Udom Digital

Udom Digital Learning by doing. Showcasing practical works in Journalism & Public Relations as we shape the future of media professionals. 🎥🎙️

03/06/2026

Lake Chala ni asili na hazina kubwa ya Tanzania na zaidi inaimarisha urafiki kati ya Tanzania na Kenya.

Rehema Ally.

03/06/2026

Kila mtoto anandoto ikiwepo kupendwa, kukulindwa na kupewa mahitaji muhimu lakini kwa watoto wengine swala hili limekuwa ndoto kwao.

Makala na Rahma Mansuri.

03/06/2026

Mchango wa teknolojia kwa wahitimu baada ya kumaliza elimu ya vyuo vikuu na jinsi wahitimu watakavyo tumia teknolojia hii katika maendeleo ya kila siku.

Habari na Amina Rashid.

03/06/2026

Mchezo wa soka hujenga hisia heshima na mafanikio k**a ilivyo kwa Pep Gualdiola ndani ya klabu ya Manchester City ambaye ameacha historia kubwa ya makombe 20 ndani ya miaka 10.

Makala na Tryphone Nicholas.

03/06/2026

Bila shaka umeshawai kuiona radi tunaenda kukuangazia radi ni nini? radi ni umeme wa asili unaotokea angani madhara ya radi ni yapi radi inapo tokea uweza kusababisha moto pamoja na kuuwa viumbe mbalimbali

Makala na Gift Godfrey.

03/06/2026

June 16, 2026 Dunia Itasimama Kushuhudia Kombe La Dunia Lenye Timu 48 ,Afrika Ikipeleka Timu 10 huku Mastaa Wakubwa Wa Soka Watakuwa Tayari Kuandika Historia Mpya nchini marekani ,Canada na Mexico .

Makala na Happiness Paschal .

03/06/2026

Je,unafahamu kilimo Cha parachichi kinavofanyika,faida zake na namna kinavoleta Fursa kwa wakulima nchini tanzania

SENEGAL YATWAA UBINGWA WA AFCON U-17 BAADA YA KUIFUNGA TANZANIA KWA MIKWAJU YA PENALTISerengeti Boys ya Tanzania imeshin...
02/06/2026

SENEGAL YATWAA UBINGWA WA AFCON U-17 BAADA YA KUIFUNGA TANZANIA KWA MIKWAJU YA PENALTI

Serengeti Boys ya Tanzania imeshindwa kutwaa ubingwa wa Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Chini ya Miaka 17 (AFCON U-17) baada ya kufungwa na Senegal kwa mikwaju ya penalti 4-2 kufuatia sare ya mabao 1-1 katika muda wa kawaida wa mchezo wa fainali uliochezwa mjini Rabat, Morocco.

Licha ya matokeo hayo, Tanzania imeandika historia kubwa kwa kufika fainali ya mashindano hayo kwa mara ya kwanza na kujihakikishia nafasi ya kushiriki Kombe la Dunia la FIFA U-17 mwaka 2026. Safari ya Serengeti Boys imeonyesha maendeleo makubwa ya soka la vijana nchini na kuwapa Watanzania fahari kubwa barani Afrika.

Hongera Serengeti Boys kwa kuiwakilisha vyema Tanzania na kuonyesha kiwango cha juu katika mashindano hayo. Kichwa juu, safari ya mafanikio bado inaendelea. 🇹🇿⚽🏆

Football UDOMDigital

🇹🇿 SERENGETI BOYS WANG’ARA AFCON U-17 MOROCCO 2026Historia imeandikwa! Tanzania imeendelea kuonyesha ubora wake katika m...
02/06/2026

🇹🇿 SERENGETI BOYS WANG’ARA AFCON U-17 MOROCCO 2026

Historia imeandikwa! Tanzania imeendelea kuonyesha ubora wake katika michuano ya TotalEnergies CAF U-17 AFCON Morocco 2026 kupitia vijana wake mahiri. Kiungo mshambuliaji Issa M***a Chole ametangazwa kuwa Man of the Competition, huku mshambuliaji Dismas Athanasi akimaliza mashindano k**a Top Goal Scorer akiwa na mabao 3.

Mafanikio haya yanaonyesha ukuaji mkubwa wa soka la vijana nchini na ni ishara ya kizazi kipya cha vipaji vinavyokuja kuibeba Tanzania katika miaka ijayo. Serengeti Boys wameonyesha nidhamu, ushindani na uzalendo mkubwa katika kuiwakilisha nchi kwenye jukwaa la Afrika.

Hongereni Serengeti Boys, benchi la ufundi na Watanzania wote kwa mafanikio haya makubwa. Safari ya kuelekea mafanikio makubwa zaidi inaendelea!

IssaM***aChole DismasAthanasi PrideOfTanzania 🇹🇿⚽🏆

Address

Dodoma

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Udom Digital posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share