Afya Darasa

Afya Darasa Pata Uchambuzi, Elimu Na Ufafanuzi Wa Maatukio Ya Soka Na Habari Za Michezo Alikiba Blood Fans

Kisukari cha Mimba ni nini?Ni aina ya kisukari kinachotokea kwa wanawake wakati wa ujauzito, hata k**a kabla hawakuwa na...
27/08/2025

Kisukari cha Mimba ni nini?

Ni aina ya kisukari kinachotokea kwa wanawake wakati wa ujauzito, hata k**a kabla hawakuwa na kisukari. Hutokea kwa sababu homoni za ujauzito huathiri namna mwili unavyotumia insulini na kufanya sukari kubaki nyingi kwenye damu.

Mara nyingi hakuna dalili wazi, lakini wakati mwingine mama mjamzito anaweza kupata:

*Kiu ya mara kwa mara

*Kukojoa mara nyingi zaidi ya kawaida

*Uchovu mwingi

*Kiwango cha sukari kubainika juu kwenye vipimo

Madhara yanayoweza kutokea kwa kwa mama Mjamzito mwenye kisukari na mtoto wake Tumboni ni k**a ifiatavyoπŸ‘‡

Mama: shinikizo la juu la damu, kujifungua kwa upasuaji (C-section), hatari ya kupata kisukari baadaye.

Mtoto: kuzaliwa mkubwa kupita kiasi, matatizo ya kupumua, sukari kushuka mara tu baada ya kuzaliwa

Namna ya kudhibiti

Kula chakula chenye uwiano mzuri (epuka sukari nyingi na vyakula vya mafuta kupita kiasi).

Fanya mazoezi mepesi ya mara kwa mara (k**a kutembea).

Kufanya vipimo vya sukari mara kwa mara k**a daktari alivyoshauri.

kwa maswali yeyote tufate DM tutakujibu haraka sana

1️⃣ Hedhi ni nini?Ni mchakato wa kawaida wa kibaolojia unaotokea kwa wanawake na wasichana walio balehe.Hutokea kila mwe...
27/08/2025

1️⃣ Hedhi ni nini?

Ni mchakato wa kawaida wa kibaolojia unaotokea kwa wanawake na wasichana walio balehe.

Hutokea kila mwezi pale ambapo yai halijachavushwa, hivyo ukuta wa mfuko wa mimba hutoka nje k**a damu.

Ni sehemu ya uzazi na afya ya mwanamke, si ugonjwa.

Umri wa kuanza na muda wa mzunguko

Mara nyingi huanza kati ya miaka 9 – 16.

Mzunguko wa kawaida ni kati ya 21 – 35 siku.

Hedhi yenyewe hudumu siku 3 – 7.

Dalili za kawaida kabla na wakati wa hedhi

Maumivu ya tumbo (cramps)

Kichwa kuuma, uchovu

Matiti kujaa/kuuma

Mabadiliko ya hisia (kukasirika, huzuni, n.k.)

---

4️⃣ Usafi wa hedhi

Tumia pedi, taulo za kitambaa safi au kikombe cha hedhi.

Badilisha pedi kila baada ya masaa 3–6 au unapohisi imejaa.

Osha mikono kabla na baada ya kubadilisha.

Epuka kutumia nguo chafu.

wakati wa hedhi
Kula vyakula vyenye madini ya chuma (k**a nyama, mboga za kijani, dengu).

Kunywa maji ya kutosha.

Fanya mazoezi mepesi (yanapunguza maumivu).

Epuka kahawa na vyakula vyenye chumvi nyingi.

πŸ™

Share post hii kwa Mabinti walio mashuleni na wanawake kwa ujumla wake na Sisi k**a tutafarijika kuona watu wengi wamepata Elimu hii ya Hedhi kwa wanawake

 Kufanya Mapenzi ( Tendo la NDOA ) husaidia kupunguza maambukizi Ya SARATANI ya  Tezi Dume (Prostate) kwa Wanaume: Sikia...
25/08/2025



Kufanya Mapenzi ( Tendo la NDOA ) husaidia kupunguza maambukizi Ya SARATANI ya Tezi Dume (Prostate) kwa Wanaume:

Sikia Na elewa kuwa Kufika kileleni kwa Mwanaume Yani kutoa Shahawa mara kwa mara kwa wanaume kunaweza kusaidia kupunguza hatari ya kupata saratani ya tezi dume.

