01/06/2026
Simulizi NA Michezo Tz.
FRIENDS WHO LIKE SIMULIZI NA MICHEZO 2022
ISOMWE NA WAKUBWA TU 🔞 🔞 🔞 🔞 🔞 🔞
SEHEMU YA 16
Vistari viwili naviona, vyekundu vikimaanisha nina ujauzito, nilitetemeka nachukua kile kipimo nakitazama kwa makini huku nikisema
“Noo….nooo isiwe kweli mbona k**a nilikuwa siku salama jamani”
Nikachukua simu yangu ya zamani na kuangalia kwenye kalenda nione k**a nilikosea au la, ile nimeangalia hivi nikagundua kweli nilijichanganya sikuwa siku salama hata kidogo wakati natumikia adhabu ya JF.
Niliketi nikainamisha kichwa nikakishikilia kwa mkono, kisha nikasema
“JF sasa tulifanya nini hiki? Ungekuwepo basi ningekuzalia ila k**a hautakuwepo karibu yangu tena basi ujue sitaweza kudhalilika na hii mimba”
Nilikuwa nakumbukia jinsi shuleni nilivyokuwa na mashauzi, chuoni nilivyokuwa nawaponda wanawake waliozaa bila ndoa, nikajikuta kichwa kinaniuma sijui nilie au nifanye nini
Ubaya mmoja, mwenye mimba yake wala sijui k**a ni mzima au amekufa, sikutamani kumuambia mtu yeyote, nilitaka iwe siri yangu mimi na daktari ambaye atanipa dawa ya kutolea mimba ile
Nilijisemea “Hii dhambi nitakufa nayo peke yangu, Mungu unisamehe lakini sidhani k**a ni wakati sahihi sasa, ninahitaji kujiandaa kisaikolojia, sitamani mtoto wangu aje ateseke, hapana kwa kweli.
Nilipata mawazo, halafu sasa nimechanganya mawili, moja la kutekwa kwa baby, na lingine la kuwa na mimba isiyotarajiwa na ni ya baby pia…nikaanza kujiuliza
“Mwaka huu nina mkosi gani?”
Basi nilioga nikaswaki, kisha nikalala, usingizi unakuja kwa taabu lakini asubuhi ilifanikiwa kufika salama.
*
Nikiwa najiandaa ninawaza, niiwahi mapema ile mimba kabla haijaniletea mambo magumu niitoe, basi nilijiandaa kwenda kazini, nilipokuwa najiandaa nitoke, nilisikia simu inaita, nikaichukua nikaitazama ni yule dereva ambaye alipewa kazi na JF awe ananichukua.
Nikapokea simu kisha nikasema “Hallo Hakeem”
Hakeem akasema “Yes Raya, umeshaamka?”
Nikajibu “Ndiyo, ninatoka nyumbani hapa”
Akasema “Okay, ninakufuata hapo nikupeleke kazini”
Nikashangaa mpaka nikaguna kwanza “Mh”
Akakata simu, na mimi nikaketi kitandani, mara dada yangu akaniita
“We Raya huendi kazini leo?”
Nikasema “Ninaenda, nimeshajiandaa dada”
Akaniuliza “Hivi hizi Habari nazozisikia kuhusu JF vipi ni za kweli?”
Nikamuuliza “Habari zipi?”
Akasema “Kwamba ameuawa”
Yaani dada anazidi kutonesha kidonda changu bila hata mimi kutaka iwe hivyo, nikamuambia “Hata mimi nazisikia k**a wewe”
Dada akaniambia “Lakini huyu dada wa taifa huwa hatoi habari za uongo, huwa ana watu wanampa siri za kule kule ndani”
Nikajikuta namfokea “Dada usiseme hivyo, hujui tu mi najisikiaje, ninaumia nilikuwa najaribu kusahau halafu wewe unanikumbusha tena”
Dada akacheka “Hahahaa….basi pole mdogo wangu, kumbe alikuwa baby wako kweli, nilishasahau”
Wakati sijamjibu, nilipokea simu kutoka kwa dereva Hakeem, akaniambia amekwisha fika pale getini hivyo nitoke
Haraka nilichukua mkoba na kutoka, nilimuaga dada na kuelekea getini, kweli nilikuta gari imepaki, na mimi nilimsalimia hakeem kisha nikapanda gari na tuliondoka kuelekea kazini.
