13/01/2026
🔴 TANGAZO LA WITO WA KUMTAFUTA MTOTO ALIYEPOTEA
Tunatoa wito kwa jamii kusaidia katika kumtafuta mtoto Hance Konoladi , ambaye AMEPOTEA maeneo ya Tegeta A – CCM Jijini Dar es Salaam.
📍 Maelezo Muhimu:
👦 Jina: Hance Konoladi
🏠 Anatokea: Tuliani, Morogoro
📅 Alipotea: Tarehe 18 Desemba 2025
👕 Mavazi: Tisheti ya rangi ya maziwa
🎂 Umri: Miaka 10
Tangu siku hiyo hadi sasa, hajapatikana. Ikiwa umeona au una taarifa zozote zitakazosaidia kumpata, tafadhali wasiliana na namba zifuatazo:
📞 0653 665 946
📞 0760 714 787
Tafadhali shiriki tangazo hili ili tuweze kumrudisha Hance mikononi mwa familia yake.
Msaada wako ni wa thamani kubwa.
🙏 Asante kwa ushirikiano wako!