TabasamuLetu Hub

TabasamuLetu Hub Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from TabasamuLetu Hub, Digital creator, Kahama.

Huduma zetu:
•Kuuza malighafi za ujasiriamali
•Kutoa mafunzo ya ujasiriamali
•Kusaidia wajasiriamali kujiajiri
•Kusimamia wajasiriamali (mentorship)
•Kuuza bidhaa za sabuni na usafi

Ubungo Dar es Salaam

Wasiliana nasi:
WhatsApp: wa.me/255776287976

09/09/2026
Mzigo upo tayari rafiki wa ukuta wangu.Jumla na rejareja huduma inatolewa.Ni kwa Tshs.5,000 kwa kila kipande.Ni kwa tshs...
09/09/2026

Mzigo upo tayari rafiki wa ukuta wangu.

Jumla na rejareja huduma inatolewa.

Ni kwa Tshs.5,000 kwa kila kipande.

Ni kwa tshs.4,000 kwa jumla

Na delivery ina fanyika bure kwa maeneo jirani na Dar es Salaam (kwa wale wateja wa manunuzi ya jumla)

Weka oda yako sasa: 0679 544 671

07/09/2026

WATU WAKO HAWAKOSI HAMU YA KUJIAJIRI.
WANAKOSA MFUMO WA KUANZIA.

K**a wewe ni kiongozi wa kanisa, kikundi, taasisi, SACCOS, youth group au women's group, jiulize;

Ni watu wangapi unaowaongoza wana ndoto ya kujiajiri, lakini bado hawajui waanzie wapi?

Wana mawazo.
Wana nguvu.
Wengine wana mtaji mdogo.

Lakini bado wanasema;

“Sijui nianzie wapi.”

Na wengine wamehudhuria semina nyingi, wakaandika notes nyingi, lakini bado hawajawahi kugeuza maarifa hayo kuwa biashara.

HATUTAKI SEMINA NYINGINE YA KUANDIKA NOTES.

Tunataka kuwasaidia watu wako kujifunza ujuzi, kuona fursa na kujenga mfumo wa kuanza.

Ndiyo maana tunaendesha;

PRACTICAL ENTREPRENEURSHIP SEMINAR

Kwa vikundi, makanisa na taasisi zinazotaka kuwajengea watu wao uwezo wa kujiajiri kupitia uzalishaji wa bidhaa zinazohitajika sokoni.

SABUNI | CLEANERS | SKINCARE PRODUCTS

Lakini hatufundishi kutengeneza bidhaa pekee.

Tunafundisha mfumo mzima;

UZALISHAJI → MTAJI HALISI → PACKAGING → BRANDING → MARKETING → SALES

Mshiriki anatakiwa asiishie kusema;

“Nimejifunza kutengeneza sabuni.”

Bali aondoke akijua;

Ninazalisha nini?
Ninamlenga nani?
Gharama yangu ni kiasi gani?
Nauza kwa bei gani?
Nitawapataje wateja?
Na nitafanyaje mauzo yaendelee?

HAPO NDIPO MAFUNZO YANAPOGUSA BIASHARA HALISI.

K**a unaongoza watu wanaotaka kujiajiri, kuongeza kipato au kuanzisha biashara, usiwape hamasa pekee.

Wape UJUZI + DIRECTION + MFUMO WA KUANZA.

Tunakuja kwenye:

Makanisa | Vikundi | SACCOS | Taasisi | NGOs | Youth Groups | Women's Groups | Vyama

UNATAKA SEMINA IJE KWENYE KIKUNDI AU TAASISI YAKO?

Usitume “Hi”.

Bonyeza hapa na ututumie ujumbe tayari:

OMBA SEMINA KWA KIKUNDI/TAASISI YAKO

https://wa.me/255679544671?text=Nahitaji%20Semina%20ya%20Ujasiriamali

Kiongozi mzuri haishii kuwaambia watu wake “tafuteni fursa.”

Anawasaidia wajenge uwezo wa KUZITENGENEZA FURSA.

18/08/2026

MUNGU NI MWEMA...

Matendo yake mema kwetu hayahesabiki.

Kwa hakika, kila siku anaendelea kutenda katika mapenzi yake, na kila tunapopata nafasi ya kutazama nyuma, tunagundua kuwa tumefika hapa kwa neema tu.

Kila wakati, usisahau kumshukuru Mungu kwa matendo yake makuu katika maisha yako.

Natumaini uko mzima wa siha njema, rafiki yangu.

Leo ni 18 August.

Na kwa muda mrefu sasa umekuwa sehemu ya familia ya TabasamuLetu Hub.

Huenda tayari unajua namna ya kutengeneza na kuzalisha bidhaa.

Au labda bado uko kwenye hatua ya kujifunza, ukiwa na ndoto ya siku moja kumiliki uzalishaji wako mwenyewe.

•Uzalisha.
•Unauza.
•Unajenga mfumo wa mauzo.

Na hatimaye, unajenga chanzo cha kipato kinachoweza kukua.

Hilo si tatizo.

Kwa sababu kuna jambo ambalo nimeamua kulifanya SEPTEMBA hii.

SADAKA YANGU YA SHUKRANI.

