Team seeker

Team seeker Ishi kulingana na umri sio mazingira tena

TIBA ZA ASILI KWA MIGUU  KUPASUKA Miguu yako imekauka au kupasuka? Usihangaike! Hizi hapa tiba 4 za asili unazoweza kute...
31/07/2025

TIBA ZA ASILI KWA MIGUU KUPASUKA

Miguu yako imekauka au kupasuka? Usihangaike! Hizi hapa tiba 4 za asili unazoweza kutengeneza nyumbani:

---

1. NDIZI MBIVU 🍌
Ponda ndizi mbivu, paka nyamanyama hizo miguuni.
πŸ•’ Acha kwa dakika 15–20, kisha suuza kwa maji ya uvuguvugu.
βœ… Fanya mara 3–4 kwa wiki.

---

2. ASALI 🐝
Changanya kikombe 1 cha asali kwenye beseni la maji ya uvuguvugu.
πŸ’¦ Loweka miguu dakika 15.
🧦 Kisha vaa soksi ili ngozi ilainike zaidi.

---

3. MAFUTA YA UFUTA πŸͺ”
Fanya masaji ya miguu kila jioni kwa dakika 10
➑️ Tumia mafuta ya ufuta (sesame oil) haswa sehemu zilizoathirika.

---

4. BAKING SODA + MAJI YA MOTO πŸ›
Weka baking soda kwenye maji ya moto
➑️ Loweka miguu, kisha sugua taratibu kuondoa ngozi iliyokufa.
πŸ”„ Unaweza kuongeza limao, parachichi au apple cider vinegar kwa matokeo bora.

HATUA ZA JINSI YA KUTUMIA MMEA WA KIVUMBASI ILI  KUSAFISHA FIGO NA KUKOMESHA TATIZO LA BAWASIRI (HAEMORRHOIDS) Ugonjwa w...
30/07/2025

HATUA ZA JINSI YA KUTUMIA MMEA WA KIVUMBASI ILI KUSAFISHA FIGO NA KUKOMESHA TATIZO LA BAWASIRI (HAEMORRHOIDS)

Ugonjwa wa figo ni miongoni mwa maradhi yanayoongoza kwa kusababisha kifo cha ghafla kwa binadamu. Kusafisha figo zako na kuzifanya ziwe na afya njema ni njia mojawapo nzuri ya kuepuka ugonjwa wa Figo.

Kazi ya figo ni kuchuja damu yako. Huondoa taka, na kudhibiti usawa wa maji ya mwili, na kuweka viwango sahihi vya elektroliti. Damu yote katika mwili wako hupita ndani yake takriban mara 40 kwa siku.

Sasa majani la Harufu aunkivumbasi mmea unaojulikana kitaalamu k**a Ocimum gratissimum, ni mmea wenye harufu nzuri ambayo hupatikana sana kwa wingi katika maeneo ya kitropiki na ya joto duniani. Asilia ni Nigeria, Ghana, Cameroun, Madagaska, Kusini mwa Asia, na Visiwa vya Bismarck.

Mmea wa majani ya harufu au kivumbasi unaweza kusaidia kwa kuondoa chumvi, sumu na taka zote hatari zinazozunguka figo zetu.

Jinsi ya kupata dawa hii ya asili:

HATUA YA KWANZA:

Chukua majani kadhaa (mmea wote k**a ulivyo) osha vizuri, kisha katakata vipande vidogovidogo weka kwenye sufuria na kisha weka maji safi (lita 1).

HATUA YA PILI:

Chemsha kwa moto mdogo (wa kawaida) kwa muda wa dakika kumi, kisha uiruhusu iwe ya baridi au ipoe , chuja na weka kwenye chupa safi na utunze sehemu nzuri .

HATUA YA TATU:

Kunywa kikombe kimoja kwa siku mara mbili kila siku na utaona kwamba chumvi na sumu zote zilizokusanywa kwenye figo zako huanza kuonekana wakati wa kukojoa.

