Islamic Swahili NET

Islamic Swahili NET Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Islamic Swahili NET, Media, Miyomboni, Iringa.

🕌 Mawaidha | 🤲 Daawa | 🗞 Habari
“The most beloved deeds of Allah are the most continuous even when they are small”
OTHER NETWORK____Link👇
🔗 https://linktr.ee/islamic_swahili_net

Ni mtume gani aliota ndoto iliyokuwa sababu ya baba yake kufika Misri?tukumbuke kuwa kila kitu tunachotoa kwa njia ya kh...
17/12/2025

Ni mtume gani aliota ndoto iliyokuwa sababu ya baba yake kufika Misri?
tukumbuke kuwa kila kitu tunachotoa kwa njia ya kheri hakipotei. kila sadaka, hata ndogo kuliko chembe ya mchanga, inaandikwa na mola na inatujengea makazi bora ya milele. tukiunga mkono uwekaji wa alama isiyofutika kijiji cha utengule-iringa, tunashiriki katika kuitukuza neema ya allah iliyoijionyesha dhwahiri. huu ni mwaliko kwa kila mwenye moyo mweupe kuweka alama katika akhera yake.

CHANGIA KUPITIA NAMBA:
M-PESA 0769 756 490
YAS | MIX 0715 868 990
HALOPESA 0619 115 190
JINA: MUDATHIR ISSA YOYOTA


Aliyekuwa kasisi wa Kimarekani Hilarion Heagy, mtawa na kiongozi mashuhuri wa Kanisa la Kikatoliki la Mashariki, ametang...
17/12/2025

Aliyekuwa kasisi wa Kimarekani Hilarion Heagy, mtawa na kiongozi mashuhuri wa Kanisa la Kikatoliki la Mashariki, ametangaza kusilimu baada ya safari ndefu ya kiroho iliyodumu kwa zaidi ya miaka ishirini. Habari za kuingia kwake Uislamu zilisambaa kwa kasi kupitia vyombo vya habari na majukwaa ya da’wah duniani, na jina lake likawa miongoni mwa yaliyotafutwa zaidi Google katika Mashariki ya Kati na maeneo mengine.

Cha kushangaza, Heagy hakujua mara moja kuwa habari na picha zake zilikuwa zikisambaa duniani kote hadi alipopigiwa simu na rafiki yake aliyemjulisha kuwa jina lake lilikuwa likitafutwa sana. Tukio hilo liliibua furaha na mshangao mkubwa miongoni mwa Waislamu duniani.

Baada ya kusilimu, alibadili jina lake na kuitwa Saeed Abdul Latif, akielezea uamuzi wake k**a “kurudi nyumbani” au “kurejea katika Uislamu.” Alifafanua kuwa mvuto wa Uislamu ulikuwa moyoni mwake tangu mwaka 2003, lakini alichelewesha uamuzi huo kwa sababu ya shinikizo la kijamii na kifamilia.

tukumbuke kuwa kila kitu tunachotoa kwa njia ya kheri hakipotei. kila sadaka, hata ndogo kuliko chembe ya mchanga, inaandikwa na mola na inatujengea makazi bora ya milele. tukiunga mkono uwekaji wa alama isiyofutika kijiji cha utengule-iringa, tunashiriki katika kuitukuza neema ya allah iliyoijionyesha dhwahiri. huu ni mwaliko kwa kila mwenye moyo mweupe kuweka alama katika akhera yake.

CHANGIA KUPITIA NAMBA:
M-PESA 0769 756 490
YAS | MIX 0715 868 990
HALOPESA 0619 115@she ik
JINA: MUDATHIR ISSA YOYOTA

Ni mtume gani alizungumza  na Mwenyezi Mungu moja kwa moja bila mjumbe?tukumbuke kuwa kila kitu tunachotoa kwa njia ya k...
17/12/2025

Ni mtume gani alizungumza na Mwenyezi Mungu moja kwa moja bila mjumbe?
tukumbuke kuwa kila kitu tunachotoa kwa njia ya kheri hakipotei. kila sadaka, hata ndogo kuliko chembe ya mchanga, inaandikwa na mola na inatujengea makazi bora ya milele. tukiunga mkono uwekaji wa alama isiyofutika kijiji cha utengule-iringa, tunashiriki katika kuitukuza neema ya allah iliyoijionyesha dhwahiri. huu ni mwaliko kwa kila mwenye moyo mweupe kuweka alama katika akhera yake.

