20/05/2026
JIMBO LA MAGU.
Leo tuliangalie Jimbo la Magu upande wa Wabunge kuanzia mwaka 1965 hadi sasa.
BUNGE LA KWANZA.
Katika uchaguzi wa kwanza wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania mwaka 1965 jimbo hili lilijulikana kwa jina la Kwimba Kazikazini na mbuge wake alikuwa ni,
Mhe. M. Mabawa
Kwimba Kaskazini(TANU)
Kuanzia 12 Okt. 1965 -24 Julai, 1970.
BUNGE LA PILI.
Katika uchaguzi wa mwaka 1970 jimbo la Kwimba Kazikazini likabadilishwa jina na kuitwa Jimbo la Magu na likabaki na Mbunge wake yule yule,
Mhe. M. Mabawa
Magu (TANU)
Kuanzia 19 Nov. 1970 –18 Julai, 1975.
BUNGE LA TATU.
Katika uchaguzi wa mwaka 1975 jimbo la Magu likapata mbunge mpya ambaye ni;
Mhe. Philibert Bashiganye Kapunda
Magu(TANU/ CCM)
Kuanzia 06 Nov. 1975 -26 Julai, 1980.
BUNGE LA NNE.
Katika uchaguzi wa mwaka 1980 jimbo la Magu likapata mbunge mpya tena ambaye ni;
Mhe. Marco Mabawa
Magu (CCM)
Kuanzia 04 Nov. 1980 –31 Julai, 1985.
BUNGE LA TANO.
Katika uchaguzi wa mwaka 1985 jimbo la Magu likapata mbunge mpya tena ambaye ni;
Mhe. Ernest Kisumo Nyanda
Magu(CCM)
Kuanzia 02 Nov. 1985 -23 Julai, 1990.
BUNGE LA SITA.
Katika uchaguzi wa mwaka 1990 jimbo la Magu likabaki na Mbunge wake yule yule;
Mhe. Ernest Kisumo Nyanda
Magu(CCM)
Kuanzia 06 Nov. 1990 –04 Agosti 1995.
BUNGE LA SABA.
Katika uchaguzi wa mwaka 1995 Mhe. Malaki L. Lupondije wa CCM alishainda uchaguzi katika jimbo hili lakini hakumaliza muhula wake baada ya kufariki na ukaitishwa uchaguzi mdogo ambapo alishinda mbunge wa upinzani amabye ni;
Mhe. Malaki L. Lupondije
Magu (CCM)
Kuanzia 24 Nov. 1995 –17 Nov. 1997.
Mhe. John Momose Cheyo
Magu (UDP)
1998 –04 Agosti, 2000.
BUNGE LA NANE.
Katika uchaguzi wa mwaka 2000 jimbo la Magu likapata Mbunge mpya tena ambaye ni;
Mhe. Dkt. Festus Bulugu Limbu
Magu (CCM)
Kuanzia 14 Nov. 2000 -05 Agosti, 2005.
BUNGE LA TISA.
Katika uchaguzi wa mwaka 2005 jimbo la Magu likabaki na Mbunge wake yule