OKULY BLOG

OKULY BLOG News Here we ca get a lot of news and attractive stories

06/11/2025

OKULY BLOG

06/11/2025

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amemuapisha Dkt. Mwinyi Talib Haji kuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar.

Hafla ya uapisho imefanyika leo tarehe 6 Novemba 2025, Ikulu, Zanzibar.

Dkt. Mwinyi Talib Haji ameteuliwa tena kushika nafasi hiyo baada ya kuitumikia katika kipindi kilichopita.

Hafla hiyo imehudhuriwa na Jaji Mkuu wa Zanzibar, Mhe. Khamis Ramadhan Abdalla, Mhandisi, Zena Ahmed Said, Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi, Wakuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama, pamoja na viongozi mbalimbali wa Serikali, Chama Cha Mapinduzi na Dini.

06/11/2025

OKULY BLOG

06/11/2025

OKULY BLOG

05/11/2025

OKULY BLOG

05/11/2025

OKULY BLOG

05/11/2025

OKULY BLOG

05/11/2025

OKULY BLOG

04/11/2025

OKULY BLOG

04/11/2025

OKULY BLOG

04/11/2025

OKULY BLOG

Address

Dodoma
255

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when OKULY BLOG posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to OKULY BLOG:

Share