiyo likiwemo hilo la PEPMIS.

Kwa Mujibu wa Utafiti wa Jarida Moja Linashughulikia mahusiano inasemekana kuwa "Baada ya kuachana , 80% ya wanawake hui...
04/02/2025

Kwa Mujibu wa Utafiti wa Jarida Moja Linashughulikia mahusiano inasemekana kuwa

"Baada ya kuachana , 80% ya wanawake huingia kwenye uhusiano na mwanaume ambaye tayari alikuwa akizungumza naye wakati yupo bado kwenye mahusiano na wewe."

Na haichukui hata wiki, unaachwa leo kesho kutwa yupo na mwingine!! 😪

STORI YA KUCHEKESHA KWA UFUPI KATIKA PICHA 🤣🤣🤣🤣🤣SHUKA NAYO..
04/02/2025

STORI YA KUCHEKESHA KWA UFUPI KATIKA PICHA 🤣🤣🤣🤣🤣

SHUKA NAYO..

Address

African Dream
Dodoma
41104

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Ambokile Francis posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Ambokile Francis:

Share