Nimewiwa kugusa maisha ya watu mbalimbali kupitia maarifa niliyonayo kwa kutoa mafunzo BURE–BILA ADA YA MWALIMU.

Na sitaki yafike kwa mtu mmoja tu.

Nataka kuwafikia:

Kanisa | Taasisi | Kikundi | Shule | Vijana | Wajasiriamali | Jamii mbalimbali

Na haijalishi uko Dar es Salaam au mkoa mwingine Tanzania.

Ikiwa kundi lako lina uhitaji wa kujifunza kuhusu utengenezaji wa bidhaa, tunaweza kuzungumza na kupanga namna ya kulifikia.

Lakini kuna jambo moja muhimu...

Haya siyo mafunzo ya kukaa tu na kusikiliza.

Nataka watu wajifunze, waone, waulize, washiriki na waondoke na ujuzi wanaoweza kuutumia.

Kwa hiyo, jukumu la washiriki litakuwa kugharamia malighafi na vifaa vitakavyohitajika kwa uzalishaji wa darasani.

Mafunzo yangu?

BURE.

Hii ni sehemu yangu ya kutoa shukrani.

Na huenda Septemba hii ikawa mwezi ambao kundi lenu litaanza kuona fursa ambayo lilikuwa haliijui.

Kwa hiyo k**a wewe ni:

Mratibu wa kikundi...

Kiongozi wa taasisi...

Mwalimu...

Kiongozi wa kanisa...

Au una kundi la watu wanaotaka kujifunza...

Hebu tuzungumze.

Usisubiri Septemba ifike ndipo uanze kutafuta nafasi.

Nitumie ujumbe leo kupitia:

+255 679 544 671

Niambie tu:

“TUNAHITAJI MAFUNZO.”

Kisha tutaangalia namna ya kuanza.

Maarifa yakikaa kichwani pekee hayabadilishi maisha.

Lakini yakitumika vizuri, yanaweza kuwa mwanzo wa mtu kujenga kitu chake mwenyewe.

Msirikale
TabasamuLetu Hub

08/08/2026

Jenga Kiwanda Nyumbani Mwako.

Malighafi | Vifaa | Ushauri | Mafunzo | Uzalishaji

Wasiliana nasi: 0679 544 671

TabasamuLetu Hub

🤝..............................

ONE ORDER, FOUR FAVORITES!Wakati mwingine mteja hataki kuchagua sabuni moja tu...Anataka kujaribu zaidi ya moja.Na hapo ...
07/08/2026

ONE ORDER, FOUR FAVORITES!

Wakati mwingine mteja hataki kuchagua sabuni moja tu...

Anataka kujaribu zaidi ya moja.

Na hapo ndipo Soap Bundle inapokuwa strategy nzuri ya kuongeza thamani ya oda huku ukimpa mteja nafasi ya ku-experience bidhaa zako tofauti kwa mara moja.

Hebu fikiria bundle hii ya TABASAMULETU HUB:

Aloe Vera Soap
Kwa experience ya usafi na freshness.

Kojic Papaya Soap
Moja ya chaguo linalovutia wapenzi wa skincare products.

Carrot Vitamin C Soap
Kwa anayependa bidhaa zenye mguso wa carrot na Vitamin C.

Activated Charcoal Soap
Kwa anayependa cleansing experience yenye charcoal.

Na hapa ndipo tunapoongeza kitu kingine muhimu...

PACKAGING.

Sabuni hazijawekwa tu kwenye box.

Kila bar imepangwa kwa umakini, ikiwa na shredded paper, TABASAMULETU HUB Thank-You Card, kisha kufungwa kwa muonekano unaotoa premium unboxing experience.

Kwa sababu mteja hanunui bidhaa pekee.

Mara nyingi hununua pia experience.

Na k**a wewe ni soap maker, hii ni point muhimu sana:

Usifikirie kila mara jinsi ya kuuza bar moja.

Fikiria pia...

Unawezaje kumfanya mteja anunue zaidi kwa oda moja?

Hapo unaweza kutumia;

Bundle Offers.

Gift Boxes.

Product Combinations.

Special Packages.

Na Packaging inayofanya bidhaa ionekane yenye thamani zaidi.

Kwa mfano, badala ya mteja kuondoka na soap moja...

Anaweza kuondoka na bundle ya soaps nne na kupata experience tofauti kwa wakati mmoja.

Hii inaweza kukusaidia kuongeza average order value bila kulazimika kumlazimisha mteja.

Na kwa mteja anayehitaji zawadi?

Unamrahisishia zaidi.

Sabuni Nne.
Box Moja.
Experience Moja Ya Kipekee.

Sasa niambie...

Kati Ya Hizi Sabuni Nne, Ungeanza Na Ipi?

Aloe Vera?
Kojic Papaya?
Carrot Vitamin C?
Active Brighter?
Au Activated Charcoal?

Na K**a Wewe Ni Soap Maker Unayetaka Kujifunza Zaidi Kuhusu Formulation, Packaging, Branding, Marketing Na Sales System, unaweza kuwasiliana na TabasamuLetu Hub.

0679 544 671 | TabasamuLetu Hub

Jenga Bidhaa.
Jenga Brand.
Jenga Soko.

Address

Kahama
0000

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when TabasamuLetu Hub posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share