CHANGIA KUPITIA NAMBA:
M-PESA 0769 756 490
YAS | MIX 0715 868 990
HALOPESA 0619 115 190
JINA: MUDATHIR ISSA YOYOTA


🕌 Misikiti 10 Mikubwa Duniani (Kwa Ukubwa & Uwezo)1. Msikiti Mkuu wa Al-Haram – Makkah, Saudi Arabia   Uwezo:takribani w...
17/12/2025

🕌 Misikiti 10 Mikubwa Duniani (Kwa Ukubwa & Uwezo)
1. Msikiti Mkuu wa Al-Haram – Makkah, Saudi Arabia
Uwezo:takribani waumini milioni 2–4 wakati wa Hija
Ukubwa: zaidi ya m² 356,000
Msikiti mkubwa na mtukufu zaidi katika Uislamu

2.Msikiti wa Mtume (An-Nabawi) – Madinah, Saudi Arabia
Uwezo:takribani waumini milioni 1–1.5
Ukubwa: karibu m² 400,000

3. Msikiti Mkuu wa Algiers– Algiers, Algeria
Uwezo: takribani waumini 120,000
Ukubwa:karibu m² 270,000
Msikiti mkubwa zaidi Afrika

4. Msikiti wa Faisal – Islamabad, Pakistan
Uwezo: takribani waumini 100,000
Ukubwa:karibu m² 130,000

5. Msikiti wa Hassan II – Casablanca, Morocco
Uwezo: waumini 105,000 (ndani + nje)
Ukubwa: takribani m² 90,000

6. Msikiti wa Badshahi– Lahore, Pakistan
Uwezo:takribani waumini 100,000
Ukubwa: karibu m² 75,000

7. Msikiti wa Istiqlal – Jakarta, Indonesia
Uwezo: takribani waumini 120,000
Ukubwa:karibu m² 120,000
Msikiti mkubwa zaidi Asia ya Kusini Mashariki

8. Msikiti Mkuu wa Sheikh Zayed – Abu Dhabi, UAE
Uwezo:takribani waumini 40,000
Ukubwa: karibu m² 290,000

9. Msikiti wa Jama Masjid – Delhi, India
Uwezo: takribani waumini 25,000–30,000
Ukubwa: karibu m² 30,000

10. Msikiti wa Haram ya Imam Reza– Mashhad, Iran
Uwezo:zaidi ya waumini 700,000 katika eneo lote la jengo
Ukubwa:zaidi ya m² 600,000 (kompleksi nzima)

tukumbuke kuwa kila kitu tunachotoa kwa njia ya kheri hakipotei. kila sadaka, hata ndogo kuliko chembe ya mchanga, inaandikwa na mola na inatujengea makazi bora ya milele. tukiunga mkono uwekaji wa alama isiyofutika kijiji cha utengule-iringa, tunashiriki katika kuitukuza neema ya allah iliyoijionyesha dhwahiri. huu ni mwaliko kwa kila mwenye moyo mweupe kuweka alama katika akhera yake.

CHANGIA KUPITIA NAMBA:
M-PESA 0769 756 490
YAS | MIX 0715 868 990
HALOPESA 0619 115 190
JINA: MUDATHIR ISSA YOYOTA


Padri wa Kanisa nchini Australia, anayetambulika kwa jina la David Gould, ametangaza kusilimu baada ya kulitumikia Kanis...
17/12/2025

Padri wa Kanisa nchini Australia, anayetambulika kwa jina la David Gould, ametangaza kusilimu baada ya kulitumikia Kanisa la Australia kwa kipindi cha miaka 45.

Baada ya uamuzi huo, amechukua jina la Abdul Rahman, akieleza kuwa hatua hiyo ni sehemu ya safari yake binafsi ya kiroho katika kutafuta ukweli na amani ya moyo.

Uislamu umeenea sana nchini humo.
tukumbuke kuwa kila kitu tunachotoa kwa njia ya kheri hakipotei. kila sadaka, hata ndogo kuliko chembe ya mchanga, inaandikwa na mola na inatujengea makazi bora ya milele. tukiunga mkono uwekaji wa alama isiyofutika kijiji cha utengule-iringa, tunashiriki katika kuitukuza neema ya allah iliyoijionyesha dhwahiri. huu ni mwaliko kwa kila mwenye moyo mweupe kuweka alama katika akhera yake.

