28/10/2025
SOMA DHIKRI HIZI BAADA YA KUMALIZA KUTAWADHA
ุฃูุดูููุฏู ุฃููู ููุง ุฅูููฐูู ุฅููููุง ุงููููุ ููุญูุฏููู ููุง ุดูุฑูููู ููููุ ููุฃูุดูููุฏู ุฃูููู ู
ูุญูู
ููุฏูุง ุนูุจูุฏููู ููุฑูุณูููููู
ุงููููููู
ูู ุงุฌูุนูููููู ู
ููู ุงูุชูููููุงุจููููุ ููุงุฌูุนูููููู ู
ููู ุงููู
ูุชูุทููููุฑูููู
Maana kwa Kiswahili:
"Nashuhudia kuwa hakuna Mola wa haki isipokuwa Allah, Yeye hana mshirika. Na nashuhudia kwamba Muhammad ni mja wake na Mtume wake.
Ewe Mola wangu, nifanye miongoni mwa wenye kutubu, na unifanye miongoni mwa wanaojitakasa."
Kwa updates zaidi za Habari, Mawaidha , Quran na Dua Tufollow sasa