Simulizi NA Michezo Tz.

Simulizi NA Michezo Tz. Wakara wa simuilizi na matukio yote GRP special for story and others. post s. and share. every thing X move and pictures no. in my GRP

Hongera kwa ushindi Taifa Stars 🇹🇿
06/08/2025

Hongera kwa ushindi Taifa Stars 🇹🇿

Ikigoma funguka washa VPN
06/08/2025

Ikigoma funguka washa VPN

"Ukijua watu wanavyokusahau haraka baada ya kifo, utaacha kuishi ili kuwaridhisha.Ishi maisha yako kwa uhuru, kwa heshim...
06/08/2025

"Ukijua watu wanavyokusahau haraka baada ya kifo, utaacha kuishi ili kuwaridhisha.
Ishi maisha yako kwa uhuru, kwa heshima, na kwa kujali nafsi yako.
Watendee mema, lakini usijisahau.
Watu si wakamilifu, na si kila mtu anakutakia mema.
Pambana kwa ajili yako — kwa sababu mwisho wa siku, utakufa peke yako, na dunia itaendelea k**a kawaida.
Ishi leo k**a wewe ni muhimu — kwa sababu kweli wewe ni muhimu."

Staa wa Taifa Stars Mohamed Hussein “Tshabalala” ametambulishwa rasmi na Club ya Yanga ikiwa ni wiki chache zimepita tan...
06/08/2025

Staa wa Taifa Stars Mohamed Hussein “Tshabalala” ametambulishwa rasmi na Club ya Yanga ikiwa ni wiki chache zimepita tangu Mkali huyu wa soka atangaze kuondoka Simba SC, Timu ambayo aliitumikia kwa miaka 11 mfululizo.

FT’ | Tanzania 2-0 Burkina Faso 🇹🇿✅🇧🇫What a game.What a win.A dream start for the hosts — three massive points to go top...
02/08/2025

FT’ | Tanzania 2-0 Burkina Faso 🇹🇿✅🇧🇫

What a game.
What a win.
A dream start for the hosts — three massive points to go top of Group B! 🔥👏

This crowd, this team… special night in Dar!



Baada ya klabu ya soka ya Simba kutangaza kuinasa saini ya mpachika mabao Jonathan Sowah, Meneja Habari na Mawasiliano w...
01/08/2025

Baada ya klabu ya soka ya Simba kutangaza kuinasa saini ya mpachika mabao Jonathan Sowah, Meneja Habari na Mawasiliano wa timu hiyo Ahmed Ally amesema wamefurahi kumpata nyota huyo ambaye msimu uliopita aling’ara na Singida Black Stars.

Katika msimu uliopita, Sowah alifunga magoli 13 kwenye NBC Premier League akiwa na Singida Black Stars aliyojiunga nayo katikati ya msimu.

Msimu ujao unafikiri atamaliza msimu akiwa magoli mangapi?

SAJILI TATU ZIMEKAMILIKARushine De ReuckAllasane KanteMorice AbrahamHuu usajili wa Morice dalili zilionekana kabla ya ms...
01/08/2025

SAJILI TATU ZIMEKAMILIKA

Rushine De Reuck
Allasane Kante
Morice Abraham

Huu usajili wa Morice dalili zilionekana kabla ya msimu kuisha kijana alikuwa aki-train na timu naamini Kocha ameona kitu 🇹🇿 na sasa yupo tayari kunufaika nae

Kwa ninavyomfahamu Morice , Simba SC wamepata mtu ni suala la kuingia tu kwenye mfumo 🙌

KUNAYO SIRI YA MGONGO WA MWANAMKE SEMA WABABA HATUJUAGI.Mwanamke mwenye mgongo wa aina hii kwenye kielelezo picha huwa s...
01/08/2025

KUNAYO SIRI YA MGONGO WA MWANAMKE SEMA WABABA HATUJUAGI.

Mwanamke mwenye mgongo wa aina hii kwenye kielelezo picha huwa si wa mambo mengi sana Mtulivu na mwenye heshima sana.