CHANGIA KUPITIA NAMBA:
M-PESA 0769 756 490
YAS | MIX 0715 868 990
HALOPESA 0619 115 190
JINA: MUDATHIR ISSA YOYOTA


Mnyororo wa Mitume  na Ujumbe wa Tauhidi katika Uislamu1. Nabii Adam (A.S)Ujumbe: Kumuabudu Mwenyezi Mungu Mmoja, mwanzo...
17/12/2025

Mnyororo wa Mitume na Ujumbe wa Tauhidi katika Uislamu
1. Nabii Adam (A.S)
Ujumbe: Kumuabudu Mwenyezi Mungu Mmoja, mwanzo wa ubinadamu

2. Nabii Idris (A.S)
Ujumbe: Elimu, ibada, maadili mema

3. Nabii Nuh (A.S)
Ujumbe: Kuacha ushirikina, kumuabudu Allah Pekee

4. Nabii Hud (A.S)
Ujumbe: Tauhidi kwa watu wa ‘Aad

5. Nabii Swaleh (A.S)
Ujumbe: Tauhidi kwa watu wa Thamud

6. Nabii Ibrahim (A.S)
Ujumbe: Tauhidi, kuvunja ibada ya masanamu

7. Nabii Lut (A.S)
Ujumbe: Maadili mema, kupinga vitendo vya uovu

8. Nabii Ismail (A.S)
Ujumbe: Tauhidi na utiifu kwa Allah

9. Nabii Ishaq (A.S)
Ujumbe: Kuendeleza Tauhidi

10. Nabii Yaqub (A.S)
Ujumbe: Tauhidi, uongofu kwa wana wa Israil

11. Nabii Yusuf (A.S)
Ujumbe: Tauhidi, subira na uadilifu

12. Nabii Shu’aib (A.S)
Ujumbe: Uadilifu katika biashara, Tauhidi

13. Nabii Ayyub (A.S)
Ujumbe: Subira na kumtegemea Allah

14. Nabii Dhul-Kifl (A.S)
Ujumbe: Uadilifu na subira

15. Nabii Musa (A.S)
Ujumbe: Tauhidi, Sheria (Taurat)

16. Nabii Harun (A.S)
Ujumbe: Kusaidia Musa, Tauhidi

17. Nabii Dawud (A.S)
Ujumbe: Tauhidi, uongozi na haki

18. Nabii Sulayman (A.S)
Ujumbe: Tauhidi, uongozi wa haki

19. Nabii Ilyas (A.S)
Ujumbe: Tauhidi kwa watu wa Baal

20. Nabii Al-Yasa’ (A.S)
Ujumbe: Kuendeleza Tauhidi

21. Nabii Yunus (A.S)
Ujumbe: Tauhidi, toba

22. Nabii Zakariya (A.S)
Ujumbe: Tauhidi

23. Nabii Yahya (A.S)
Ujumbe: Tauhidi, uadilifu

24. Nabii Isa (A.S)
Ujumbe: Tauhidi, Injil

25. Nabii Muhammad ﷺ
Ujumbe: Tauhidi, Qur’an, Uislamu kwa wanadamu wote

Uislamu umeenea sana nchini humo.
tukumbuke kuwa kila kitu tunachotoa kwa njia ya kheri hakipotei. kila sadaka, hata ndogo kuliko chembe ya mchanga, inaandikwa na mola na inatujengea makazi bora ya milele. tukiunga mkono uwekaji wa alama isiyofutika kijiji cha utengule-iringa, tunashiriki katika kuitukuza neema ya allah iliyoijionyesha dhwahiri. huu ni mwaliko kwa kila mwenye moyo mweupe kuweka alama katika akhera yake.

CHANGIA KUPITIA NAMBA:
M-PESA 0769 756 490
YAS | MIX 0715 868 990
HALOPESA 0619 115 190
JINA: MUDATHIR ISSA YOYOTA


Waziri Mkuu wa jimbo la Bihar, Nitish Kumar, amekosolewa vikali na wananchi baada ya kumvua kwa nguvu nikabu daktari Mwi...
17/12/2025

Waziri Mkuu wa jimbo la Bihar, Nitish Kumar, amekosolewa vikali na wananchi baada ya kumvua kwa nguvu nikabu daktari Mwislamu wakati wa hafla rasmi iliyofanyika Patna.

