Adily News

Adily News Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Adily News, Media/News Company, Kahama.

28/05/2025

Rais wa Zimbabwe, Emmerson Mnangagwa ametia saini mswada wa sheria unaowataka madereva wote wa magari nchini humo kulipia ushuru wa kusikiliza redio kabla magari yao hayajapewa bima ya magari.

Kulingana na sheria hiyo mpya ya ushuru, madereva watatakiwa kulipia kiasi cha Dola 92 za
Kimarekani kila mwaka ili kusikiliza redio kwenye
magari yao.

18/04/2025

HOJA ZISIZO MAANA KUTOKA KWA WASIOJITAMBUA.

Yani mtu anashangaa Mzabuni kuweka Pesa Kubwa kumzidi Mwekezaji?

Mtu huyu ina maana hajui kwamba kadri miaka inavyoenda Thamani ya Simba SC inakua?

MO Dewji kaingia Simba 2017, Simba ile ambayo haikuwepo hata 50 bora Afrika ni sawa na hii ambayo ipo nafasi ya 4 Afrika?

Sio Mwekezaji tu, Mzabuni kamzidi mpaka Mdhamini mkuu wa Klabu (MBET) na mwisho wa msimu anaingia mwingine hapo bado mtasema hela zinazowekwa ni Propaganda na sisi ndo hao tunajitofautisha na wengine kwa vitendo
Bilionea Mohammed Ghulam Dewji kwetu ni shujaa wa kweli, Alithubutu kuwekeza Simba wakati ambao hakuna mtu aliamini k**a kuna faida.

Ukiangalia watu wanaojadili sana mkataba WETU wao hawana hata mkataba wenye nusu ya thamani hii... Hawana hata wa bilion 19

18/04/2025

MKURUGENZI Mtendaji wa Kampuni ya Amson Group, Edha Nahdi, amekutana na Rais wa Kenya, William Ruto Ikulu Jijini Nairobi kwa ajili ya mazungumzo kuhusu uwekezaji mkubwa wa upanuzi wa kiwanda cha saruji cha Bamburi kwa awamu ya pili ambao una thamani ya Dola za Marekani milioni 380 (Zaidi ya Sh960 bilioni).

Nahdi (37) amenunua Kampuni ya Bamburi Cement kwa thamani ya Sh500 bilioni (Dola za Marekani milioni 182), hatua iliyoandika rekodi kuwa uwekezaji mkubwa zaidi kufanywa na Mtanzania nje ya nchi.

“Amson Group imeonesha nia ya kuwekeza pia nchini Uganda, baada ya Bamburi Cement kukamilisha uuzaji wa hisa zake asilimia 70 katika kampuni tanzu ya Hima Cement kwa kampuni za Sarrai Group na Rwimi Holding, kwa thamani ya takribani Dola za Marekani milioni 84 (Sh214 bilioni) Machi 2024,”—amesema Nahdi baada ya mazungumzo hayo.

Wap mwiguluWap MoWap Kitila
22/01/2025

Wap mwigulu
Wap Mo
Wap Kitila

Moshi mweupe unaonekana kufuka kutokea Singida Tanzania

KM Bora Zaidi toka Tanganyika IJITAWALE🌹🌹🌹🌹
22/01/2025

KM Bora Zaidi toka Tanganyika IJITAWALE🌹🌹🌹🌹

Mwenyekiti mpya wa Chadema, Tundu Lissu amempendekeza kwa Baraza Kuu la chama hicho, John Mnyika aendelee kuwa Katibu Mkuu.

Baraza Kuu hilo limekutana leo Jumatano, Januari 22, 2025 katika Kikao kinachofanyika ukumbi wa Mlimani City jini Dar es Salaam.

Mambo NI MENGI
22/01/2025

Mambo NI MENGI

Mtu ana miaka 68, amechoka, anataka kustaafu. Lakin chama hicho hicho, kijana wa miaka 80, comrade Steven Wassira, kachukua mikoba ya u-makamu mwenyekiti. Kuna mambo yanashangaza nyakati hizi. 🤔

HECHE Kwa Kura ndie m/kiti🤣🤣🤣🤣
22/01/2025

HECHE Kwa Kura ndie m/kiti🤣🤣🤣🤣

JOHN Heche ametangazwa kuwa mshindi wa nafasi ya makamu mwenyekiti chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) bara akipata kura 577 akiwashinda wapinzani wake Ezekia Wenje aliyepata kura 372 na Mathayo Gekul aliyepata kura 49 tu.

07/04/2023
🏹
28/09/2022

🏹

Address

Kahama

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Adily News posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share