Nilipofika kazini, alinishusha kisha aliondoka zake, lakini nilipogeuka na kutazama nje ya jengo la ofisi, niligundua kuwa kuna hali ya tofauti kidogo,
Wafanyakazi walikuwa wamesimama nje, makundi makundi, halafu waliponiona wote walinigeukia ni k**a kulikuwa na jambo la simanzi ofisini, nilianza kutetemeka na kutaka kuanguka chini nikajikaza nikakusanya pochi yangu mbele chini ya tumbo na mimi nikaanza kuwakagua wote wananitazama kwa mshangao uliokuwa umejaa huzuni.
Nikawasalimu “Good morning guys”
Wakasema
“good morning” huku sauti zao zikipishana kwa sekunde kadhaa kwa kila mmoja
Nilikaa kimya k**a mshamba, niliungana nao pale nje, huku nikijiuliza kipi kilichotokea mpaka wananishangaa mimi,
Mara akatokea madam Chef na kunisogelea kwa karibu akaninong’oneza
“Ujikaze tafadhali….jikaze sana”
Nikajua kile kilichotangazwa siku zilizopita mtandaoni, basi kilikuwa cha kweli, na mimi nilivyokuwa na msongo wa mawazo, nilijikuta naishiwa nguvu na kuketi chini.
Madam alinisogelea akanishika na kuniambia “Jikaze raya”
Nikamuuliza “Boss JF amekufa???”
ITAENDELEAAAAAAA
SEHEMU YA 17
Hakunijibu kitu akawa ananiangalia tu,mimi nikajua kitu kimeshatokea, hivyo na ule uchovu wa kutokulala vyema usiku, plus msongo wa mawazo ya mimba na kadhalika, nikajikuta napoteza fahamu pale pale.
Nimekuja kushtuka, niko juu ya kitanda cha hospitali, wodini nikp peke yangu hakukuwa na wagonjwa wengine, mara nikasikia sauti ya kufoka huko nje ya wodi
“Mmefanya nini? Kwanini mnamtesa mwanamke wangu? Niliwaambia mumpigie makofi aingie halafu nyinyi mnakaa k**a kuna msiba hamjui kwamba ana msogo wa mawazo?
Hii sauti ilikuwa inafoka lakini ilikuwa ya kukwaruza, ikififia fifia k**a mtu anayesumbuliwa na mafua, mara mlango wa hospitali ukafunguliwa, ulipofunguliwa nikitazama sikuamini yule niliyemuona
Ni Boss JF makuja akiwa mzima kabisa, anatembea peke yake, licha ya kuchechemea kidogo huku uso wake ukionekana kukosa nuru na kuwa na wasiwasi, hadi kapungua maskini
Bila kujali dripu niliyotundikiwa, nilijikuta naamka kitandani nataka kushuka niende nikamrukie
“Boss JF” nilisema kwa mshtuko na machozi ya kutokuamini yakinitoka tayari.
Boss alisogea haraka “Baby….usishuke bado unaumwa”
Aliniambia huku akiwahi nilipokuwa kitandani akanishika kwa nguvu lakini alinilaza vizuri chali, tukashikana na kukumbatiana kwa nguvu huku nikizidi kulia na kumuita
“JF……….JF……….umerudi?? Nimekuwa na wasiwasi juu yako….”