Mambo yake ya Ziada ni👇

Mjuzi wa kupika chakula kwa mtindo na akakipatia chakula ladha ambayo hutaamini why ni kitamu vile wakati upepewa.

Kande kwa mwonekano lakini ukila utakuta ladha isiyo ya kande ukionahivyo tambua hapo ndani hukosi N**i na mahanjumati mengine katia.

Ugali nyama kwa picha lakini ukila utaona si kweli kwamba ni ugali utamu siule wa ugali basi elewa tu hapo kati kunayo namna kafanya licha ya mboga Tatu za ziada.

Wali nyama au Samaki pia utaona kwa picha ndo hivyo ila ndani yake kuna mambo si mambo yaani ladha nyingine ya kile unachokula huyu ndo mwanamke wa mgongo huu.

Ugali Dagaa na tembele na viji nyanya chungu, Utaona kwa mwonekano lakini ukivipeleka mdomoni utagundua siri yautamu mwingine zaidi ya hicho unachokila trust me.

Ugali au wali kwa Msusa na nyama pembeni, Naam utauona msusa kwa uhalisia na ubwabwa kipeleke mdomoni utauona ufundi uliobadilisha ladha huo utamu we acha tu.

Unajua kwanini vinakuwa Inje ya ladha halisi ni kwa sababu anajua kupika ni mpishi mzuri mwenye kupangilia Dining table yake vizuri.

La ziada zaidi 👇..

Huyu Mwanamke mbali na kujua kupika huwa ni Mwanamke ambae ukiwa nae faragha utachanganyikiwa mnoo, Yaani anajua kupika vya jikoni na vya Chumbani ndo zaidi sana.

Naam Wanajua kuutumia Mjegeje barabala..
Wanaujua namna ya kuuelekeza kunako...
Wanajua uende uelekeo gani na kwa wakati gani...

Wanajua kumtesa Mwanaume na kumhangaisha kihisia mpaka ananyoosha mikono juu nyie waoeneni wanaendesha magari mjini niufundi jikoni na faraghani.

Ukibahatika kumpata Mwanamke wa namna hii au mwenye mgongo wa kaliba hii Utakupikiwa chakula bora na utaila tamu iliyo ya Uhakika..

La ziada zaidi tena 👇

Hawa Wanawake wanajuwaga ni Wasafi mnoo yaani Yeye ni msafi na hata unapolitumia Bakuli lake ni safi hujapata kuona yaani wamebarikiwa sana.

Swali langu kwako Mkaka.

Je umewahi kuila ya namna hii na k**a umewahi naomba ushuhuda kwa Comment Section tujifunze jambo..

Swali langu kwako Mdada.

Je umewahi kuliwa na Mwanaume na akakuambia kuhusu sifa za Mgongo wake na akakuambia kwanini umtamu kuliko kawaida?, tuambie ushuhuda wako kwa Comment Section tujifunze jambo.

Niseme tu kwamba

Uumbaji wa Mungu haujawahi kuwa na makosa kila Mwanamke ana namna yake ya kumkosha Baba chanja wake ila je umejiongeza ili utamu wako udhihirike maana Mungu hakuwa mjinga kukupa Ufahamu wa kuyatafakali mambo na akakupa akili ya kuwa na uwezo wa kubuni vitu vipya na vizuri kwa ajiri ya my wako.

Kabla hujamwozesha mwanao, mfundishe kuwa:♦️ Ndoa ni wajibu mkubwa, na mwanamke hastahili kudhalilishwa.♦️ Mfundishe kuw...
01/08/2025

Kabla hujamwozesha mwanao, mfundishe kuwa:

♦️ Ndoa ni wajibu mkubwa, na mwanamke hastahili kudhalilishwa.

♦️ Mfundishe kuwa kuheshimu mke ni msingi wa mafanikio katika kila ndoa.

♦️ Mfundishe kuwa uanaume wa kweli ni kuweza kulinda nyumba yako na kuwa kipenzi kwa watoto wako na mkeo. Kupiga ni tabia ya wanaume nusu wanaume.

