Nyang'hwale Tv

Nyang'hwale Tv Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Nyang'hwale Tv, Media/News Company, Nyang'hwale, Geita.

https://youtu.be/A1RqYsQNDFY🎉 Maadhimisho ya Miaka 49 ya CCM – Wilayani Nyang’hwale 🎉Karibu kwenye video yetu inayoonesh...
01/02/2026

https://youtu.be/A1RqYsQNDFY🎉 Maadhimisho ya Miaka 49 ya CCM – Wilayani Nyang’hwale 🎉
Karibu kwenye video yetu inayoonesha maadhimisho ya Miaka 49 ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Nyang’hwale,Iliyoandaliwa na Jumuiya ya Wanawake Tanzani UWT (W).Nyang'hwale
Katika kuadhimisha sherehe hizi katika Wilaya,Mikoa na Taifa Lengo kuu la CCM ni kuonesha jamii mafanikio makubwa yaliyopatikana katika sekta mbalimbali kimaendeleo k**a vile Elimu, Afya, Maji na Miundombinu.chini ya DKT Samia Suluhu Hassan..........

📍 Elimu
✔️ Ujenzi wa shule za msingi na sekondari mpya
✔️ Kuongezeka kwa idadi ya wanafunzi wanaopata elimu
✔️ Waraka wa elimu na vifaa vingi vya kufundishia

🏥 Afya
✔️ Zahanati na vituo vya afya vimejengwa au kuboreshwa
✔️ Upatikanaji wa huduma za msingi za afya umekua
✔️ Chanjo na huduma za mama na mtoto zimeimarika

💧 Maji Safi
✔️ Kupanua huduma ya maji safi vijijini
✔️ Visima vipya na miundombinu ya maji imewekwa
✔️ Jamii nyingi sasa zina huduma ya maji karibu na makazi

🚧 Miundombinu
✔️ Barabara zimeboreshwa/kujengwa
✔️ Daraja na vituo vya uchukuzi vimeimarika
✔️ Kuwekwa kwa miundombinu ya umeme na mawasiliano

AIDHA KUPITIA UONGOZI WA SERIKARI INAYOONGOZWA NA DKT SAMIA SULUHU HASSAN SEKTA ZOTE MUHIMU ZIMEBORESHWA NA KUIMARIKA KWA KIWANGO KIKUBWA MFANO:-

📚 Sekta ya Elimu
Kupitia serikali ya CCM, wilaya ya Nyang’hwale imeshuhudia ujenzi wa shule mpya nyingi zenye ubora wa kisasa za msingi na sekondari, madarasa yameongezwa, na vifaa vya kujifunzia vimeboreshwa. Hatua hizi zimeongeza upatikanaji wa elimu na kuboresha mazingira ya kujifunzia kwa watoto wetu,hali ambayo imeongeza ufaulu katika shule nyingi wilayani Nyang'hwale

🏥 Sekta ya Afya
Huduma za afya zimeimarika kwa kujengwa Hospitari kubwa ya WIlaya ikisheheni vifaa tiba kwa magonjwa mbali mbali k**a vile ,kuwepo kwa vipimo vya Ini,Figo,Moyo,Kinywa na Meno,sambamba na upasuaji mkubwa na mdogo kwa magonjwa mbalimbali,haya ni mafanikio makubwa kwa wilaya ya Nyang'hwale Pia kujengwa kwa vituo vya afya 5 vitano katika kata tofauti,pamoja Kibwa zaidi kwa sasa Vijiji vyote nyang'hwale kuna zahanati ya Kijiji. Wananchi sasa wanapata huduma bora za msingi karibu na makazi yao, ikiwemo huduma za mama na mtoto pamoja na chanjo.

💧 Sekta ya Maji
Upatikanaji wa maji safi na salama kupitia mradi wa maji mkubwa wa Iherere unaotoa maji kutoka ziwa Victoria umeongezeka kwa vijiji vingi nyang'hwale kwa maeneo machache ambayo bado jitihada zinafanyika kufikisha maji ya bomba kumechimbwa visima ambavyo vinasaidia kupunguza kero za upatikanaji wa maji hali ambayo inapunguza umbali na muda wa wananchi kutafuta maji,na kuienzi sera ya Rais Samia Suluhu Hassan ya KUMTUA NDOO MAMA KICHWANI

🚧 Miundombinu
Barabara zimeboreshwa, kwa kiasi kikubwa sasa vijiji vyote nyang'hwale vimeinganishwa na barabara za changarawe pia Rais Samia Suluhu Hassan sasa ametenga pesa kwa ajili ya ujenzi wa barabara ya lami kutokea busisi mwanza,kupitia ngoma,busolwa,nyijundu,kharumwa ,chela,na Kahama hivyo miundombinu ya usafiri imeimarika, na huduma za umeme kwa sasa Vijiji vyote 62 vimefikiwa na Umeme na sasa umeme unasambazwa kwenye vitongoji na maeneo ya migodi (Wachimbaji Wadogo) Aidha sekta ya mawasiliano zimeendelea kupanuka kwa kuongeza minara katika vijiji mbalimbali hatua zinazochochea kukua kwa uchumi wa wananchi kwa ujumla.
HAYO NI KWA UCHACHE SANA ,MAMBO MAZURI YALIYOFANYWA NA CCM NI MENGI KATIKA KIPINDI CHA MIAKA 49 TANGU KUZALIWA KWAKE....

