Simulizi NA Michezo Tz.

Simulizi NA Michezo Tz. Wakara wa simuilizi na matukio yote GRP special for story and others. post s. and share. every thing X move and pictures no. in my GRP

07/11/2025

MUNGU NI MWEMA SANA TUMETOKA SALAMA
9.10.2025 ✋

25/10/2025

╱◥██████◣
│∩│🌄▤│▤▤│
K**a simu yako ni original copy hii 🤣🤣🤣

SAIDA KAROLI.Saida Karoli Amezaliwa mkoani Kagera tarehe 4 Aprili 1976 ni mwanamuziki wa nyimbo za asili ya Kihaya  Said...
20/10/2025

SAIDA KAROLI.

Saida Karoli Amezaliwa mkoani Kagera tarehe 4 Aprili 1976 ni mwanamuziki wa nyimbo za asili ya Kihaya Saida alipata elimu ya msingi mwisho darasa la tano tu, ambapo ilibidi aache shule kutokana na kukosa msaada kutoka kwa baba yake ambaye hakuwa anaitazama sana elimu ya mtoto wake, hivyo hakuweza kuendelezwa

Saida alikulia katika kijiji cha Rwongwe mkoani Kagera na kutokana na mila za ukoo wake wasichana walikuwa hawaruhusiwi kushiriki katika shughuli za kimuziki. Hata hivyo kwa vile mama yake alikuwa na kipaji cha muziki alimpa moyo na kumfundisha masuala mbalimbali ya kimuziki

Akiwa na miaka 20 mama yake mzazi alifariki dunia lakini Saida aliendelea kujijengea kipaji chake cha uimbaji na upigaji ngoma

Kukua kwake kimuziki Kipaji cha usanii wa muziki kwa Saida kilijitokeza ghafla baada ya kujikuta akichukuliwa na kudhaminiwa na FM Productions Ltd waliokuwa mkoani Kagera wakitafuta wasanii wenye vipaji kwa ajili ya kuwaendeleza

FM ilimchukua Karoli wiki tatu tu kurekodi nyimbo yake ya kwanza ilotoka na kuish*tua Dar es Salaam mzima pamoja na nchi za jirani za Afrika Mashariki

Albamu yake ya kwanza ilizinduliwa tarehe 2 Septemba mwaka 2001 .
Albamu hiyo ilipata mafanikio makubwa na kupata umaarufu mkubwa sana kwakuwa albamu hiyo ilikuwa na vionjo vingi vya kabila la Kihaya

Albamu hiyo ilijulikana k**a Maria Salome. Japokuwa mashabiki wake waliibatiza jina la Chambua k**a Karanga kutokana na maneno aliokuwa anaimba katika nyimbo ya Maria Salome nyimbo iliobeba jina la Albamu

Albamu hiyo ilifuatiwa na ziara kubwa alizokuwa anafanya katika nchi za jirani k**a vile Burundi , Rwanda,Uganda na Kenya ambapo alipata mafanikio makubwa na Saida kujikuta akibatizwa na kupewa jina la malkia wa nyimbo za asili

Kutokana na uwezo alionao na kipaji katika masuala ya muziki ni rahisi kugundua kuwa
mwanamuziki huyo ana kiwango cha kuweza kupata mashabiki wa muziki wake mbali na
Tanzania na Afrika ya Mashariki.

Facian Muta promota na meneja maarufu miaka ya 20

Yanga SC imevunja mkataba na kocha wake Romain Folz kuanzia leo .. Taarifa iliyotolewa leo na klabu hiyo imesema kwa sas...
19/10/2025

Yanga SC imevunja mkataba na kocha wake Romain Folz kuanzia leo ..

Taarifa iliyotolewa leo na klabu hiyo imesema kwa sasa timu itakuwa chini ya kocha wake msaidizi, Patrick Mabedi, wakati mchakato wa kutafuta kocha mpya ukiendelea....

Hapo unapo kaa ukisema mtungi wa Gas uufunge nje, itachukua dakika ngapi kutoukuta?😂mimi saa 12
17/10/2025

Hapo unapo kaa ukisema mtungi wa Gas uufunge nje, itachukua dakika ngapi kutoukuta?😂

mimi saa 12

TUKIO LA KICHAWI HILI JAMANI LIMESHANGAZA WATU😭😭Leo saa tatu asubuhi katika Kijiji Cha Nyabilele kilichopo kata ya Mganz...
17/10/2025

