Denis Nyali

Denis Nyali Jina langu naitwa Denis Nyali Mkurugenzi wa Nyali iliyopo Mkoani Iringa

Taarifa kutoka Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF)
10/06/2025

Taarifa kutoka Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF)

Kamwe Ang'aka Baada ya taarifa hii ya Simba.KUTOKA KWA AFISA HABARI WA YANGA •  Makolo katika hili ni bora mngekaa kimya...
10/06/2025

Kamwe Ang'aka Baada ya taarifa hii ya Simba.
KUTOKA KWA AFISA HABARI WA YANGA •

Makolo katika hili ni bora mngekaa kimya tu. Jamii ya watu wenye Maarifa na Akili timamu, imeshajua UNAFKI wenu.

Mwanzo mlitangaza hamtashiriki Ligi tena mpaka mtakapopewa ripoti ya uchunguzi wa kilichokwamisha Derby, Ila baada ya mchongo wenu mlioset kujibu, mnatoka mbele eti mnataka tena mechi.

Wanafki wakubwa nyie.

Kilichobadilika ni nini? Ni mtu tofauti aliyeandika mwanzo akidai hamchezi Tena mpaka Ripoti itoke na huyu aliyeandika upuuzi wenu Leo?

Au kwa kuwa ile ya mwanzo iliandikwa Usiku sana tuamini mwandishi alishavesha Konyagi za kutosha kichwani akajiandikia msioweza kuyasimamia?

Niwaambie, katika hili la kudai HAKI NA RIPOTI hatuhitaji sapoti yenu. Sisi Tunajimudu na Tunaweza kuyapambania maslahi yetu bila UNAFKI WENU

Nyie tulizeni mshono, ikifika Tarehe mliyoambiwa, pelekeni Timu kachukueni pointi 3 na tangazeni ubingwa.. Mchecheto wa nini kwani? Mnaacha maswali mengi kwa watu kuonyesha mna wasiwasi na Hamjiamini

Sisi Tunasimamia Maslahi ya mpira, Haki itendeke halafu ndio Mechi halali ipangwe. Tunawatamani sana na mnalijua hilo.

Na ni vyema mkajua, mapambano yetu sio kwa ajili ya kubeba Ubingwa mezani. Sisi hatutakuwa Tayari kubeba Ubingwa Mezani bila kumalizana na nyie Uwanjani

Haki ikishatendeka, Tutawatafuta kivyovyote vile ili TUMALIZANE na Tukomeshe Kimdomo chenu

Kwa sasa Tuacheni kidogo tumalize Jambo kubwa lililo mezani.

IVI NANI ANAMWOGOPA MWENZIA KWENYE HILI NA LAWAMA ZIENDE WAPI   ⚽: Taswira ya mvutano wa Bodi ya Ligi na Klabu ya Yanga ...
10/06/2025

IVI NANI ANAMWOGOPA MWENZIA KWENYE HILI NA LAWAMA ZIENDE WAPI ⚽: Taswira ya mvutano wa Bodi ya Ligi na Klabu ya Yanga kuelekea Dabi ya Kariakoo inayotarajiwa kuchezwa Juni 15.
Usikose kutuandikia maoni yako 🙌

Mchezo Upo Pale Pale
10/06/2025

Mchezo Upo Pale Pale

Soka Letu Linakwenda Wapi  “Taarifa hii iwafikie ofisi ya Katibu Mkuu wa TFF na Wadhamini wa mashindano ya Kombe la Shir...
10/06/2025

Soka Letu Linakwenda Wapi

“Taarifa hii iwafikie ofisi ya Katibu Mkuu wa TFF na Wadhamini wa mashindano ya Kombe la Shirikisho la CRDB, kuwa HATUTACHEZA mchezo wa Fainali wa CRDB siku ya tarehe 28, mpaka tutakapolipwa hela yetu ya Ubingwa kwa msimu uliopita. Tumevumilia dharau hizi kutoka kwa Mamlaka za Soka kwa muda mrefu sana, sasa imefika mwisho. Hii ya Zanzibar pia HATUCHEZI. - Meneja Habari na Mawasiliano Yanga SC.

June 27 Inatoka Nambie nini kilikufurahisha katika episod zilizopita
04/06/2025

June 27 Inatoka Nambie nini kilikufurahisha katika episod zilizopita

Magazeti ya Leo June 4
04/06/2025

Magazeti ya Leo June 4

Mayele ni Moto mwingine
02/06/2025

Mayele ni Moto mwingine

ujenzi wa uwanja mpya wa mpira wa miguu jijini Arusha unaendelea kwa kasi. Kwa mujibu wa Wizara ya Habari, utamaduni, sa...
01/06/2025

ujenzi wa uwanja mpya wa mpira wa miguu jijini Arusha unaendelea kwa kasi. Kwa mujibu wa Wizara ya Habari, utamaduni, sanaa na michezo, ujenzi huo umefikia asilimia 42. Uwanja huu unajengwa kwa ajili ya mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) mwaka 2027, ambayo Tanzania itaandaa kwa kushirikiana na Kenya na Uganda. Picha inaonyesha hatua za ujenzi zinazoendelea, zikijumuisha miundombinu mbalimbali na kazi za ujenzi wa sehemu ya jengo la uwanja.

ANAANDIKA EDO KUMWEMBE.Kuhusu hiyo mechi iliyoisha. Nawaza tu....Bro Mwigulu ana maskauti wazuri wa wachezaji..mafundi w...
31/05/2025

ANAANDIKA EDO KUMWEMBE.
Kuhusu hiyo mechi iliyoisha. Nawaza tu....Bro Mwigulu ana maskauti wazuri wa wachezaji..mafundi wengi sana timu yake. Pili, Mwamuzi Arajiga bado anaendelea kuwa bora. Anakosea maeneo ambayo VAR ingeweza kumsaidia...tatu...Mjadala wa lazima tuachane na makipa wa kigeni tuwe na wazawa peke yake naendelea kuuona hauna maana....nne...Mpanzu ni very talented lakini acheze mpira rahisi wa kuachia kwa wenzake. Ina maana hakuna tena Dabi msimu huu? 😏😏😏

Viingilio vya mchezo wa kutupeleka fainali ya Kombe la Shirikisho la Benki ya CRDB.
30/05/2025

Viingilio vya mchezo wa kutupeleka fainali ya Kombe la Shirikisho la Benki ya CRDB.

🎯Kiungo mshambuliaji wa Azam FC, Faisal Salum Fei Toto ameridhia kujiunga na klabu ya Simba baada ya kupewa ofa kubwa ya...
30/05/2025

🎯Kiungo mshambuliaji wa Azam FC, Faisal Salum Fei Toto ameridhia kujiunga na klabu ya Simba baada ya kupewa ofa kubwa ya milioni 800 k**a ada ya usajili, mshahara wa milioni 50 kwa mwezi na atapewa nyumba na gari pia atapewa bonasi kila akifunga goli au kutoa usaidizi wa goli (assist).

-Kwa sasa Simba wanamalizana na Azam. Pia Azam haina shida yoyote kuhusu kumwachia nyota huyo akifuata masharti ya kimkataba pamoja na hayo meneja wa Fei Toto amesema kuwa hakuna kipengele chochote iwapo Feisal akiuzwa Tanzania klabu ya Yanga inapewa hela

Address

Iringa

Telephone

+255717667442

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Denis Nyali posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Denis Nyali:

Share