Darajani 1905

Darajani 1905 Darajani 1905 ni ukurasa unaokuletea habari za Chelsea kwa lugha ya kiswahili. https://linktr.ee/darajani1905
(3)

Darajani 1905 ni ukurasa unaokuletea habari kwa ufupi kuhusu kinachoendelea klabuni Chelsea na wachezaji wake.

Estevao Willian amepelekewa tuzo yake ya nyota wa mchezo mara baada ya kufunga magoli mawili kwenye mechi ya kirafiki dh...
12/10/2025

Estevao Willian amepelekewa tuzo yake ya nyota wa mchezo mara baada ya kufunga magoli mawili kwenye mechi ya kirafiki dhidi ya Korea Kusini. Amefunga magoli mengi kuliko mchezaji yeyote chini ya kocha Carlo Ancelotti.

Maisha ya soka....miaka 13 imepita!
12/10/2025

Maisha ya soka....miaka 13 imepita!

"Tulikuwa na mechi nzuri, ilikuwa mechi ya kiwango cha juu, kila mtu alisema PSG atachukua ubingwa. Tuliifunga timu amba...
12/10/2025

"Tulikuwa na mechi nzuri, ilikuwa mechi ya kiwango cha juu, kila mtu alisema PSG atachukua ubingwa. Tuliifunga timu ambayo kwasasa ndiyo timu bora. Lakini hiyo hainifanyi kwamba niwe nafanya kazi huku nikiuwazia ubingwa wa dunia."

"Tulicheza mechi saba za tofauti. Tulijaribu kufanya mabadiliko na kujaribu kuwashangaza wapinzani na mambo yakaenda vizuri. Kulikuwa na majeruhi wengi lakini thamani imeonekana. Kombe letu ni zuri japo ni zito."
- amesema kocha Enzo Maresca

Kwahiyo kumbe hawa wazee waliamua kutuchoresha na kutukumbusha ugomvi wao? Kumbe nje ya uwanja ni wana tu🤣🤣🤣🤣
12/10/2025

Kwahiyo kumbe hawa wazee waliamua kutuchoresha na kutukumbusha ugomvi wao? Kumbe nje ya uwanja ni wana tu🤣🤣🤣🤣

Kwa mujibu wa taarifa, nyota wa Chelsea, Enzo Fernandez amepata majeraha ya goti akiwa na timu yake ya taifa ya Argentin...
11/10/2025

Kwa mujibu wa taarifa, nyota wa Chelsea, Enzo Fernandez amepata majeraha ya goti akiwa na timu yake ya taifa ya Argentina na sasa ameanza safari ya kurejea Chelsea ili madaktari wa klabu wamfanyie uchunguzi wa kitabibu.

Mechi imeisha bana!Wazee wetu wamefungwa 1-0Mechi imechezwa dakika 80, yani 40 kipindi cha kwanza na 40 kipindi cha pili...
11/10/2025

Mechi imeisha bana!
Wazee wetu wamefungwa 1-0
Mechi imechezwa dakika 80, yani 40 kipindi cha kwanza na 40 kipindi cha pili
Goli la Liverpool limefungwa na Ryan Babel, yule niliyewai kusimulia nilikuwa namuogopa sana enzi zile!

Garden of Eden💙
11/10/2025

Garden of Eden💙

Ila hawa wazee....kwahiyo Joe Cole na Eden Hazard wamegoma kuachiana namba🤣🤣🤣🤣
11/10/2025

Ila hawa wazee....kwahiyo Joe Cole na Eden Hazard wamegoma kuachiana namba🤣🤣🤣🤣

Ila maisha bana🤣🤣🤣
11/10/2025

Ila maisha bana🤣🤣🤣

Ugomvi wa Diego Costa na Skrtel unaendelea mpaka leo wamezeeka....alianza Skrtel kumchezea rafu Diego Costa, ak**aindi i...
11/10/2025

Ugomvi wa Diego Costa na Skrtel unaendelea mpaka leo wamezeeka....alianza Skrtel kumchezea rafu Diego Costa, ak**aindi ila akamicha, baada ya dakika mbili, Diego Costa akarudisha kisasi, kamchezea rafu Skrtel akaonyeshwa kadi ya njano🤣🤣🤣🤣

Ila maisha bana, angalia ndambi hilo🤣🤣🤣🤣
11/10/2025

Ila maisha bana, angalia ndambi hilo🤣🤣🤣🤣

Hata k**a wewe ni beki, jitu linakuja k**a hivi...huogopi?🤣🤣🤣🤣
11/10/2025

Hata k**a wewe ni beki, jitu linakuja k**a hivi...huogopi?🤣🤣🤣🤣

Address

Kahama

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Darajani 1905 posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Darajani 1905:

Share