IJAM Artist FILMs

IJAM Artist FILMs JIMBI TV(SAUTI YENYE NGUVU) UNA HABARI WASILIANA NASI ,HABARI ZOTE,MICHEZO,BURUDANI,UDAKU,SIASA,MAKALA,N.K
CONTACT US WHATSAPP +255627589709

BANGO LINASOMEKA VIZURI HAPO WEWE NI  KUIPIGIA TU  SIMU HIYO KWA HUDUMA FOLLOW US JIMBI TV// SUBSCRIBE YOUTUBE JIMBI TV_...
16/08/2025

BANGO LINASOMEKA VIZURI HAPO WEWE NI KUIPIGIA TU SIMU HIYO KWA HUDUMA
FOLLOW US JIMBI TV// SUBSCRIBE YOUTUBE JIMBI TV
__________________________________________________________________________

WANACHAMA 11 WA CHADEMA WAKAMATWA KWA KUFANYA MKUSANYIKO USIO HALALI – WILAYANI NKASIJeshi la Polisi mkoa wa Rukwa limew...
28/07/2025

WANACHAMA 11 WA CHADEMA WAKAMATWA KWA KUFANYA MKUSANYIKO USIO HALALI – WILAYANI NKASI

Jeshi la Polisi mkoa wa Rukwa limewak**ata wanachama 11 wa Chama cha Demokrasi na Maendeleo CHADEMA kati yao wanaume 7 na wanawake 4 wakiwemo viongozi wanne wa chama hicho kwa kufanya mkusanyiko usio halali.

Viongozi hao ni Winfrida Joseph Khenani Katibu mwenezi wa Baraza la vijana CHADEMA Jimbo la Nkasi Kaskazini, Godfrid Bendera Katibu wa CHADEMA Jimbo la Nkasi Kaskazini, Evarist Mwanisawa Katibu Baraza la Wazee
CHADEMA Wilaya ya Nkasi) na Scolastica Mwalonde Mwenyekiti wa CHADEMA kata ya Majengo.

TAARIFA KWA UMMA
Jeshi la Polisi mkoa wa Rukwa linawataka Mhe. Aida Khenani (Mbunge wa Jimbo la Nkasi Kaskazini) na Albeto John Kaliko aliyekuwa Diwani wa kata ya Itete kujisalimisha Polisi wilaya ya Nkasi au ofisi ya mkuu wa upelelezi wa makosa ya jinai mkoa wa Rukwa kwa kupanga mkusanyiko huo usio halali.

Kufuatia kuk**atwa kwa wanachama hao wa CHADEMA, kumeitbuka watu wanaotuma taarifa za uongo, upotoshaji na za kubuni kwenye mitandao ya kijami wakiwa na lengo la kuitia hofu jamii ya watanzania au kulichonganisha jeshi la Polisi kwa wananchi. Hivyo Jeshi la Polisi mkoa wa Rukwa linamtaka mtu mmoja aitwaye Alfred Sotoka kuripoti ofisi ya mkuu wa upelelezi wa makosa ya jinai mkoa wa Rukwa kufuatia kutuma taarifa za uongo kwenye mitandao ya kijamii kuhusiana na tukio hili. Asijifiche kwani atasakwa popote alipo nazo.

Jeshi la Polisi mkoa wa Rukwa linawaomba wananchi kufuata sheria wanapotaka kufanya mkusanyiko. Pia kutumia vizuri mitandao ya kijamii na ya mawasiliano kwa kuacha tabia za kutoa au kusambaza taarifa wasizo na uhakika

Imetolewa na:
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Rukwa
Tarehe: 28/07/2025

UMEMTAMBUA NI  NANI HUYU??
28/07/2025

UMEMTAMBUA NI NANI HUYU??

CCM YAJA NA MBINU MPYA KUDHIBITI UONGO NA UZUSHI UNAOZUSHWA KUPITIA VIDEO ZAO MBALIMBALI
22/07/2025

CCM YAJA NA MBINU MPYA KUDHIBITI UONGO NA UZUSHI UNAOZUSHWA KUPITIA VIDEO ZAO MBALIMBALI

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi wa Polisi ACP Gallus Hyera ameupongeza Mtandao wa Polisi Wanawake (TP...
15/07/2025

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi wa Polisi ACP Gallus Hyera ameupongeza Mtandao wa Polisi Wanawake (TPF-Net) Dodoma kwa kutoa huduma bora kwa wananchi na kuimarisha ulinzi na usalama katika mkoa huo.

ACP, Gallus ametoa kauli hiyo Julai 12, 2025 katika mkutano wa wanamtandao hao wa Dodoma ambapo amesema Jeshi la Polisi linatambua mchango wa askari wa k**e katika kuinusuru jamii na uhalifu pamoja na majanga mbalimbali.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametembelea mradi wa nishati safi ya kupikia wa s...
16/06/2025

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametembelea mradi wa nishati safi ya kupikia wa shule ya Sekondari ya Wasichana Simiyu iliyopo Bariadi mkoani humo na kupewa maelezo na Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga wakati akifungua shule hiyo leo tarehe 16 Juni, 2025

Mradi huo unahusisha usimikaji wa mfumo wa kupikia kwa kutumia gesi yaani LPG, ikiwa ni sehemu ya jitihada za kupunguza utegemezi wa kuni na mkaa, hivyo kuchangia katika utunzaji wa mazingira na kulinda afya ya wanafunzi na walimu.

Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imetoa ufadhili wa kiasi cha Shilingi Shilingi Milioni 14 kwa ajili ya ujenzi na usimikaji wa miundombinu ya nishati safi ya kupikia katika shule hiyo.

Spika wa Bunge la Minnesota, Emerita Melissa Hortman na mumewe, Mark, wamepigwq risasi na kuuawa leo Jumamosi asubuhi ny...
14/06/2025

Spika wa Bunge la Minnesota, Emerita Melissa Hortman na mumewe, Mark, wamepigwq risasi na kuuawa leo Jumamosi asubuhi nyumbani kwao huko Brooklyn Park.

Shambulio hilo kali limetikisa Minnesota huku mtu aliyejifanya kuwa Afisa wa Polisi alifanya shambulio hilo la risasi lililolenga nyumba za Wabunge wawili wa Chama cha Democratic.

Karibu saa mbili asubuhi, mtu mwenye bunduki alifyatua risasi katika nyumba ya Champlin ya Seneta wa Jimbo John Hoffman, ambapo mwanamume na mwanamke walipigwa risasi.

Muda mfupi baadaye, nyumba ya mwakilishi Melissa Hortman huko Brooklyn Park pia ilishambuliwa.

Takribani watu watatu wamepigwa risasi, na mshukiwa bado hajak**atwa.

Mamlaka zinachukulia mashambulizi hayo k**a yamechochewa kisiasa, na msako wa Jimbo zima unaendelea.

Habari: Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Atoa Maelekezo kwa Halmashauri Kuhusu Utatuzi wa Kero na Maandalizi ya Ziara ya Rais*Mkuu...
14/06/2025

Habari: Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Atoa Maelekezo kwa Halmashauri Kuhusu Utatuzi wa Kero na Maandalizi ya Ziara ya Rais*

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mhe. Rosemary Senyamule, amezitaka halmashauri zote mkoani humo kuhakikisha zinatatua kero za wananchi kwa ufanisi. Alisisitiza umuhimu wa kupata ripoti za utekelezaji kila wiki ili kufuatilia maendeleo na changamoto zinazowakabili wananchi.

Aidha, Mhe. Senyamule alisisitiza umuhimu wa kitengo cha habari katika halmashauri kutoa taarifa kwa wakati ili wananchi waweze kupata habari sahihi na kwa haraka. Alielekeza kuwa wahusika wote watekeleze majukumu yao kwa ufanisi ili kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora.

Katika maandalizi ya ziara ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, inayotarajiwa kufanyika kesho kwa ajili ya kukagua barabara ya mzunguko na uwanja wa ndege wa Msalato, Mhe. Senyamule aliwaalika madiwani pamoja na wananchi kushiriki kikamilifu katika mapokezi hayo.

Pia, alikumbusha kuwa mwaka huu Mkoa wa Dodoma umepata heshima ya kujengewa maonesho ya Nane Nane ya kisasa. Alisisitiza umuhimu wa kusimamia ubora wa maandalizi hayo ili kuhakikisha wananchi wanapata fursa ya kujifunza kuhusu k

JIMBI TV *Habari: Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Atoa Maelekezo kwa Halmashauri Kuhusu Utatuzi wa Kero na Maandalizi ya Ziara ya...
14/06/2025

JIMBI TV *Habari: Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Atoa Maelekezo kwa Halmashauri Kuhusu Utatuzi wa Kero na Maandalizi ya Ziara ya Rais*

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mhe. Rosemary Senyamule, amezitaka halmashauri zote mkoani humo kuhakikisha zinatatua kero za wananchi kwa ufanisi. Alisisitiza umuhimu wa kupata ripoti za utekelezaji kila wiki ili kufuatilia maendeleo na changamoto zinazowakabili wananchi.

Aidha, Mhe. Senyamule alisisitiza umuhimu wa kitengo cha habari katika halmashauri kutoa taarifa kwa wakati ili wananchi waweze kupata habari sahihi na kwa haraka. Alielekeza kuwa wahusika wote watekeleze majukumu yao kwa ufanisi ili kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora.

Katika maandalizi ya ziara ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, inayotarajiwa kufanyika kesho kwa ajili ya kukagua barabara ya mzunguko na uwanja wa ndege wa Msalato, Mhe. Senyamule aliwaalika madiwani pamoja na wananchi kushiriki kikamilifu katika mapokezi hayo.

Pia, alikumbusha kuwa mwaka huu Mkoa wa Dodoma umepata heshima ya kujengewa maonesho ya Nane Nane ya kisasa. Alisisitiza umuhimu wa kusimamia ubora wa maandalizi hayo ili kuhakikisha wananchi wanapata fursa ya kujifunza kuhusu k

MAENENO HAYA  SIO MAGENI KATIKA JIJI
15/01/2025

MAENENO HAYA SIO MAGENI KATIKA JIJI

21/12/2024

THE SUN ARTIST GROUP VEYULA DODOMA

Address

Dodoma

Telephone

+255627589709

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when IJAM Artist FILMs posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to IJAM Artist FILMs:

Share