10/08/2025
Ukiendelea Kuuza Kwa Staili Hii, Biashara Yako Itaendelea Kulala…
Kuna kitu kimoja kimekuwa kikiharibu NDOTO za wafanyabiashara wengi…
Na...
Kikibaki bila kutatuliwa, unaweza kutumia miaka mingi kufanya kazi ngumu LAKINI ukaishia kuona biashara yako bado ipo pale pale.
Na...
Kitu hiki hakina uhusiano wa moja kwa moja na bidhaa yako…
Wala bei yako…
Wala idadi ya watu unaowafikia kwenye mitandao...
Lakini...
Kinauwezo wa KUUA biashara yenye bidhaa nzuri kabisa kimya kimya.
Najua....
Hisia unazopitia sasa hivi,
..Kila mwezi unaweka nguvu nyingi kwenye matangazo, LAKINI majibu unayopata hayalipi hata gharama.
..Wateja unaowapata ni WACHACHE mno, wengine wanapotea bila sababu.
..Na mara nyingi, unajikuta unauza kwa “huruma” ya mteja badala ya MPANGO wako wa mauzo.
Hii...
Ndiyo hali ninayokutana nayo kila siku ninapowasiliana na wafanyabiashara wanaonipa maombi ya msaada.
Na...
Ndio maana nimeamua kuja na MFUMO rahisi, wa hatua kwa hatua...
Utakaokuonyesha jinsi ya kuamsha MAUZO yaliyolala hata k**a huna bajeti kubwa ya matangazo.
Kwa...
—> Kuongeza mauzo yako bila kuongeza hata shilingi moja kwenye BAJETI ya matangazo.
—> Kufikia wateja wapya kila wiki kwa kutumia MBINU rahisi lakini zenye nguvu.
—> Kupata MFUMO unaojirudia unaoweza kukuletea matokeo kila mwezi.
—> Kujua hatua ya kwanza ya kuamsha biashara iliyokwama ili uanze kupata MATOKEO ndani ya siku chache.
Na...
Nina nafasi kwa wafanyabiashara `50` tu, kwa leo...Ambao wako tayari kuacha KUUZA “k**a wengine” na kuanza kuuza kwa mfumo unaofanya kazi kweli...!
Hivo...
Tuma neno ...AMSHA.. inbox sasa hivi ili nikushike mkono tuanze safari ya kuamsha mauzo yako kabla mwezi huu haujaisha.
P.S:
Usisubiri hadi mwezi mwingine kuanza kulalamika kuwa “mauzo yako hayana mabadiliko.”
..Jaribu njia hii sasa, kisha uniambie matokeo baada ya siku 14.
Na...
Ninakupa hakikisho, ukiutumia mfumo huu kwa usahihi, utashangaa ni kwa nini haukuujua mapema.
Na...
Tukutane, inbox
You feel me?
— Msirikale
0679544671