Tukio hilo lilitokea katika hafla ya ugawaji wa barua za ajira kwa zaidi ya madaktari 1,200 wa AYUSH waliopata ajira mpya. Video iliyosambaa kwa kasi mitandaoni inaonyesha Waziri Mkuu akihoji vazi la uso la Dkt. Nusrat Parveen na kisha kulivuta na kulishusha jukwaani, kitendo kilichomwacha daktari huyo akiwa katika hali ya kutokuwa na raha huku baadhi ya waliohudhuria wakionekana kucheka.

Wananchi wengi, makundi ya kutetea haki za binadamu pamoja na watumiaji wa mitandao ya kijamii wamelilaani tukio hilo, wakilitaja kuwa ni la kudhalilisha, kukosa heshima na kukiuka uhuru wa kidini. Wakosoaji wamemtuhumu Waziri Mkuu kwa chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) na kumfedhehesha hadharani mwanamke mtaalamu.

Hadi sasa, Nitish Kumar wala ofisi yake hawajatoa tamko rasmi la kuomba radhi kuhusiana na tukio hilo.

Uislamu umeenea sana nchini humo.
tukumbuke kuwa kila kitu tunachotoa kwa njia ya kheri hakipotei. kila sadaka, hata ndogo kuliko chembe ya mchanga, inaandikwa na mola na inatujengea makazi bora ya milele. tukiunga mkono uwekaji wa alama isiyofutika kijiji cha utengule-iringa, tunashiriki katika kuitukuza neema ya allah iliyoijionyesha dhwahiri. huu ni mwaliko kwa kila mwenye moyo mweupe kuweka alama katika akhera yake.

CHANGIA KUPITIA NAMBA:
M-PESA 0769 756 490
YAS | MIX 0715 868 990
HALOPESA 0619 115 190
JINA: MUDATHIR ISSA YOYOTA


Alhamdulilah, kwa neema za Mwenyezi Mungu, ujenzi wa Msikiti wa Utengule unaendelea na sasa umefikia hatua hii. Safari b...
17/12/2025

Alhamdulilah, kwa neema za Mwenyezi Mungu, ujenzi wa Msikiti wa Utengule unaendelea na sasa umefikia hatua hii. Safari bado inaendelea.

CHANGIA KUPITIA NAMBA:
M-PESA 0769 756 490
YAS | MIX 0715 868 990
HALOPESA 0619 115 190
JINA: MUDATHIR ISSA YOYOTA

17/12/2025

Je, imani uliyonayo kwa wanadamu ni sawa na imani uliyo nayo kwa Allah SWT?. swali hili kila mtu anapawa kujiuliza (kuiuliza nafsi yake)

tukumbuke kuwa kila kitu tunachotoa kwa njia ya kheri hakipotei. kila sadaka, hata ndogo kuliko chembe ya mchanga, inaandikwa na mola na inatujengea makazi bora ya milele. tukiunga mkono uwekaji wa alama isiyofutika kijiji cha utengule-iringa, tunashiriki katika kuitukuza neema ya allah iliyoijionyesha dhwahiri. huu ni mwaliko kwa kila mwenye moyo mweupe kuweka alama katika akhera yake.

CHANGIA KUPITIA NAMBA:
M-PESA 0769 756 490
YAS | MIX 0715 868 990
HALOPESA 0619 115 190
JINA: MUDATHIR ISSA YOYOTA

16/12/2025

MASHAALLAH KUNA RAHA BINTI KUSOMA QURAN KWA NAMNA HII.

tukumbuke kuwa kila kitu tunachotoa kwa njia ya kheri hakipotei. kila sadaka, hata ndogo kuliko chembe ya mchanga, inaandikwa na mola na inatujengea makazi bora ya milele. tukiunga mkono uwekaji wa alama isiyofutika kijiji cha utengule-iringa, tunashiriki katika kuitukuza neema ya allah iliyoijionyesha dhwahiri. huu ni mwaliko kwa kila mwenye moyo mweupe kuweka alama katika akhera yake.

CHANGIA KUPITIA NAMBA:
M-PESA 0769 756 490
YAS | MIX 0715 868 990
HALOPESA 0619 115 190
JINA: MUDATHIR ISSA YOYOTA

Huyu ni Shaykh Ni’matullah Ibrahim Khalil — mmoja wa watu wa kipekee zaidi ambao utawahi kusikia habari zao. Kupitia juh...
16/12/2025

Huyu ni Shaykh Ni’matullah Ibrahim Khalil — mmoja wa watu wa kipekee zaidi ambao utawahi kusikia habari zao. Kupitia juhudi zake, maelfu ya watu waliingia katika Uislamu.