Asili huponya

πŸͺ΄ MNYONYO MNYONYO MNYONYO – Dawa ya Asili ya Maajabu kwa Magonjwa Mbali Mbali🌿 Mnyonyo ni mmea wa tiba wenye nguvu kubwa...
30/07/2025

πŸͺ΄ MNYONYO MNYONYO MNYONYO – Dawa ya Asili ya Maajabu kwa Magonjwa Mbali Mbali

🌿 Mnyonyo ni mmea wa tiba wenye nguvu kubwa katika tiba ya magonjwa ya ndani na ya nje. Hasa mafuta yake, mizizi na majani yake yote yana faida kubwa kiafya.

---

1️⃣ Maumivu ya Viungo (Joints) – Gout, Rheumatoid, Arthritis n.k.

βœ… Tiba ya ndani na nje:
πŸ‘‰ Nje: Pasha moto majani ya mnyonyo, yafunge au yasugue kwenye sehemu yenye maumivu mara mbili kwa siku.
πŸ‘‰ Ndani: Tumia chai ya majani ya mnyonyo mara 2 hadi 3 kwa siku – chemsha kwa dakika 15–20.

---

2️⃣ Matatizo ya Ini (Liver Problems)

πŸ‘‰ Kausha majani, sagwa kuwa unga.
πŸ‘‰ Tumia k**a chai (kijiko kimoja kwenye kikombe cha maji moto).
πŸ‘‰ Kunywa kwa siku 21 hadi 56 kutegemea na hali yako.

---

3️⃣ Ngiri (Hernia / Mshipa) – Mshipa wa Ngiri

πŸ‘‰ Chemsha mizizi ya mnyonyo na kunywa kikombe kimoja mara 3 kwa siku.
πŸ‘‰ Au saga mizizi kuwa unga, tumia kijiko 1 cha chakula au vijiko 2 vya chai kwa kikombe cha maji moto kila siku.
⏳ Tiba kwa siku 21–30.

---

4️⃣ Uume Kusinyaa au Kusimama Legelege

πŸ‘‰ Pasha kitambaa safi kwenye maji ya moto yasiyounguza, kanda uume kwa dakika 3–5.
πŸ‘‰ Baada ya hapo chukua mafuta ya mnyonyo, chua kuanzia kwenye mapumbu hadi kichwani kwa upole na taratibu.
🚫 USIJICHUE! Hii ni tiba ya nguvu si starehe.

---

5️⃣ Maumivu ya Maungio / Viungo (Arthritis / Joint Pain)

πŸ‘‰ Paka mafuta ya mnyonyo kwenye mikono, ipashe joto juu ya makaa kidogo.
πŸ‘‰ Kisha chua eneo lenye maumivu mara mbili kwa siku.

---

6️⃣ Chunjua / Sundosundo / Warts

πŸ‘‰ Paka mafuta ya mnyonyo moja kwa moja juu ya sundosundo hizo kila siku hadi zipotee.

---

7️⃣ Matatizo ya Macho (Eye Problems)

πŸ‘‰ Tumia tone 1 tu la mafuta ya mnyonyo kwenye kila jicho.
⚠️ Fanya chini ya ushauri wa mtaalam, usitumie kwa macho yenye kidonda au uoni hafifu usioeleweka.

---

8️⃣ Kukosa choo (Constipation)

πŸ‘‰ Weka matone 2 ya mafuta ya mnyonyo kwenye kikombe 1 cha maji ya moto.
πŸ‘‰ Kunywa asubuhi na jioni.

🚽 Angalizo: Kaa karibu na choo! πŸ”₯
"FUSO itakata breki! Dereva hataweza kuhimili usukani!" πŸ˜…

---

πŸ’₯ Ni muhimu sana kuwa na mafuta ya mnyonyo nyumbani kwako – ni k**a first aid ya asili!