Nilimkumbatia huku nikilia yeye akawa ananisugua mgongoni, akisema “Usilie Raya, nimepambana nirudi kwa ajili yako you were the only one, I was always thinking of”
Nikamuambia “Uko salama JF? Siamini…hawajakuumiza?”
Akaniambia “Nitakueleza kila kitu subiri kwanza utoke hapa hospitali, na nimeshangaa mpenzi wangu, nimeota ndoto nayo imekuwa kweli”
Nikauliza “Ndoto gani?”
Akasema “Nimeota ndoto una mimba yangu”
Nilishtuka na kumuachia nikamtazama huku nimeshika mashavu namtazama usoni “Nani kakuambia nina mimba?”
Akatabasamu na kusema “Daktari”
Nilibaki namtazama kwa ukaribu machoni, simaini k**a ni yeye kweli, nikamuambia “Nahisi naota, siamini k**a kweli umerudi, nijitikise ili k**a ni ndoto nishtuke mapema nilie”
Nikaanza kujitikisa akaanza kunicheka na kuniambia “Sitaki nione machozi yako tena, nimeumia sana kukuona unalia kwa sababu yangu….nakuahidi furaha siku zote” akanifuta machozi machoni na na kuniambia “Huu uzuri nitahakikisha hakuna mwingine ambaye atauonja tena”
Nilibaki namtazama tu….sina cha kusema nikamkumbatia tena kwa muda mrefu, huku wapambe wakituangalia na wengine wakirekoda video pale chumbani.
Baada ya muda, aliniachia na aliketi akawa anaangalia simu yake k**a vile alipokea ujumbe Fulani, akaniambia
“Ninatoka, ila baadaye Madam Chef atakuletea simu yako, tutawasiliana okay?”
Nikamuambia “But bado nina maswali mengi ya kukuuliza”
Akajibu “Utaniuliza baadaye usiku wa saa sita tukiwa pamoja” halafu akanishika shavuni na kuniambia “Bye”
Akaondoka huku akiniacha, mwishowe nikajiuliza ‘usiku wa saa sita? Nikiwa naye wapi?”
Ndipo aliingia madam Chef akiwa amefuatana na dada yangu, dada yangu akaniuliza “Umekumbwa na nini?”
Nikamuambia “Mi sijui”
Walinipatia mkoba kisha nikatoa simu na kutazama, ni saa 12 jioni, natakiwa niondoke pale maana afya yangu ilishakuwa sawa.
Basi nilipewa ruhusa nikaondoka nikifuatana na dada yangu, lakini aliyetupeleka ni yule dereva hakeem, halafu mimi nilipofika nilijilaza kitandani kwangu, halafu nikamtext JF WhatsApp,
“JF” nikaona imedeliver kwa tick mbili, nikamuongeza ya pili “Nisamehe k**a nakusumbua, ila ninakutaarifu kwamba niko nyumbani”
Alifungua zile message kisha akajibu “Okay, jiandae, ninataka tutoke tuende tukaongee”
Na mimi kwa kuwa nilitaka kujua kilichomtokea, basi, nilimuambia “Sawa najiandaa, ila sitalala huko”
Akaniambia “Tutalala wote, nataka tujadili mambo mengi, basi muda hautatosha na wa kurudi”
Nikasema “mmmh…kuhusu dada je?”
Akaniambia “Ngoja nimpigie”
Nikasema “Okay”
Niliendelea kukaa na kumshukuru Mungu, nikisema “Asante kwa kuwa amerudi salama”
Baada ya mda nilitoka na kuelekea chooni, nilimuona dada yangu akiwa anashughulika na mboga hapo hapo sebuleni, huku mtoto wake akifanya kazi za shuleni, nikaelekea tu chooni, humo humo ni bafuni pia, nikiwa huko nikaamua nioge moja kwa moja
Nikiwa naoga nikasikia amepokea simu na kuanza kuongea, kwa kuwa kulikuwa mbali sikuweza kusikia maongezi yake, lakini baada ya kutoka bafuni nilipita sikumuona sebuleni bali kwa mbali nilisikia sauti nje ikiongea, nikaenda zangu chumbani nikaenda kuvaa nguo na kutoka.
