Baraka Mediatz

Baraka Mediatz baraka Media tz ni channel inayokupatia habari kem kem ifuatilie youtube

19/09/2025
Kaondoka kaenda wap
19/09/2025

Kaondoka kaenda wap

Wanaosema kocha kaondoka wambieni waanzishe sikendo nyingine Kwasasa kocha anafuraha na Tim yake
19/09/2025

Wanaosema kocha kaondoka wambieni waanzishe sikendo nyingine
Kwasasa kocha anafuraha na Tim yake

Ameandika JEMEDARI SAIDI KAZUMARI KWELI KABISA KOCHA FADLU DAVIDS AMEAMUA KUONDOKA SIMBA SC.Kocha Mkuu wa klabu ya Simba...
19/09/2025

Ameandika JEMEDARI SAIDI KAZUMARI

KWELI KABISA KOCHA FADLU DAVIDS AMEAMUA KUONDOKA SIMBA SC.
Kocha Mkuu wa klabu ya Simba Fadlu Davids ameamua kuachana na klabu hiyo. Fadlu analalamikia mazingira ya kazi, ni k**a ana hofu ya usalama kitu ambacho ameshindwa kuweka wazi moja kwa moja. Viongozi wa Simba SC wamejitahidi kumbembeleza abadilishe msimamo wake huo lakini amekataa katakata, Rais wa heshima wa klabu Mohamed Dewji - MO amemaliza mbinu za kumtongoza Fadlu ikiwemo kumuongeza mshahara wake, MO amemtaka Fadlu aseme anataka aongezwe kiasi gani (Open Check) lakini Fadlu anasema ameshafanya maamuzi ya kuondoka na harudi nyuma.

Viongozi wa Simba wamemuachia yeye Fadlu ndiye aamue k**a ni kuvunja mkataba basi avunje na aje autangazie umma kwamba ameamua kuondoka klabuni hapo. Mwanzo Fadlu alitaka wafikie makubaliano ya pande zote mbili, Simba wamekataa hilo wanajiondoa kuonekana wamemfukuza ilihali ukweli ni kwamba yeye anataka kuondoka.

Inasemekana klabu ya nyumbani kwao Afrika Kusini ya Kaizer Chiefs ndiyo imempagawisha baada ya kumpa ofa kubwa ya mshahara wa dola za Kimarekani 80,000/=. Pia Wydad Casablanca imo kwenye mbio za kumrejesha Kocha huyo ambaye kabla ya kuja Simba alikuwa huko.

Yuko na timu Francis Town lakini amefanya maamuzi ya kuondoka na alitaka hata huko Francis Town asiende aishie Gaborone tu.

🚨 RASMI: TABORA UNITED YABADILI JINAKlabu ya Tabora United sasa itajulikana k**a TRA United SC baada ya kununuliwa na Ma...
19/09/2025

🚨 RASMI: TABORA UNITED YABADILI JINA

Klabu ya Tabora United sasa itajulikana k**a TRA United SC baada ya kununuliwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).

👉 Kwa sasa timu itaendelea kusimamiwa na Meneja wa TRA Mkoa wa Tabora hadi Januari 2026, ambapo makao makuu yatakuwa Dar es Salaam.

💪 Wafanyakazi wa TRA kutoka mikoa mbalimbali ambayo timu itapambana kwenye Ligi Kuu wamehamasishwa kuipa sapoti na hamasa.

âš½ Timu hii maalum imebuniwa kwa lengo la kuhamasisha wananchi kulipa kodi kwa hiari.

🟢⚪ TRA United SC, timu mpya ya Ligi Kuu Tanzania Bara!

Hali ni mbaya kwa waleta jezi bandia watu wak**atwa
19/09/2025

Hali ni mbaya kwa waleta jezi bandia watu wak**atwa

18/09/2025
https://youtube.com/?si=aZPg4kjuuG2oa9GcKaribu  kutazama channel yetu mpya na HAKIMISHA  UNA SUBSCRIBEHii itakuletea taa...
17/09/2025

https://youtube.com/?si=aZPg4kjuuG2oa9Gc
Karibu kutazama channel yetu mpya na HAKIMISHA UNA SUBSCRIBE
Hii itakuletea taalifa zote za michezo nataalifa za kimataifa

Furaha yako furaaha yangu

Mbali na ushindi wa yanga Bado yanga ilifichwa sana  na KANTE  kanifichia sana Pacome Zouzoua hakutaka kabisa kupenyesha...
17/09/2025

Mbali na ushindi wa yanga Bado yanga ilifichwa sana na KANTE kanifichia sana Pacome Zouzoua hakutaka kabisa kupenyesha kati pale alimfanya PACOME awe ana zunguka zunguka tu uwanjani hasa pembeni ambako nako hakuwa Bora k**a alivyo zoeleka kanifichia sana Viungo wa Yanga Afrika, kaficha sana kaficha mno kaficha vibaya vibaya aje kati anapopitiaga, apiti hapo
Kiujumra mwamba aliwak**ata viungo wa yanga VIZURI sana ukiacha dakika za kipindi Cha pili dakika 10 za mwanzo ambazo yanga walipatiapo goli na Kisha walipotea mbele ya mwamba Muite Cante mwamba Toka msimbazi
Simba SC Tanzania
Young Africans Sports Club

Jersey ya pamba Jiji ni Bora kuliko ya Young Africans Sports Club
17/09/2025

Jersey ya pamba Jiji ni Bora kuliko ya Young Africans Sports Club

17/09/2025

Simba mtaonewa mapa pale mtakapo jitambua hii nikufuru
Simba SC Tanzania Young Africans Sports Club

Address

Mwanza

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Baraka Mediatz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Baraka Mediatz:

Share