09/04/2025
π *SEMINA YA NENO LA MUNGU - DAY 2* π
Tunapenda kuwajulisha kuwa *Semina ya Neno la Mungu* inaendelea kesho! Jiunge nasi kwa siku ya pili ya mafundisho ya kina kutoka kwa *PASTOR YOHANA MBUGHI*
*Tarehe:* 09 APRIL 2025
*Muda:* 3:00 - 4:00 Usiku
*Mahali:* Block A.11 (Masters Class), CBE, Dodoma
Usikose nafasi ya kupokea neno la Mungu lenye nguvu! π
*Mawasiliano:* 0621813065
Tunaomba uwepo wako ili tuendelee kujifunza na kukua pamoja Kirohoπ