🧴 Ukiwa na Mafuta ya Mnyonyo, una tiba ya magonjwa zaidi ya 10 kwa mkono mmoja

Hujambo Nyote πŸ‘‹Hii ni kwawanaume tuu wavulana kaeni Kando kdgIwapo ulisha s*x na katoto ka 2006 kakasema hakajaridhikaUk...
29/07/2025

Hujambo Nyote πŸ‘‹Hii ni kwawanaume tuu wavulana kaeni Kando kdg

Iwapo ulisha s*x na katoto ka 2006 kakasema hakajaridhika

Ukashindwa kurudia tendo

Ukawahi kumaliza game kakakuambia Rudia mashine ikagoma ukatoa macho k**a mjusi kabanwa na mlango

Au ikasimama lakini ikawa Haina nguvu ya kuzama kwenye geto la kasongo mbonaweyooo

Usife moyo Babu Yako nimekuja na suruhisho la mda mfupi na utapona kabisa ukizingatia tiba hii

Andaaa vitu vifuatavyo leo Tena sasaivi

βœ”οΈ Vijiko viwili vya Karafuu

βœ”οΈ 1/2 kijiko ya Unga WA pilipili manga

βœ”οΈ Tangawizi Moja kipande ukubwa WA dole gumba kata vipande vidogovidogo

βœ”οΈ Mafuta ya mzaituni 50mls

βœ”οΈPunje 10 za kitunguu swaumu

Changanya vizuri vitu vyote Kisha viache usiku mzima

Asubuhi kunywa kijiko kimoja na utafune Punje 3 za kitunguu swaumu

Kisha mwambie aje

VIDONDA VYA TUMBO.πŸ’― dawa ya nyumbani kwa tatizo la  vidonda vya tumbo.Tafuta  papai ambazo hazijaiva, zioshe vizuri, kat...
28/07/2025

VIDONDA VYA TUMBO.

πŸ’― dawa ya nyumbani kwa tatizo la vidonda vya tumbo.

Tafuta papai ambazo hazijaiva, zioshe vizuri, katakata vipande vidogovidogo, weka kwenye chombo na ongeza lita 2 za maji.

Ihifadhi dawa yako kwa muda wa siku 3 ili ichachuke, baada ya kuchuja na kupata maji yake unaweza kutupa mabaki yake .

Siku ya 4 sasa anza kunywa kikombe 1/2 mara 3 kwa siku kwa wiki 2 hadi mwezi,

tengeneza mchanganyiko mpya ukimaliza ule uliotayarisha .

Dawa hii inaponya vidonda vya tumbo kabisa

*Faida za Mbegu za Parachichi:*Watu wengi hutupa mbegu za parachichi, lakini zina virutubisho vingi vyenye faida kubwa k...
27/07/2025

*Faida za Mbegu za Parachichi:*

Watu wengi hutupa mbegu za parachichi, lakini zina virutubisho vingi vyenye faida kubwa kiafya. Kuanzia kuwa na viambato vya kupambana na sumu mwilini hadi kuboresha usagaji wa chakula, mbegu hizi zina faida nyingi. Leo nitawapa sababu 7 za kwanini utumie mbegu za parachichi:

*1. Tajiri kwa Viambato vya Kupambana na Sumu Mwilini (Antioxidants):*
β€”Mbegu za parachichi zina kiasi kikubwa cha antioxidants, ambavyo hupambana na sumu (free radicals) mwilini. Free radicals husababisha madhara kwenye seli na kuongeza hatari ya magonjwa sugu k**a *saratani na magonjwa ya moyo.*

*Faida:*
- Hupunguza madhara ya oxidative stress.
- Hupunguza hatari ya magonjwa sugu.

*2. Husaidia Usagaji wa Chakula:*
β€”Mbegu hizi zina nyuzinyuzi nyingi ambazo husaidia usagaji wa chakula, kurekebisha haja ndogo, na kupunguza kutokupata choo.

*Faida:*
- Huboresha usagaji wa chakula.
- Hupunguza matatizo k**a tumbo kujaa gesi na kufunga choo.

*3. Husaidia Moyo:*
β€”Nyuzinyuzi na antioxidants zilizopo hupunguza kiwango cha mafuta mabaya kwenye damu (LDL), hivyo kupunguza hatari ya ugonjwa wa moyo. Pia, husaidia mzunguko mzuri wa damu.