Nb: ila usipige punyeto maana utakuwa unazalisha tatizo lingine ambalo litakufanya ujutie maishani

πŸ₯€ Mchanganyiko wa Asali, Tangawizi, Maziwa na Mdalasini kwa wenye matatizo Ya  Nguvu za KiumeChanganya Viambato vifuatav...
25/08/2025

πŸ₯€ Mchanganyiko wa Asali, Tangawizi, Maziwa na Mdalasini kwa wenye matatizo Ya Nguvu za Kiume

Changanya Viambato vifuatavyo:

Kijiko 1 cha asali safi

Kijiko 1 cha tangawizi mbichi iliyosagwa (au unga wa tangawizi nusu kijiko)

Robo kijiko cha mdalasini (powder)

Maziwa ya moto kikombe 1 (au maji ya moto kidogo ikiwa hupendi maziwa)

Jinsi ya Kuandaa:

1. Chemsha maziwa au maji kidogo ya moto.

2. Ongeza tangawizi na mdalasini, koroga vizuri.

3. Acha yapoe kidogo (yasichome moto sana).

4. Ongeza asali kijiko 1 na koroga.

Jinsi ya Kutumia:

Kunywa dakika 30 kabla ya kulala au asubuhi kabla ya kifungua kinywa.

Tumia mara kwa mara kwa wiki 3–4 ili kuona matokeo.

Faida za mchanganyiko huu

βœ… Huongeza mzunguko wa damu
βœ… Huchangia kuongezeka kwa hamu ya tendo la ndoa
βœ… Hutoa nishati ya haraka na ya muda mrefu
βœ… Huboresha afya ya moyo na homoni za kiume

Tag Ndugu, Rafiki zako na Jamaa , Waambie Follow Leo  ili wapate Elimu ya Afya nzima ya mwili mzima na mifumo yake Soon ...
24/08/2025

Tag Ndugu, Rafiki zako na Jamaa , Waambie Follow Leo ili wapate Elimu ya Afya nzima ya mwili mzima na mifumo yake

Soon tutaanza Darasa letu

Fanya hivi ! Share Hii account kwa watu uwapendao maana soon Darasa la Afya litaanza hapa hapa najua wengi tuna changamo...
19/08/2025

Fanya hivi ! Share Hii account kwa watu uwapendao maana soon Darasa la Afya litaanza hapa hapa najua wengi tuna changamoto kwenye Afya zetu ila hatujui wapi tutaanzia, ukiwa hapa Utapata suluhisho la kila tatizo lako

Wangapi wame share Hii account kwa wapenda wao ili wa-follow

Good morning!
19/08/2025

Good morning!

Hii kauli ya Mimi sijawahi kuumwa wala kwenda hospital ni kauli ya watu wengi wanaojiona kuwa wao Wana Afya Bora  ila ni...
18/08/2025

Hii kauli ya Mimi sijawahi kuumwa wala kwenda hospital ni kauli ya watu wengi wanaojiona kuwa wao Wana Afya Bora ila ni tofauti Sana na wanachofikiria na ukweli ni kwamba wapo kwenye hatari kubwa Sana juu ya Afya yao

Tunakuja soon na makala mbalimbali Ama Darasa la Afya Salama kwako

Share account yetu kwa ndugu jamaa na marafiki ili Darasa likianza rasmi uwe miongoni mwa watu watakao nufaika na Elimu itakayotolewa chini ya madokta Mbalimbali wenye uwezo mkubwa katika sekta hii ya Afya

Kwa Mwanaume anayehisi ana matatizo ya upungufu wa Nguvu za kiume ( Power ) Sisi  Tunakuja kukuondolea Hofu na Tatizo la...
17/08/2025

Kwa Mwanaume anayehisi ana matatizo ya upungufu wa Nguvu za kiume ( Power ) Sisi Tunakuja kukuondolea Hofu na Tatizo lako
Hatutokupa Booster ila tutakupa dawa Elimu juu ya Afya ya Tatizo lako na kukurudishia Heshima yako kitandani

Kila kipindi cha kuhusu Afya yako utakipata hapa kwenye
17/08/2025

Kila kipindi cha kuhusu Afya yako utakipata hapa kwenye

Address

Kahama

Telephone

+255652580857

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya Darasa posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Afya Darasa:

Share