TabasamuLetu Hub

TabasamuLetu Hub ☆Self & Purpose Discovery
☆Content Creation
☆Sales & Copywriting Skills
☆Storytelling Skills

Founder Tabasamu Letu Hub Clinic

Acha Kupoteza Muda Mjasiriamali Jiunge na Kampeni Yetu ya MAUZO BILA KIKOMO DAILY Uanze kuongeza kasi ya mauzo yako leo ...
21/08/2025

Acha Kupoteza Muda Mjasiriamali
Jiunge na Kampeni Yetu ya MAUZO BILA KIKOMO DAILY
Uanze kuongeza kasi ya mauzo yako leo

Ni DM sasa "MAUZO"

Kila siku unayoacha kupita bila mfumo sahihi, ni siku moja unayompotezea mteja wako kwa mtu mwingine.Je, utaendelea kuta...
17/08/2025

Kila siku unayoacha kupita bila mfumo sahihi, ni siku moja unayompotezea mteja wako kwa mtu mwingine.
Je, utaendelea kutazama wengine wakivuna huku wewe unatazama?
Jiunge leo, na anza safari ya mauzo bila kikomo.

Sababu 7 unazopoteza wateja bila kujuaWateja wako hawakutoroka, uliwafukuza… bila kujua. Haya Makosa 7:..Soma Jifunze na...
12/08/2025

Sababu 7 unazopoteza wateja bila kujua

Wateja wako hawakutoroka, uliwafukuza… bila kujua.

Haya Makosa 7:
..Soma Jifunze na Chukua Hatua Leo.

Niandikie kwenye Comment ni Sababu gani umeshawahi kuifanya, ili mwingine ajifunze

Hatua za Kugeuza Followers kuwa WatejaFollowers Wako Wanaweza Kukulipa... Ukiwajua vizuriUko tayari kugeuza likes kuwa m...
12/08/2025

Hatua za Kugeuza Followers kuwa Wateja

Followers Wako Wanaweza Kukulipa... Ukiwajua vizuri

Uko tayari kugeuza likes kuwa mauzo?

Ni DM WhatsApp sasa hivi, nikupe mwongozo wa bure.
https://wa.me/255679544671

Ukiendelea Kuuza Kwa Staili Hii, Biashara Yako Itaendelea Kulala…Kuna kitu kimoja kimekuwa kikiharibu NDOTO za wafanyabi...
10/08/2025

Ukiendelea Kuuza Kwa Staili Hii, Biashara Yako Itaendelea Kulala…

Kuna kitu kimoja kimekuwa kikiharibu NDOTO za wafanyabiashara wengi…

Na...
Kikibaki bila kutatuliwa, unaweza kutumia miaka mingi kufanya kazi ngumu LAKINI ukaishia kuona biashara yako bado ipo pale pale.

Na...
Kitu hiki hakina uhusiano wa moja kwa moja na bidhaa yako…
Wala bei yako…
Wala idadi ya watu unaowafikia kwenye mitandao...

Lakini...
Kinauwezo wa KUUA biashara yenye bidhaa nzuri kabisa kimya kimya.

Najua....
Hisia unazopitia sasa hivi,
..Kila mwezi unaweka nguvu nyingi kwenye matangazo, LAKINI majibu unayopata hayalipi hata gharama.
..Wateja unaowapata ni WACHACHE mno, wengine wanapotea bila sababu.
..Na mara nyingi, unajikuta unauza kwa “huruma” ya mteja badala ya MPANGO wako wa mauzo.

Hii...
Ndiyo hali ninayokutana nayo kila siku ninapowasiliana na wafanyabiashara wanaonipa maombi ya msaada.

Na...
Ndio maana nimeamua kuja na MFUMO rahisi, wa hatua kwa hatua...

Utakaokuonyesha jinsi ya kuamsha MAUZO yaliyolala hata k**a huna bajeti kubwa ya matangazo.

Kwa...
—> Kuongeza mauzo yako bila kuongeza hata shilingi moja kwenye BAJETI ya matangazo.

—> Kufikia wateja wapya kila wiki kwa kutumia MBINU rahisi lakini zenye nguvu.

—> Kupata MFUMO unaojirudia unaoweza kukuletea matokeo kila mwezi.

—> Kujua hatua ya kwanza ya kuamsha biashara iliyokwama ili uanze kupata MATOKEO ndani ya siku chache.

Na...

Nina nafasi kwa wafanyabiashara `50` tu, kwa leo...Ambao wako tayari kuacha KUUZA “k**a wengine” na kuanza kuuza kwa mfumo unaofanya kazi kweli...!

Hivo...
Tuma neno ...AMSHA.. inbox sasa hivi ili nikushike mkono tuanze safari ya kuamsha mauzo yako kabla mwezi huu haujaisha.

P.S:
Usisubiri hadi mwezi mwingine kuanza kulalamika kuwa “mauzo yako hayana mabadiliko.”
..Jaribu njia hii sasa, kisha uniambie matokeo baada ya siku 14.

Na...
Ninakupa hakikisho, ukiutumia mfumo huu kwa usahihi, utashangaa ni kwa nini haukuujua mapema.

Na...
Tukutane, inbox

You feel me?

— Msirikale
0679544671

KWANINI NILIJIFUNZA COPYWRITING...?Siku zote nilikuwa na bidii, bidhaa, na ndoto.Lakini nilikosa lugha sahihi ya kuziuza...
12/07/2025

KWANINI NILIJIFUNZA COPYWRITING...?

Siku zote nilikuwa na bidii, bidhaa, na ndoto.
Lakini nilikosa lugha sahihi ya kuziuza.
Nilikuwa nikipost status lakini hakuna kilichouzwa.
Nikaamua kujifunza Copywriting sanaa ya kuuza kwa maneno.

Baada ya muda, nikamfundisha rafiki yangu wa karibu, Dr. Charles.
Mtaalamu wa afya ya uzazi kwa mwanaume.

Miaka 2 baada ya kumfundisha...
Leo hii anaitumia WhatsApp k**a ATM na Ofisi ya kuuza virutubisho.

Screenshot ya mauzo ya mwezi mmoja imenishtua mimi mwenyewe.
Nilijua Nilikuwa kwenye njia sahihi.

👇🏼
Naandika haya si kukuonesha mafanikio yake,
bali kukukumbusha kuwa...
WhatsApp yako ni zaidi ya status za picha ni duka linalosubiri kufunguliwa.

Unataka kuigeuza kuwa mashine ya mauzo ya kila siku?

Tuma neno "NITALIPA" DM au WhatsApp
👉 0679544671
Ujiunge na SEASON 03 ya mafunzo.
Nafasi ni 30 tu za mwanzo.

Usikae pembeni ukiona wengine wanauza kila siku kupitia WhatsApp yako hiyo hiyo.

Address

Kahama
0000

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when TabasamuLetu Hub posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share