Nilipotoka nikasikia akiongea kwa sauti ndogo sana, na mimi nikasogea karibia na mlangoni kisha nikasikiliza
Nilisikia akiongea “Pole kwa majanga yaliyokukuta niliogopa sana” akasubiri ajibiwe upande wa pili nikajua kabisa anaongea na JF akaendelea kusema “Inaniuma sana kuitana shimeji na wewe…………..JF unajua namna nilivyowahi kukupenda na nimekusumbua mda mrefu ila umemaua kuja kunikomoa ukambeba mdogo wangu kweli? Sio haki kabisa”
Niliposikia hivyo nilianza kuondoka kwa kunyata, lakini nimefika kwenye kona tu dada akamuambia kwa sauti aliyoipunguza kidogo, akasema “JF k**a utamuoa mdogo wangu sawa, lakini naomba hata niionje ya kwako mara moja tu maana niliwahi sikia mama watoto wako akiisifia, yaani unaenda kuwa shemeji sijaiona hata kwa macho tu jamani?”
Hakika niliogopa nikasema “Khee,….kumbe dada anataka naye aionje…”
SEHEMU YA 18
Nilirudi chumbani kwangu nikajifungia halafu nikaketi kitandani bado ninawaza kile nilichosikia, sasa kuna nafsi moja ikaniambia
“K**a huyo mwanaume akikuoa, lazima atakuwa na ukaribu wa hali ya juu yeye na dada yako, so itakuwa rahisi sana dada kumshawishi mpaka akalala naye”
Nikajisemea “Wanaume walivyo wadhaifu kwenye maumbile yao, labda anipeleke mbali, sitaki ushemeji shemeji, dada yangu namjua vizuri”
Sikuishia hapo, nilimtumia message JF na kumuuliza “Umeshaongea na dada? Maana niko mdhaifu naweza kusinzia hapa”
Akaniambia “Nimeshaongea naye, jiandae ukishamaliza niambie, hakeem atakufuata”
Nikamuambia “Nimeshaoga hapa ni kuvaa tu”
Akasema “Okay, jisitiri vyema Hakeem asije akakutamani bure”
Nikatuma emoji za kucheka, kisha nikaanza kujiandaa, baada ya dakika kadhaa nikamuambia nipo tayari.
Hakeem alinifuata akanichukua akanipeleka mpaka kwenye hoteli moja ya kifaharai, pale usiku mmoja ilikuwa laki tatu kulala, ilikuwa hoteli ya kitajiri sana.
Nikamuuliza JF kwanini umeamua kunileta kwenye hoteli ya gharama hivi, si tungeenda tu nyumbani”
Akanijibu “Sasa laki tatu ni hela?”
Nikamuambia “Mh…kwetu sisi ni hela”
Akatabasamu na kuniambia “Nimekumiss sana, kisha nilikuwa sitaki tukae sehemu yenye mikelele kelele”
Alinisogelea kwa ukaribu kisha akanitazama machoni na kuniambia “Ukinitazma unaona nini?”
Nikamuambia “Ninaona uso wako hauna nuru, sijui kilichokutokea huko”
JF akaniambia “Nitakuelezea tukishakula, muda tukiwa tumelala, na ujue tunalala bila nguo ninahitaji unikande kande sehemu zinazouma, pia nina majeraha kidogo mwilini”
Nikamuambia “Pole mume wangu”
Alitabasamu na kuniambia “Asante mke wangu kipenzi”
Nilizidi kumtazama nikiwa napumua kwa kasi, nikamuuliza “JF una uhakika nina mimba?”
