Flowin vitus

Flowin vitus Journalist, Newswriter &Reporter, RedioPresenter &GraphicDesigner, DigitalContentCreator

NBC Premiere League Tanzania (KMC Complex)HT. Young Africans 1️⃣-0️⃣Mtibwa Sugar⚽️Mohamed Hussein 38'
28/10/2025

NBC Premiere League Tanzania
(KMC Complex)

HT. Young Africans 1️⃣-0️⃣Mtibwa Sugar
⚽️Mohamed Hussein 38'

28/10/2025

Kwahiyo huu mzunguko umeisha kwa Hiyo Buku tu.........??

Taarifa Kwa Umma Kutoka Bodi ya Ligi (TPLB)............👇👇👇
28/10/2025

Taarifa Kwa Umma Kutoka Bodi ya Ligi (TPLB)............👇👇👇

27/10/2025

Sina shaka na mahudhurio ya vikao Apewe cheo maana huu uwakilishi hauna kifani..............

27/10/2025

Muda wa muujiza bwana yesu asifiwe...........

,

Kwani Huyu ni nani......??
27/10/2025

Kwani Huyu ni nani......??

Real Madrid C.F. imefanikiwa kuondoka na alama tatu muhimu hii leo mbele ya Barcelona baada ya michezo mitano ya mwisho ...
26/10/2025

Real Madrid C.F. imefanikiwa kuondoka na alama tatu muhimu hii leo mbele ya Barcelona baada ya michezo mitano ya mwisho waliyokutana kupokea vichapo huku kuruhusu magoli 18 huku wao wakifunga magoli 8 tu.

Kufuatia ushindi huo klabu hiyo inazidi kuwaweka Kileleni mwa La Liga wakiwa na alama 27 huku wapinzani wao Barcelona wakiwa na alama 22 ikiwa ni tofauti ya alama 5.

FT: Real Madrid 2-1 Barcelona
22’ Mbappe K.
38’ Lopez F.
43’ Bellingham J.

,

26/10/2025

Kwenye kula Huyu atafutiwe chumba kwa Heshima ya Upambanaji.......

,,

Kwa haya Matokeo Kwa timu za Tanzania Hatua ya makundi timu gani unaiona mbali tofauti na nyingine??NSINGIZIN HOTSPURS 0...
26/10/2025

Kwa haya Matokeo Kwa timu za Tanzania Hatua ya makundi timu gani unaiona mbali tofauti na nyingine??

NSINGIZIN HOTSPURS 0️⃣-3️⃣ SIMBA SC
SIMBA SC 0️⃣-0️⃣ NSINGIZINI HOTSPURS
(Agg 3-0)

SILVER STRIKERS 1️⃣-0️⃣YANGA SC
YANGA SC 2️⃣-0️⃣SILVER STRIKERS (Agg 2-1)

KMKM 2️⃣-0️⃣AZAM FC
AZAM FC7️⃣-0️⃣ KMKM (Agg 9-0)

FLAMBEU FC1️⃣-1️⃣ SINGIDA BS
SINGIDA BS 3️⃣-1️⃣ FLAMBEU FC (Agg 4-2)

Natumai hiki kikao unakifahamu Ajenda yake ni ipi.....??,,
25/10/2025

Natumai hiki kikao unakifahamu Ajenda yake ni ipi.....??

,,

Ila Rehema mambo yake bhaana..........
24/10/2025

Ila Rehema mambo yake bhaana..........

Matajiri Azam FC wamefanikiwa kitinga Hatua ya makundi katika michuano ya Kombe la shirikisho Barani Afrika CAF Kwa ushi...
24/10/2025

Matajiri Azam FC wamefanikiwa kitinga Hatua ya makundi katika michuano ya Kombe la shirikisho Barani Afrika CAF Kwa ushindi wa Mabao 7-0 katika mchezo wake wa nyumbani.

Ushidi huo unaifanya Azam FC kuingia hatua ya makundi kwa magoli au Agg 9-0 na kuwa ndio timu ambayo imeingia hatua hiyo bila kuruhusu bao na kufunga magoli mengi katika mechi za mzunguko wa pili

FT. AZAM FC 7️⃣-0️⃣ KMKM FC.
⚽️⚽️ Iddi Nado
⚽️⚽️Japhte Kitambala
⚽️⚽️ Sopu
⚽️ Msindo

AGG 9️⃣


Address

Iringa

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Flowin vitus posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share