04/08/2026
FRIENDS WHO LIKE SIMULIZI NA MICHEZO 2022 bora
SEHEMU YA 13
“Kaka
unamaanisha
mke
wangu anapigwa shoo na mtu mwingine? Mimi sipo nyumbani, nakuja sasa hivi,”
“Lakini kaka……. “
Simu ilishakatwa,
Zubeda hakuwa anajua k**a mumewe
alishapata taarifa, alijiachia na Fuge huku
akimmwagia sifa kemkem. Alipigwa shoo ya
maana, Fuge alimnywea kidonge ndio maana
alimsugua vilivyo mpaka kuma aliihisi ina moto.
Zubeda akapigiwa simu na mumewe,
akapokea.
“Mume wangu kuna usalama?” aliigiza
k**a mtu aliyetoka kulala.
“Upo, mzima?”
“Mzima, mbona usiku wote huu..”
alimalizia hiyo kauli na kupiga miayo.
“Kuna ujumbe nimeupata pengine
utakuwa sio wangu, kuna mtu anapiga kelele
usiku huu?”
“Mmh! Labda hiyo mikelele yao ya mitombano sijui chumba aisee!”
“Sawa…usiku mwema.”
Simile alikata simu na kuridhika,
akaondoa wasiwasi pale alipotumiwa ujumbe
na Chinga kuwa alikosea huo ujumbe, ulikuwa
unamlenga jirani mwingine.
***
Huku upande wa Nana, siku hiyo alikuwa na Spora nyumbani kwake, alimweleza kila kitu
na jinsi anavyochanganyikiwa juu ya mapenzi.
“Sikuwahi kufikiria k**a itafika siku nitawahudumia wanaume wawili,”
“Pole sana shoga yangu, hapo ni pagumu nahisi k**a mimi ndio chanzo,”
“Hapana ni hisia zangu tu ndio zimesababisha yote haya,”
“Mh!”
“Unanishauri nini Spora, nakusikiliza wewe, mwenzio nimepotea kabisa,”
“Usijali, kumsaliti Tasriki ni kosa, tena ni kosa kubwa mno na unajua kwanini kubwa?”
“Kwasababu ataumia sana akijua,”
“Hapana kwasababu alikuheshimu na
kukuoa, mliweka ahadi kwa Mungu kuwa
hamtoweza kusalitiana wala kuachana kwa
namna
yeyote, unachomfanyia
Tasriki,
akikufanyia utajisikiaje, Tasriki ni mmoja kati ya
wanaume wenye msimamo sana,”
“Sasa nifanye nini?”
“Achana na Travo kwa gharama yeyote ile, ndoa ni muhimu kuliko chochote, hii
mihemko uliyonayo kwa Travo haitokusaidia
zaidi ya kukuangamiza, kwani likibumbuluka
yeye anapata hasara gani?”
“Hivyo eh?”
Mwisho tukutane watsp sasa number hii 0754232253