27/11/2025
*Wenzako wanapiga pesa ili waiharibu nchi yako,halafu wewe unashabikia na kuwa tayari kuumia kizoba...Kataa ujinga huo,nenda kafanye kazi*
Kuanzia February 2025 hadi September na utafiti unaonyesha kwa uharaka katika kipindi cha kuanzia January 2025 hadi September 2025 Zaidi ya USD 30,000,000 sawa na Tsh 7.5B+ (74,026,276,800.00 zilibgizwa nchini Tanzania kutoka kwen Taasisi ya ya Ford Foundation ya Marekani kwa ajili ya kusaidia makundi ya wanaharakati kufanya siasa.
Jiulize pesa hii nyingi ndani ya miezi 10 tu walioitoa wananufaika na nini na Tanzania?
Angalia list ya baadhi ya wanufaika wa mabilioni haya ambao wote ni wanaharakati nchiโฆ
1. February, 2025 Ford Foundation waliipa Taasisi ya Twaweza ya Tanzania kiasi cha USD $2,015,000 kwa lengo la kuhamasisha demokrasia na uwajibikaji wa Serikali ya Tanzania k**a amabyo wao wenyewe wame report katika website yao hapa (fordfoundation.org/work/our-grantโฆ)
2. February 2025, Ford Foundation waliidhinisha kiasi cha $315,000 Kwa taasisi inaitwa Tanzania Bora Initiative kwa lengo la kuwajengea uwezo vijana wa kitanzania kupashana na kuchakata habari mtandaoni za masuala ya Demokrasia. Reference (fordfoundation.org/work/our-grantโฆ)
3. April 2025, Ford Foundation waliidhinisha kiasi cha TZS $300,000 kwa Amnesty International Tanzania kwa malengo waliyoyaita Core support for social justice groups in Tanzania and Uganda to continue reclaiming civic space and enhancing Social Justice Leaders protection mechanisms'' k**a inavyoonekana hapa katika link yao (fordfoundation.org/work/our-grantโฆ)
4. May 2025, Ford Foundation waliidhinisha kiasi cha $200,000 kwa Tanzania Human Rights Defenders Coalition kwa ajili ya ku support harakati za haki za binadamu na watetezi wake hususani katika kipindi cha kuelekea Uchaguzi Mkuu, ikiwa ni sambamba na kuwajengea uwezo hao wanaharakati k**a wanavyoeleza hapa katika link yao ( fordfoundation.org/work/our-grantโฆ)
5. July 2025, Ford Foundation wakato kiasi vha USD 100,000 Kwa Jamii Forums kwa ajili ya malengo waliyoyaita ''General support for advocacy for freedom of expression, democracy, good governance, accountability and transparency via digital rights, and for building an inclusive digital community while empowering Netizens in Tanzania'' k**a wanavyoeleza hapa (fordfoundation.org/work/our-grantโฆ).
6. September, 2025, Ford wakatoa kiasi cha $1,680,000 kwa Mzalendo Trust kwa ajili ya kujengea uwezo wanaharakati wa kisiasa mitandaoni k**a inavyooleza hapa katika link yao hapa (fordfoundation.org/work/our-grantโฆ)
7. Zipo Taasisi zingine zaidi ya 10 ikiwemo Restless Tanzania, Mwanzo Dot ORG, Change Tanzania, Centre for Strategic Litigations na kadhalika ambazo kwa kipindi hicho hicho zimepokea Fedha nyingi sana toka Ford ambapo ni mabilioni k**a unavyoweza kuona katika database ya Ford.