Daarul arqam Online Tv

Daarul arqam Online Tv Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Daarul arqam Online Tv, Social Media Agency, Dodoma.

Kumbu kumbu ya picha ktk maulid ya kila al khamisi Masjid Sunni Nunge Dodoma Tar 24/07/2025
25/07/2025

Kumbu kumbu ya picha ktk maulid ya kila al khamisi Masjid Sunni Nunge Dodoma Tar 24/07/2025


mapema ya leo tar 14 July 2025 Bakwata taifa wametembelea mji wa serikali mtumba Dodoma kujionea namna Dodoma inavyo zid...
15/07/2025

mapema ya leo tar 14 July 2025 Bakwata taifa wametembelea mji wa serikali mtumba Dodoma kujionea namna Dodoma inavyo zidi kukua

Sala ya Ijumaa Masjid Sunni nunge Dodoma leo Tar 06/06/2025
06/06/2025

Sala ya Ijumaa Masjid Sunni nunge Dodoma leo Tar 06/06/2025

Asalm alykm warahmatullahLeo siku ya juma tano Ramadhani ya 18 mwaka 1446HSawa na Tar 19/03/2025 Darsa la Tafsirul Quran...
19/03/2025

Asalm alykm warahmatullah
Leo siku ya juma tano Ramadhani ya 18 mwaka 1446H
Sawa na Tar 19/03/2025
Darsa la Tafsirul Quran Masjid Sunni Nunge Dodoma linaendelea muda huu
Akihutubia sheikh omar Itara

Mwenyezimungu ampe kauli thabit sheikh Muhammad iddi Inna lillah wainna ilayh raajiun
30/01/2025

Mwenyezimungu ampe kauli thabit sheikh Muhammad iddi
Inna lillah wainna ilayh raajiun

Meli iliyobeba watalii kutoka nchi mbalimbali ikiwemo Uingereza, Costa Rica, Scotland, Australia  na Afrika Kusini, imew...
19/01/2025

Meli iliyobeba watalii kutoka nchi mbalimbali ikiwemo Uingereza, Costa Rica, Scotland, Australia na Afrika Kusini, imewasili katika Bandari ya Kilwa kwa lengo la kufanya shughuli za utalii kwenye vivutio mbalimbali vya utalii vilivyopo Kilwa Kisiwani.

Kwa mujibu wa nahodha wa meli hiyo, Paul Mchwampaka ambaye ni mkuu wa kitengo cha ubaharia kutoka Bandari ya Mtwara, amesema kuwa meli hiyo ijilikanayo kwa jina la Highdridean Sky imetoka katika visiwa vya Shelisheli na imekuja na watalii takribani 98 na mabaharia 81.

Afisa Utalii Daraja la Pili, Lembolos Ndengea ambaye ni afisa utalii kutoka Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA), Kanda ya Kusini Mashariki amesema kuwa ujio wa meli hiyo ni mwanzo wa kuanza kwa msimu wa utalii ambao huanza mwezi Januari hadi Aprili kila mwaka.

Ameongeza kuwa hadi sasa tayari meli saba za kitalii zimethibitisha kuja katika Bandari ya Kilwa kwa ajili kufanya shughuli za utalii.

Al hamndulillah leo ni kilele Cha ziara ya shadhuly ZAWIYA KUU kilwa pande mkoani Lindi Hadhara Imepambwa na muridi kuto...
29/12/2024

Al hamndulillah leo ni kilele Cha ziara ya shadhuly ZAWIYA KUU kilwa pande mkoani Lindi
Hadhara Imepambwa na muridi kutoka mikoa mbali mbali pamoja na nchi jirani k**a vile Kenya, Uganda, Zimbabwe, Zambia nk.
Usikose kufatilia live yetu kupitia YouTube channel ya Daarul arqam Online Tv
Tupo kukupa Kila ambacho kinajiri ndani ya ardhi ya Kilwa

Asalm alykm warahmatullah wabarakatuh Leo Tar 21/12/2024 hadhara ya maulid Madrasatul Qadiriya ramiya Mapango wilaya ya ...
21/12/2024

Asalm alykm warahmatullah wabarakatuh
Leo Tar 21/12/2024 hadhara ya maulid Madrasatul Qadiriya ramiya Mapango wilaya ya Chemba mkoani Dodoma imehudhuriwa na Masheikh mbali mbali kutoka ktk mikoa ya Tanzania na nje Tanzania
Sheikh Muhammad kusoma kutoka nakuru Nchini Kenya yupo ktk Ardhi ya Mapango kwa ajili ya da'wa akiongozana na sheikh Abdul Qadir Ibn sheikh Muhammad Ramiya Al Qadiry
Vile vile bila kumsahau kiboko ya bachu kitoto Cha sheikh Muhammad kusoma
UST Ahmad Muhammad kusoma
Matukio yote utayapata kupitia YouTube channel ya Daarul arqam Online Tv

Asalm alaykm warahmatulah wabarakatuh Leo kumefanyika mashindano makubwa ya Quran kitaifa ndani ya jiji la Dodoma.Mashin...
15/12/2024

Asalm alaykm warahmatulah wabarakatuh
Leo kumefanyika mashindano makubwa ya Quran kitaifa ndani ya jiji la Dodoma.
Mashindano haya yanaongozwa na Mbunge wa kuteuliwa na Rais Mh, Riziki lulida
Ambapo yamehudhuriwa na wageni mbali mbali kutoka mikoani na nje ya nchi,
Mgeni Rasmi ktk mashindano haya alikuwa ni Mh, Ridhiwani Jakaya kikwete. Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (kazi, vijana, Ajira na Wenye ULEMAVU)
Ni mashindano ya kihistoria na ya kwanza kufanyika Tanzania na Duniani kwa ujumla
Vile vile Rais SAMIA amekoshwa na Washiriki wa mashindano haya na kuwapa kitita Cha fedha Kila mmoja kiasi Cha Tsh 500,000/=
Daarul Arqam online Tv tulikuwa live mwanzo wa TUKIO mpk mwisho wa tukio usikose kufatilia ktk mitandao yetu ya KIJAMII

04/12/2024

Allah Akbar maneno mazito ya Darwesh omar wa songolo

03/12/2024

Mtoto wa Habib sheikh Muhammad kusoma

Address

Dodoma

Telephone

+255687284047

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Daarul arqam Online Tv posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share