QmediaTz

QmediaTz P.O.Box 2364 Dodoma - Tanzania
+255-717-066-207
e-mail - [email protected]

03/03/2026

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema uwekezaji wa Serikali katika mradi wa ujenzi wa matenki 15 ya kuhifadhi mafuta wenye thamani ya Sh 678.6 bilioni ni hatua ya kimakakati inayolenga kuimarisha Tanzania k**a kitovu cha biashara cha ukanda na kimataifa.

Dkt Samia ameeeleza hayo leo wakati akiweka jiwe la msingi la ujenzi wa matenki hayo eneo la Kigamboni, Dar es Salaam. Ujenzi huo ukikamilika utapunguza muda wa meli kusubiri kushusha mafuta kutoka siku 22 za sasa hadi siku saba tu, huku mchakato wa kushusha mafuta ukitarajiwa kufanyika ndani ya siku moja badala ya siku saba.

“Hatua hii ni uthibitisho k**a Taifa tumeamua kujiandaa na kutumia kikamilifu jiografia ya nchi yetu k**a lango kuu la kuhudumia nchi zisizo na bahari.Tumedhamilia kuhudumia wenzetu kibiashara na uwekezaji na kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha biashara katika ukanda huu,” amesema Dkt Samia.

Amesema bandari za Tanzania ikiwemo ya Dar es Salaam, zina mchango mkubwa katika kukuza uchumi wa nchi na ustawi wa wananchi, ndio maana Serikali imeamua kufanya maboresho ya miundombinu na huduma za bandari za Bahari ya Hindi na maziwa makuu.

Dkt Samia amesema katika mchakato wanashirikiana na sekta binafsi k**a ambavyo sera inavyoeleza kuwa ‘maendeleo yetu, hatutakwenda peke yetu, tutakwenda na sekta binafsi’.

“Tumekubaliana na kushirikisha sekta binafsi katika safari yetu ya maendeleo na tija ndio hii mnayoiona leo,” ameeleza Dkt Samia.

17/06/2025

usipende kukata tamaa, hakuna ushindi bila pambano we ona mwenyewe

15/06/2025

dharau mbaya sana.... umetulia zako lakini hawataki

15/06/2025

namna mwamba alivyookoka katika ndege iliyouwa watu zaidi ya 240, sikiliza anachojibu katika mahojiano angalia mpaka mwisho.

06/06/2025

hata k**a ni wewe ni lazima uwaze kuna kitu sio bure

05/06/2025

kuhusu kariakoo dabi: Kamwe kaamua kung'oa koki

04/06/2025

mwana kayatimba... sema dada kakaza ila kakosa tu sapoti

03/06/2025

hii kibongobongo wafuasi watapatikana kweli? disco la kimyakimya Dominican republic

30/05/2025

Celebrating my 13th year on Facebook. Thank you for your continuing support. I could never have made it without you. 🙏🤗🎉

30/05/2025

mnyama kaona isiwe shida, sema msela wake k**a amemaindi hivi!

29/05/2025

Sasa hapa kosa ni la nani? ila sio poa .

Address

Kondoa Road
Dodoma
670

Telephone

+255-767-066-207

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when QmediaTz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to QmediaTz:

Share