Kwa pamoja, miaka 49 ya CCM ni miaka 49 ya maendeleo na matumaini mapya kwa wananchi wa Nyang'hwale na Tanzania kwa ujumla

✨ Tunaishukuru CCM kwa juhudi za maendeleo na ustawi wa wananchi wa wilaya ya Nyang’hwale.
📲 Usisahau subscribe, like na share video hii kwa maendeleo ya jamii yetu! 'HWALE TV ONLINE

🎉 Maadhimisho ya Miaka 49 ya CCM – Wilayani Nyang’hwale 🎉Karibu kwenye video yetu inayoonesha maadhimisho ya Miaka 49 ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani...

https://youtu.be/RBL2kgfazQ4
23/01/2026

https://youtu.be/RBL2kgfazQ4

KIJANA WALTER MKAZI WA NYANG'HWALE KATA YA KHARUMWA AMEONESHA MFANO KWA VIJANA WENZAKE KWA KUTHUBUTU KUINGIA KWENYE SEKTA YA UFUGAJI,KWA SASA ANA UWEZO WA KU...

https://youtu.be/6d5fNNSfkC0MCHUANO MKALI WA VOLEBO,MENEJA WA NMB NYANG'HWALE & DKT KUCHIBA WAIKOMALIA VOLEBO NYANG'HWAL...
14/12/2025

https://youtu.be/6d5fNNSfkC0MCHUANO MKALI WA VOLEBO,MENEJA WA NMB NYANG'HWALE & DKT KUCHIBA WAIKOMALIA VOLEBO NYANG'HWALE

WILAYANI NYANG'HWALE MCHEZO WA MPIRA WA WAVU UMEANZA KUSHIKA KASI WILAYANI HUMO BAADA YA WANANCI KUANZA KUJITOKEZA KWA WINGI KWENYE MICHUANO MBALIMBALI YA ME...

👏👏CHONDE! CHONDE! NDUGU ZANGU WATANZANIA TUITUNZE AMANI YETU....
07/12/2025

👏👏CHONDE! CHONDE! NDUGU ZANGU WATANZANIA TUITUNZE AMANI YETU....

MKUTANO WA BARAZA MAALUM LA MADIWANI SIKU YA KWANZA KUJADILI RASIMU YA BAJETI YA HALMASHAURI YA WILAYA YA NYANG'HWALE KW...
24/01/2025

MKUTANO WA BARAZA MAALUM LA MADIWANI SIKU YA KWANZA KUJADILI RASIMU YA BAJETI YA HALMASHAURI YA WILAYA YA NYANG'HWALE KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026

https://youtu.be/V_SxEK25e5I
27/08/2024

https://youtu.be/V_SxEK25e5I

HALMASHAURI YA WILAYA YA NYANG'HWALE MKOANI GEITA IMEANZISHA MPANGO MAALUM WA KUWATEMBELEA WANAFUNZI MASHULENI KWA LENGO LA KUWAPATIA ELIMU JUU KUJILINDA NA ...

https://youtu.be/vs2J-w5Q89g KIJANA MARCO NHINDA ALIYEDAIWA KUFIA DUARANI MACHIMBONI,ASIMULIA MAZITO BAADA YA KUKUTWA HA...
24/08/2024

https://youtu.be/vs2J-w5Q89g KIJANA MARCO NHINDA ALIYEDAIWA KUFIA DUARANI MACHIMBONI,ASIMULIA MAZITO BAADA YA KUKUTWA HAI MGODI MWINGINE

MKUU WA WILAYA YA NYANG'HWALE MHE.GRACE KINGALAME,AMEHUTUBIA BARAZA LA MADIWANI WILAYANI NYANG'HWALE 21/8/2024, AMEWAONY...
22/08/2024

MKUU WA WILAYA YA NYANG'HWALE MHE.GRACE KINGALAME,AMEHUTUBIA BARAZA LA MADIWANI WILAYANI NYANG'HWALE 21/8/2024, AMEWAONYA BAADHI YA WATUMISHI AMBAO HAWATAKI KWENDA NA KASI YA DOKTA SAMIA SULUHU HASSAN,AIDHA KINGALAME AMESEMA RAIS SAMIA ANAFANYA KAZI KUBWA USIKU NA MCHANA,HALALI WEWE UNAPATA WAPI USINGIZI!?""BADO KUNA BAADHI YA WATU WACHACHE WANANIJARIBU,KUNA MAENEO BADO KUNA CHANGAMOTO YA UZEMBE,"NAOMBA NIWAAMBIE SINTOLEGEZA KAMBA KAMWE!SIWEZI KUVUMILIA KUONA MTU YOYOTE ANAMKWAMISHA RAIS WETU KWA NAMNA YOYOTE,TUTAWASHUGHULIKIA, IKIBIDI KIJESHI MPAKA WATANYOOKA,AU WATUPISHE MAPEMAAA,TUNAKWENDA KWA KASI YA SGR,"PIA AMEWATAKA WATUMISHI WA KADA ZOTE KUWASAIDIA WANANCHI AMBAO NDIO WAAJILI WETU NA SI VINGINEVYO!....

MKUU WA WILAYA YA NYANG'HWALE MHE.GRACE KINGALAME,AMEHUTUBIA BARAZA LA MADIWANI WILAYANI NYANG'HWALE 21/8/2024, AMEWAONYA BAADHI YA WATUMISHI AMBAO HAWATAKI ...

Address

Nyang'hwale
Geita

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Nyang'hwale Tv posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Nyang'hwale Tv:

Share