*Faida:*
- Hupunguza cholesterol mbaya.
- Hupunguza hatari ya kiharusi na magonjwa ya moyo.

*4. Husaidia Kupunguza Uzito:*
β€”Kwa kuwa zina nyuzinyuzi nyingi, huongeza hisia ya kushiba haraka, hivyo kupunguza ulaji wa chakula.

*Faida:*
- Huzuia hamu ya kula sana.
- Husaidia kupunguza uzito kwa njia ya asili.

*5. Huimarisha Kinga ya Mwili:*
β€”Mbegu hizi zina kemikali za *phenolic* zenye uwezo wa kuua bakteria na fangasi.

*Faida:*
- Huimarisha kinga ya mwili.
- Huzuia maambukizi ya bakteria na fangasi kwa njia ya asili.

*6. Kupunguza Uvimbe (Inflammation)*
β€”Mbegu za parachichi zina sifa za kupunguza uvimbe. Unapotumia unga wa mbegu hizi mara kwa mara, unaweza kusaidia kupunguza dalili za magonjwa ya kuvimba k**a vile baridi ya bisi (arthritis) na maumivu ya viungo.

*Faida:*
- Husaidia kudhibiti hali za kuvimba, kupunguza maumivu na uvimbe.
- Husaidia kuboresha afya ya viungo na misuli kwa ujumla.

*7. Kuboresha Afya ya Ngozi*
β€”Mbegu za parachichi zina vitamini E na viambato vya kupambana na sumu mwilini (antioxidants), ambavyo husaidia kupambana na uzee na kulinda ngozi dhidi ya uharibifu.
β€”Unga wa mbegu ukiwekwa juu ya ngozi (topically), unaweza kusaidia kuondoa seli zilizokufa na kupunguza uvimbe, hivyo *kuifanya ngozi kung'aa na kuonekana changa.*

*Faida:*
- Huongeza uimara wa ngozi na kupunguza mikunjo.
- Hupambana na sumu na kuifanya ngozi iwe na afya na ya kung’aa.

*Matumizi Mengine ya Kijadi ya Mbegu za Parachichi.*

- Hutumika kutibu meno yaliyotoboka
- Kutibu upungu wa mbegu za kiume
- Hutumika kusawazisha mzani wa homoni (hormone imbalance)

*Jinsi ya Kutumia Mbegu za Parachichi:*

- Kausha mbegu kwa kuzianika kivulini au kuoka kwa moto wa chini kwenye oveni.
- Saga mbegu kuwa unga laini kwa kutumia blender au mashine ya chakula.
- Tumia unga huo kwenye kunuwa katika maji ya moto, smoothies, chai au supu.

*Note:* Kwa matumizi ya ngozi, changanya na maji au mafuta kutengeneza scrub au mask ya uso.

*ZINGATIA* K**a una shida ya mzio (allergy) au matatizo ya ini na figo, kabla ya kuanza kutumia unga wa mbegu hizi, wasiliana na daktari ili kuhakikisha kuwa ni salama kwako

🌿 KIVUMBASI / KIRUMBASHA 🌿Mti huu wa ajabu umetumika kwa miaka mingi kutibu magonjwa ya mwili na kiroho – ukiwemo uchawi...
27/07/2025

🌿 KIVUMBASI / KIRUMBASHA 🌿

Mti huu wa ajabu umetumika kwa miaka mingi kutibu magonjwa ya mwili na kiroho – ukiwemo uchawi, mashetani, nuksi na changamoto za kiafya

πŸ”Ÿ FAIDA 10 KUBWA ZA KIVUMBASI:

1️⃣ Kifafa – Ponda majani yake, kunywa nusu kikombe asubuhi na jioni kwa siku 7

2️⃣ Miguu Kuwaka Moto – Chemsha na mtula tula, changanya na mafuta ya taa & ya kula, lowa miguu

3️⃣ Zongo Kali – Mizizi ya kivumbasi na mtula tula chemsha, kunywa mara 3 kwa siku Γ— siku 3