Akaniambia “Niliambiwa na Madam Chef, baadaye nikaambiwa tena na daktari”
Nikamuambia “Nilijua ninayo tangu jana, nilipata wasiwasi, nilihisi k**a hautorudi mtoto wako nitamuambia nini….lakini pia nina hofu”
Akasema “Hofu juu yangu? Hapana usiwe na wasiwasi nitakuwa salama”
Nikamuambia “Licha ya hofu juu yako, lakini najua dada yangu anakupenda, unajua hata ukinioa ukiwa na ukaribu naye itakuwa rahisi kukushawishi?”
Aliniachia na kuniambia “Unaniona mimi mrahisi sana kushawishika ee?”
Nikamjibu “Sio hivyo, ila dada yangu simuamini, ni mcharuko sana”
Akaniambia “ingekuwa ni kunishawishi angeshanishawishi tangu muda mrefu sana, ameniomba namba mara nyingi sana facebook, tangu kipindi ninaishi na mwanamke lakini hakuwahi hata siku moja kunipata, leo hii ndiyo anipate? Hapana siwezi kufanya hivyo”
Nikamuuliza “Kweli haitatokea?”
Akajibu “Kamwe”
Chakula kililetwa pale hotelini, tukawa tunakula na kulishana taratibu huku tunataniana, k**a saa na nusu hivi taratibu, nasikia raha nacheka cheka tu.
Mara achukue nyama k**a anatakak unilisha, anaizungusha zungusha mdomoni kwangu na kuirudisha anakula mwenyewe, na mimi najifanya nimesusa, na kununa “Sitakii….sitakiii”
Tuliendelea hivyo kwa kipindi kirefu, hata chakula hatukumaliza tulienda chumbani, akaniambia “Tukaoge au unanifanyia massage”
Nikamuambia “Nakufanyia kwanza massage…halafu nikamkumbatia na kukilaza kichwa changu mgongoni mwake nikamuuliza “Wait, kwanza kwani leo unaniadhibu?”
Akatoa sauti ya kuunguruma “Hapana sitaweza, bado mwili wangu haujakak**aa vizuri, wewe nikande tu”
Sikujibu kitu nililala mgongoni mwake huku mikono nimeizungusha nachezea kifua chake maana shati alilifungua vishikizo akawa ametulia kimya.
Dakika moja mbele aligeuka na kunishika kwa ukaribu akaniambia “Naweza kuupata ulimi wako?”
Sikumjibu niliweka mdomo karibu aufanye anachotaka yeye, sasa tumekumbatiana huku tunamung’unyana ndimi hivi nasikia imemsimama inanigusa kwenye kitovu changu, nikazidi kupagawa na kumuambia
“Sidhani k**a hautoniadhibu, mimi sitokubali ninahitaji kuadhibiwa kisawa sawa”
Akaniambia “Kumbuka unaumwa, na umetoka hospitali”
Akasema “Haijalishi, k**a nawashwa ugonjwa kidogo tu ndo uninyime kukunwa?”
Nikaushika mkanda wa suruali yake na kuufungua halafu kiganja changu nikakizamisha ndani ya suruali, nikaishika, a weee…..yeye nani?
Nikamlaza taratibu kitandani halafu nikaja kwa juu, nikamkumbatia kwa nguvu na kuanza kulalamika “I miss you” huku nikimpapasa mwilini, mara nikaanza kusikia akilalamika
“Hapo panauma, walinipiga kidogo”
Nikasema nikushike wapi usiumie, nitakukanda baada ya kufika kileleni”
Akacheka sana na kuniambia “Unapenda!”
Nikamuambia “Huoni hadi dada yangu anaitamani? Nimesikia akikuambia anataka aionje, sasa nishughulikie hadi nishindwe kutembea”
Akanigeuza akanilaza chali halafu akaanza kuvua nguo zake, akabaki na bo..xer tu, mimi akaanza kunikoboa nguo zangu, hakuniacha hata na kofuli, nimebaki namtazama tu kwa sababu siamini k**a tumeonana akiwa hai tena.
