13/06/2025
8/9
Mteja wako hayuko tu sokoni yuko pia ndani ya kichwa chako.
Unaposhindwa kuelewa mteja wako, unakuwa k**a mtu anayepiga simu bila kujua namba sahihi huwezi kufika popote.
Ndiyo maana biashara nyingi hazinunuliwi si kwa sababu hazihitajiki, bali kwa sababu hazizungumzi lugha ya mteja.
Je, unajua mtu unayemlenga..
-Ana matatizo gani hasa?
-Ana ndoto zipi?
-Anatumia lugha gani mitandaoni?
-Anasoma nini, anapenda nini, anaogopa nini?
-Ukijua haya, utaweza kuuza kwa kuandika maneno ambayo yanamvutia kiakili na kihisia.
Mfano halisi...
Badala ya kuandika;
“Nunua sabuni yetu yenye harufu nzuri.”
Andika..
“Kila unapooga, hisi k**a umeingia kwenye bustani ya maua safi. Harufu itakayokufanya usahau msongo wa siku nzima.”
Hii ni copywriting sanaa ya kuuza kwa maneno.
Na ndio taaluma ninayoitumia kuwasaidia wajasiriamali, waandishi, na biashara ndogondogo kuongea moja kwa moja na mioyo ya wateja wao.
Usitumie lugha ya kitaalamu kupita kiasi.
Tumia lugha ya kawaida yenye hisia k**a vile unaongea na rafiki anayetaka msaada.
👉🏾 Ukianza kuelewa mteja wako kiundani, utaandika caption fupi tu lakini zenye nguvu ya kuvuta hisia, kuongeza likes, DM, na hatimaye MAUZO.
Jiandae kwa post ya mwisho 9/9 nitakushirikisha mfumo wangu wa hatua 3 unaoweza kuongeza mauzo yako hata bila kuwa na followers wengi au bajeti kubwa ya matangazo.
SijKuacha mpweke katika hili, kwako unayehitaji kujifunza SIRI hii ya kuongeza value ya mauzo kwa fast,easy na uhakika mtandaoni basi hii ni nafasi kwa ajili yako.
Nitumie ujumbe dm kwangu, andika "NAHAITAJI"nikueleze hatua kwa hatua hii SIRI ya kipekee ili uboost sales yako.
Simi: 0679 544 671
✍🏽 TabasamuLetu Hub
| Copywriter & Digital Strategy Mentor|Author |Founder Tabasamu Letu Hub Clinic