♦️ Mfundishe kuwa awe mtu wa kati, asimdhalilishe mkewe kwa ajili ya mama au dada zake, wala mama au dada zake kwa ajili ya mke wake.

♦️ Mfundishe kuwa matumizi ya familia ni juu ya mwanaume. Asilale mchana na kukesha usiku bila kazi — anatakiwa kufanya kazi ili familia yake iishi kwa heshima.

♦️ Mfundishe maana ya kuwa na wivu wa heshima juu ya mavazi ya mke wake.

♦️ Mfundishe kumsaidia mke wake wakati wa mapumziko yake. Maisha ya Mitume na watu wema hayakuwaacha wake zao wakifanya kazi zote za nyumbani peke yao.

♦️ Mfundishe kuwa kumsaidia mke si aibu. Aibu ni kumwacha mke wake akihangaika peke yake, amechoka, amelemewa na kazi za kila siku na kulea watoto bila msaada.

♦️ Mfundishe kuwa awe kielelezo bora kwa watoto wake, mtu mwenye manufaa, sifa nzuri, na heshima.

♦️ Mfundishe kuwa wanawake hawapendi wanaume "wepesi", bali humheshimu mwanaume mwenye msimamo thabiti.

♦️ Mfundishe kuwa mke hatasahau aliyemdhulumu, lakini atamheshimu maisha yake yote yule anayemheshimu na kuthamini nafasi yake.

♦️ Mfundishe kuwa mke si wa kubebeshwa hasira na uchovu wa kazini. Akiingia nyumbani awe mchangamfu na mwenye tabasamu ili nyumba isigeuke kaburi la watu hai.

♦️ Mfundishe kutenga akiba ya pesa kwa ajili ya mke wake, pesa atakazotumia kwa matakwa yake bila kuulizwa au kubezwa.

♦️ Mfundishe kuwa sala ni msingi wa mafanikio. Ni lazima asali, na amhamasishe mke wake asali pia, kwa kuwa kielelezo kwa familia yake.

♦️ Mfundishe kuwa avumilie hali ya mke wake akiwa na hali mbaya ya kihisia, kwani mara nyingi wanawake hupatwa na hali hiyo kutokana na mabadiliko ya homoni au upungufu wa vitamini.

♦️ Mfundishe kuwa ugonjwa wa mke ni ugonjwa wa nyumb

Straika wa Boli....Anatoka Klabu ya Sekhukhune ya Afrika Kusini.....Ni raia wa Congo DR....Ana umri wa miaka 24....Andy ...
01/08/2025

Straika wa Boli....

Anatoka Klabu ya Sekhukhune ya Afrika Kusini.....

Ni raia wa Congo DR....

Ana umri wa miaka 24....

Andy Boyeli ni MWANANCHI.....

Wenyewe wanasema "Njaa ya magoli inaongezeka Jangwani".

Je kwa jinsi unavyomjua, unamuona akimaliza na chuma ngapi kwenye ligi kuu msimu ujao??

K**a unamjua uyu Dada wa kuitwa loves ametangaza kwa sasa ana ujauzito wa miezi....Tazama picture zake kwenye comment au...
30/07/2025

K**a unamjua uyu Dada wa kuitwa loves ametangaza kwa sasa ana ujauzito wa miezi....

Tazama picture zake kwenye comment au apa Warembo wazuri duniani

🚨🚨 RASMI: Simba wamekamilisha usajili wa kiungo wa Club Athlétique Bizertin, ya Tunisia,Alassane Kanté(24).Kante ni box-...
30/07/2025

🚨🚨 RASMI: Simba wamekamilisha usajili wa kiungo wa Club Athlétique Bizertin, ya Tunisia,Alassane Kanté(24).

Kante ni box-to-box midfielder kwani ana uwezo wa kuathiri Ma-box yote mawili.

Kante amechagua kuwa Mnyama,Kante amechagua kuwa mwekundu📌

Address

Dodoma
HTTPS://CHAT.WHATSAPP.COM/HAPFTL670VYD1BRSA3OCNB

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Simulizi NA Michezo Tz. posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Simulizi NA Michezo Tz.:

Share