Alinikumbatia tukaanzak kubiringitana kitandani, midomo imeshikana, tunapigana mabusu, hata nikimpapasa halalmiki tena, mwishowe nikamgeuza na kuhakikisha nakaa juu yake, nikamuambia
“Kwa uwa mwili wako una maumivu, ngoja nijishughulikie peke yangu”
Nikaishusha kidogo bo….xer yake, kisha nikaishika maiki, na kuitegesha nanilii yangu juu yake nikaanza kujisugulisha ili kuloane vizuri, ile nimeiweka hivi, ikaingia taratibu, nilipagawa nikamkumbatia huku kiuno nikikifanya taratiiiibu kuhakikisha Napata burudan.
Nilimlalia halafu tukawa tunapeana raha huku tukipiga story
“Jamani JF wewe ya kwako ni tamu sana”
Akasema “Una uhakika utaipa raha kila maraha?”
Nikamjibu “Sitathubutu kukunyima….” Nilisema huku raha zikinikolea na kujikuta naanza kupiga mikelele
Alinigeuza, acha anishughulikie, utafikiri si yeye ametoka kutekwa na watu wasiojulikana
Alipomaliza alijilaza kando akawa anahema kwa nguvu, nikashuka na kwenda maliwatoni kisha nikarudi nikiwa nimejifunga taulo nikajilaza kando yake na kumuita
“Babe”
Akakaa kimya nikamtazama anaangalia darini nikainuka na kujilaza kifuani mwake nikamuita “Boss JF”
Akasema “Mi boss wako ila unanipa hadi vya ziada”
Nikamuambia “Sijajuta kuajiriwa, ila usije ukanisaliti nitakufa, kina rose watanisema sana”
Akaniambia “Hivi rose ni nani?”
Nikamjibu, “si ni secretary wako?”
Akaniambia “Secretary anaitwa Jane….”
Nikainua uso na kumtazama nikijiuliza amepoteza kumbukumbu au vipi, nikawa namshangaa na kumuuliza “Jane?”
Akasema “Yeah rose nimeshamsimamisha kazi”
Nilishangaa kidogo maana asubuhi Rose alikuwepo ofisini,
Akaniambia “Muhasibu mwa kampuni pia anaitwa John”
Nikashangaa, muhasibu kivipi maana mimi ndiye niliyekuwa muhasibu pale ofisini, nikamuuliza
“Sasa boss, mimi si ndo muhasibu, au hukumbuki vitu vingine”
Akanivuta na kunikumbatia kisha akaniambia kwa umakini
“Siwezi kusahau kirahisi hivyo, ila sikiliza wewe ni mwanamke wangu, siwezi kukuacha pale ofisini watakuletea matatizo, nimeamua nikuhamishie sehemu nyingine, kuna mahali nitakupeleka kesho”
Ghafla simu ya boss iliita, ilikuwa mezani, nikaenda kumchukulia na kumpatia jina la mpigaji aliandika My First Love💘, akashtuka na kusita “Huyu ananipigia saa hizi kuna nini?”
Nikakaa kimya, mimi namba yangu imeandikwa Rayuni, bila hata emoji, lakini aliyepiga anaitwa My First love tena ikifuatiwa na emoji ya mshale unachoma moyo
Nikatulia kimya huku moyo unanigonga paah, nikaona amemute simu na kuiweka pembeni
Nikamuuliza kwa hasira “Mbona hupokei simu???”
JE NI NANI HUYO ALIPIGA SIMU? 075423..53
USIKOSE SEHEMU YA 19
SEHEMU YA 19
JF alinitazama kwa makini usoni akaniambia “usiku huu ni wangu na wewe, huyu Ana story nyingi”
Nilijisikia vibaya nikajua basi mimi natumika halafu huyo first lover wake ndo anayelindwa zaidi, simu ikaite tena anapiga yule yule.