TUKIO LA KICHAWI HILI JAMANI LIMESHANGAZA WATU😭😭
Leo saa tatu asubuhi katika Kijiji Cha Nyabilele kilichopo kata ya Mganza mkoani Geita kumetokea tukio la ajabu sana.Kwanza Mimi nilikuwa sijui kinachoendelea nikawa nimechukua Boda Boda anipeleke Mwaloni panaitwa Kikumba ili ninunue samaki wa mboga.Basi tukaenda mwaloni nikashuka kwenye Boda Boda nikaingia mwaloni nikanunua samaki nikaita Boda Boda mwingine nikarudi nyumbani.Mara nikasikia kelele hapo Kwa jirani nikakuta watu wengi saana yaani na Mimi ikabidi nisogee,kusogea nikakuta mwanamke mmoja amezingirwa na watu kibao yaani mpaka kumuona nimetumia nguvu sana ili nione kinachoendelea.Ndipo nikapata Bahati ya kusogea na kumwona yule mwanamke.Yaani huwezi kuamini yule mwanamke sio mkubwa sana k**a ana umri mkubwa ana miaka 34 na ni mnene alafu alifunga kitambaa cheusi kichwani na amevaa nguo zote nyeusi.Kumcheki mikononi nikaona ameshikilia kitambaa cheusi yaan kumbe alikuwa anauza nguo za mtumba nzuri sana.Nikanunua nguo moja nikaondoka na kukuta hao mbwa wako juu ya kaburi nikawapiga picha ili nipate jinsi ya kupoteza muda wako Kwa kuandika Makala hii isiyo na maana yoyote ila umeisoma bila kujali kuwa haina maana yoyote.

Salamu wafuasi wangu wapya! Nina furaha kuwa nanyi! Sadick Membe, Elliot Joel, Rdj Circuit, Bidhaa Zote, Careen Rojas
08/10/2025

Salamu wafuasi wangu wapya! Nina furaha kuwa nanyi! Sadick Membe, Elliot Joel, Rdj Circuit, Bidhaa Zote, Careen Rojas

Mtu anapendwa na kuonekana wathamani akiwa hai JANI LIMESTAWI NA HAKUNA ANAYEONA 🚫
08/10/2025

Mtu anapendwa na kuonekana wathamani akiwa hai

JANI LIMESTAWI NA HAKUNA ANAYEONA 🚫

05/10/2025
🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨Hii page ni zaidi ya mwaka 1 na nusu ipo chini ya mmiliki mpya na ipo kwenye matumizi tofauti ya mwanzo  ...
04/10/2025

🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨

Hii page ni zaidi ya mwaka 1 na nusu ipo chini ya mmiliki mpya na ipo kwenye matumizi tofauti ya mwanzo na mmiliki alitka kuitumia kwa habari za michezo tu tofauti na mwanzo ulkuwa ikitumika kwa simulizi
Na mambo mengine .ila kwa tamaa na roho za kichawi kuna watu wamekuwa mara kwa mara wakta kui chukua ila wameshindwa wame ripoti machapisho mengi sana yamefungiwa
Na mwisho na aliye uziwa akakta tamaa kabisa ya kupost ila .na simu iliyokuwa inatumika kwenye izo simulizi ilisha badlishiwa mtu.

⚠️My point ⚠️

Uyo mwenye iyo simu 🚨0750061364
Kujitambulisha ni shigongo ndio muda wote anafungia machapisho yote

Picha zipo kwenye comments
Na anafnya ivi kwa page za watu wengi na yako pia uenda asha fanya ivyo .

Ndio maana akuna maendeleo ya mazuri.kwenye post zako
Sasa sisi tunaomba radhi kwanza kutopost hii tangu mwaka jana tuliamua nyamaza

Maana ni ijunga anachofanya kwani .faida akuna tunaweza futa post zote na kufta page pia na bado tukaishi ila sababu huu ni uwanja wa habari sio vyema kufanya ivyo

🔩🔩
K**a kuna makosa yapo mazungumzo
Kwani wewe sio wala
Una roho ya kichawi na wivu wa maendeleo
Kwa vitu ambavyo ata elfu moja ulipwi

🛑Sasa kwa sababu vyanzo vyako tume vipta na page zako zote na sisi tumezpta atulipizi ila
Tunakuojesha matunda yako

Wadau wa page zote za

Mtu anaye ripoti machapisho yenu uyo apo

Mimi nita fanya ivyo ivyo alivyo fanya na majibu nitayapost apo kwenye comments

Vivu mwisho ni majuto na mwisho ni kufa

By

Address

Dodoma
HTTPS://CHAT.WHATSAPP.COM/HAPFTL670VYD1BRSA3OCNB

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Simulizi NA Michezo Tz. posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Simulizi NA Michezo Tz.:

Share