Alitumia miongo kadhaa akisafiri duniani kote kwa ajili ya Allah, akitembelea nchi 55, kuanzia China hadi Japan, ambako nyoyo nyingi zilipokea haki kupitia yeye.

Alisaidia kujenga misikiti, akaeneza ujumbe wa Uislamu, na akasambaza zaidi ya nakala 200,000 za Qur’an Tukufu.
Ni uso wenye nuru, na ni maisha mazuri yaliyowekwa wakfu kikamilifu kwa ajili ya Allah.

Allah atujaalie nasi tuweze kuutumikia Uislamu kwa ikhlasi na uaminifu k**a wake. Aamiin.

tukumbuke kuwa kila kitu tunachotoa kwa njia ya kheri hakipotei. kila sadaka, hata ndogo kuliko chembe ya mchanga, inaandikwa na mola na inatujengea makazi bora ya milele. tukiunga mkono uwekaji wa alama isiyofutika kijiji cha utengule-iringa, tunashiriki katika kuitukuza neema ya allah iliyoijionyesha dhwahiri. huu ni mwaliko kwa kila mwenye moyo mweupe kuweka alama katika akhera yake.

CHANGIA KUPITIA NAMBA:
M-PESA 0769 756 490
YAS | MIX 0715 868 990
HALOPESA 0619 115 190
JINA: MUDATHIR ISSA YOYOTA

Nchi 10 Zenye Misikiti Mingi Zaidi Duniani1️⃣ Indonesia 🇮🇩➡️ Misikiti zaidi ya 800,000Indonesia ina idadi kubwa zaidi ya...
16/12/2025

Nchi 10 Zenye Misikiti Mingi Zaidi Duniani

1️⃣ Indonesia 🇮🇩
➡️ Misikiti zaidi ya 800,000
Indonesia ina idadi kubwa zaidi ya Waislamu duniani.
2️⃣ India 🇮🇳
➡️ Misikiti zaidi ya 300,000
Licha ya kutokuwa nchi ya Waislamu wengi, ina misikiti mingi sana.
3️⃣ Bangladesh 🇧🇩
➡️ Takribani 150,000 – 350,000
Misikiti ipo karibu kila kijiji na mtaa.
4️⃣ Saudi Arabia 🇸🇦
➡️ Zaidi ya 300,000
Nchi ya Haram Mbili Tukufu: Masjid al-Haram na Masjid an-Nabawi.
5️⃣ Pakistan 🇵🇰
➡️ Zaidi ya 100,000
Misikiti mingi ya kijamii mijini na vijijini.
6️⃣ Misri (Egypt) 🇪🇬
➡️ Takribani 150,000
Ina historia ndefu ya Uislamu na misikiti ya kale.
7️⃣ Uturuki (Turkey) 🇹🇷
➡️ Kati ya 40,000 – 85,000
Maarufu kwa misikiti ya Ottoman k**a Blue Mosque.
8️⃣ Iran 🇮🇷
➡️ Takribani 55,000 – 80,000
9️⃣ Nigeria 🇳🇬
➡️ Takribani 70,000 – 80,000+
Ina idadi kubwa ya Waislamu barani Afrika.
🔟 Sudan 🇸🇩
➡️ Takribani 70,000 – 80,000
Uislamu umeenea sana nchini humo.
tukumbuke kuwa kila kitu tunachotoa kwa njia ya kheri hakipotei. kila sadaka, hata ndogo kuliko chembe ya mchanga, inaandikwa na mola na inatujengea makazi bora ya milele. tukiunga mkono uwekaji wa alama isiyofutika kijiji cha utengule-iringa, tunashiriki katika kuitukuza neema ya allah iliyoijionyesha dhwahiri. huu ni mwaliko kwa kila mwenye moyo mweupe kuweka alama katika akhera yake.

CHANGIA KUPITIA NAMBA:
M-PESA 0769 756 490
YAS | MIX 0715 868 990
HALOPESA 0619 115 190
JINA: MUDATHIR ISSA YOYOTA


Address

Miyomboni
Iringa

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Islamic Swahili NET posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category