JF akaitazama bila kusema chochote
Nikasema “Pokea simu JF unanifanya nisikuamini tena”
JF alitabasamu kisha akaipokea ile simu, “Nafanya hivi kukuridhisha tu” halafu akaitia sikioni
“Hallo” alisema, nikasikia sauti tulivu imetoka upande wa mpigaji
“Samahani sana kaka J nimekupigia usiku huu, najua utakuwa umepumzika”
JF alishtuka na kuinuka akaketi akasema “Maridhiya….mbona umeshika simu ya mama usiku huu?”
Upande wa pili ukasema “Mama amepandwa presha tumemuwahisha hospitali….nimesema nikutaarifu”
JF alishtuka sana, akaketi vizuri na kusema “Yuko wapi, mpe simu niongee naye”
Maridhiya akajibu “Yuko wodini hatoweza kuongea saa hizi labda asubuhi”
Basi JF alimjia juu akamuambia “Sasa kwanini uchukue simu ya mama unipigie usiku huu? Unajua kwamba unaninyima usingizi? Kwanin unanifanyia hivi mdogo wangu? Hujui nimetoka kwenye matatizo?”
Aliongea kwa uchungu sana “Si ungesubiri asubuhi ndiyo unipe taarifa?”
Maridhiya akajibu “Nisamehe kaka, sikujua”
Mr JF akamuambia “Siku nyingine uwe makini” halafu akakata simu kwa hasira na kuiweka pembeni
Nikamuuliza “Babe kuna nini?”
Akaniambia “Mdogo wangu alichukua simu ya mama ananipigia, sasa bora nisingepokea ananipa wasiwasi, inabidi mara moja kesho niondoke niende mkoani kumuona mama….”
Nikamshika mgongoni na kusema “Pole mpenzi, atakuwa sawa”
Alikaa kimya huku akiwaza, kisha akaniambia “Usiwe na wivu kiasi hicho siwezi kukusaliti”
Nikamuambia “Sorry babe, nilipoona kopa, niliogopa sana si unajua nakupenda sana?”
Akasema “Najua”
Niliendelea kumkagua nikagundua ana majeraha mengi mgongoni, nikamuuliza mamna ilivyokuwa huko mbona walimpiga
Akadai kwamba, alipigwa kidogo wakati akijaribu kujitetea maana walitaka kumsafirisha kwa siri wampeleke mkoa mwingine akakae huko na asipatikane tena
Nikamuambia “Khaaa….kwa kosa kidogo tu lile? Yaani wanasiasa!” nikamuuliza “Lakini mbona usiku ule nilikutumia message na ulijibu kwani walikuteka saa ngapi
Akaniambia “Ile siku sio mimi nilijibu message, ila nilikuwa na wasiwasi kwa sababu, nilijua utakuwa unasubiri nikutaarifu nimefika, basi wale walionichukua niliwaomba sana wajibu message zako ili wakuondoe hofu”
Nilishangaa sana na kusema “Kumbe muda ile walikuwa wameshakuchukua”
Akajibu “Ndiyo, nilikuwa kwenye gari sijui hata wanaponipeleka, ila ukiwa na hela huwa hawakukazii sana, mara nyingi ukiomba maombi wanafanya maana wanajua watapata chochote kitu”
JF aliinuka na kuondoka kwenda bafuni, nikamfuata na tukaanza kuogeshana, tukachezea maji huko bafuni, nikamuambia k**a anaweza basi tujaribu bafuni kuna raha yake
Akasema “Nina stress ila kwako siwezi shindwa kukuchapa kidogo”
Basi likatokea la kutokea, tuliporudi ndani tulilala huku tumekumbatiana mpaka saa 11 tuliamshwa na sauti ya adhana.
Basi JF aliamka na kunisihi nijiandae kwani Hakeem angenifuata muda huo anipeleke nyumbani, akaniambia, baadaye k**a kuna vitu nimesahau ofisini niende nikavichukue halafu nijiandae na