4️⃣ Tumbo Kujaa Gesi – Tunga majani, kamua maji, kunywa siku 2

5️⃣ Chango & Maumivu ya Kiuno (kwa wanawake) – Mizizi saba, chemsha, kunywa siku 7

6️⃣ Maumivu ya Kichwa & Kuondoa Majini – Majani ya kivumbasi + vitunguu saumu, ponda jipake kichwani

7️⃣ Degedege kwa watoto – Chemsha majani ya kivumbasi + mizizi ya mdizi, mwoshe mara 2 kwa siku

8️⃣ Kuondoa Nuksi – Pandisha nyota ya mtu, ondoa mikosi ya biashara & ndoa

9️⃣ Kifua Kubana – Ponda majani, jipake kifuani na unywe maji yake mara mbili kwa siku

πŸ”Ÿ Kuzuia Uharibifu wa Majumba na Biashara (Zindiko) – Mizizi 7 ya kivumbasi + mpera + mtulatula, funga kona zote za nyumba/eneo lako.

βœ… Tiba ni asili, lakini matokeo yake ni ya kipekee sana. Usikate tamaa – Chukua hatua leo!

DAWA YA MIGUU KUUMA,KUVIMBA,KUWAKA MOTO,KUFA GANZI NA KIUNO KUUMA.Maandalizi ya dawa:pondaponda kitunguu swaumu Kisha ta...
26/07/2025

DAWA YA MIGUU KUUMA,KUVIMBA,KUWAKA MOTO,KUFA GANZI NA KIUNO KUUMA.

Maandalizi ya dawa:

pondaponda kitunguu swaumu
Kisha tafuta na majivu ya kutosha
halafu kamulia maji mengi ya kutosha ya ndimu au limau kwenye huo mchanganyiko wako
halafu utaweka na mafuta ya taa kidogo hakikisha dawa Yako imekuwa rojorojo baada ya hapo utakuwa unajipaka kwenye MIGUU Yako au kwenye KIUNO chako kutwa mara 2 ndani ya siku 7-14 hakika utapona.

HABARI WANA TEAM SEEKERLEO TUTAANGALIA DAWA HIZI ZINASAIDIA SANA KWA WAGONJWA WA GANZI NA MIGUU KUWAKA MOTO        (1)KI...
26/07/2025

HABARI WANA TEAM SEEKER

LEO TUTAANGALIA DAWA HIZI ZINASAIDIA SANA KWA WAGONJWA WA GANZI NA MIGUU KUWAKA MOTO
(1)KITUNGUU SWAUMU
(2)MAFUTA YA N**I
MANDALIZI YA DAWA HII CHEMSHA MAFUTA YAKO YA N**I AKIKISHA YAMECHEMKA VIZURI CHUKUA TEMBE TATU ADI NNE ZA VITUNGUU SWAUMU USITWANGE WALA KUVISAGA WEKA KWENYE MAFUTA YAKO VITACHEMKA ADI KUUNGUA VIKISHA UNGUA IPUA CHUJA MAFUTA NA UANZE KUJICHUA

UKIHITAJI AMBTO TAYARI ISHAANDALIWA ELFU 15

TIBA YA MIGUU KUWAKA MOTO, KUPASUA ,GANZI,TAFUTA MKUNDE PORI  CHEMSHA MIZIZI MINGI WEKA KWENYE DISHI AU NDOO TUMBUKIZA M...
26/07/2025

TIBA YA MIGUU KUWAKA MOTO, KUPASUA ,GANZI,

TAFUTA MKUNDE PORI CHEMSHA MIZIZI MINGI WEKA KWENYE DISHI AU NDOO TUMBUKIZA MIGUU YAKO IKAE HUMO NUSU SAA.
UFANYE KWA MUDA WA SIKU 3-7, UKIMALIZA TAFUTA MAFUTA YA KUCHUA UCHUE MIGUU NA SEHEMU ZOTE ZENYE GANZI.

23/07/2025

Address

MOROGORO
Dodoma
622

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Team seeker posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Team seeker:

Share

Category