Karatu Online TV

Karatu Online TV The Official
We shoot • We edit • We Publish • Documentary Karatu Tv

UVCCM {W} KARATU Umoja wa vijana wa Chama Cha Mapinduzi Chini yaKamati ya Utekelezaji naM/KITI Ndg.Elibarik R.Magnusna K...
27/08/2025

UVCCM {W} KARATU

Umoja wa vijana wa Chama Cha Mapinduzi Chini yaKamati ya Utekelezaji naM/KITI Ndg.Elibarik R.Magnus
na Katibu wa UVCCM [W]Karatu ndg.Mtwawafu Kantangayo

Umefunga kambi lenye mafunzo mbalimbali na uimarishaji wa kura za Dr Samia Suluhu Assan

Kambi hilo lilikuwa la sk 7 toka tar 19 hadi 26--08-2025

October tuna tiki

Mbunge mteule wa Jimbo la karatu  Mh Daniel Awack Tlemai leo amechukua fomu ya kugombea ubunge wa Jimbo la karatu kupiti...
27/08/2025

Mbunge mteule wa Jimbo la karatu Mh Daniel Awack Tlemai leo amechukua fomu ya kugombea ubunge wa Jimbo la karatu kupitia chama Cha mapinduzi na kusindikizwa na maelfu ya wanachama na wananchi wa Jimbo la karatu kuelekea katika ofisi za tume huru ya taifa ya uchaguzi.

tunatiki✅✅

DC KARATU
21/05/2025

DC KARATU

12/05/2025

Behind every dream is a mother who gave it wings through love, sacrifice, and silent strength. This is a tribute to the mothers who have silently shaped our journeys in ways words can’t describe.Eternal Love

KAMISHNA KUJI AWAAPISHA MAKAMISHNA WAPYA WA UHIFADHI  TANAPA*lNa Philipo Hassan - ArushaKamishna wa Uhifadhi wa Shirika ...
12/05/2025

KAMISHNA KUJI AWAAPISHA MAKAMISHNA WAPYA WA UHIFADHI TANAPA*l

Na Philipo Hassan - Arusha

Kamishna wa Uhifadhi wa Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA), Musa Nassoro Kuji leo Mei,
12, 2025 amewaapisha na kuwavisha vyeo Makamishna Wasaidizi wa Uhifadhi Tisa (9) ili kuboresha utendaji kazi wa Shirika zoezi ambalo limefanyika katika Ofisi za TANAPA Makao Makuu jijini, Arusha.

Akizungumza katika hafla hiyo Kamishna Kuji, alitoa msisitizo kwa Makamishna hao kufanya Kazi kwa bidii, weledi na kusikiliza watu wanaowaongoza ili kuleta tija zaidi pamoja na kufikia malengo ya Shirika na Taifa kwa ujumla.

“Nendeni mkachape kazi kwa bidii na weledi huku mkiishi viapo vyenu mlivyoapa leo. Kiongozi mzuri ni yule anaesikiliza mawazo ya watu wake anaowaongoza hivyo, mkasikilize watu mnaowaongoza” alisisitiza Kamishna Kuji.

Akitoa shukurani kwa niaba ya Makamisha wapya, Kamishna Msaidizi wa Uhifadhi, Simon Aweda ambaye ndiye Mkuu wa Hifadhi ya Taifa Burigi-Chato alishukuru Bodi ya Wadhamini TANAPA pamoja na Uongozi wa Shirika kwa kutambua juhudi zao na kuamua kuwapandisha vyeo.

“Napenda kuchukua nafasi hii kwa niaba ya Makamishna wenzangu wapya kuishukuru Bodi ya Wadhamini na Uongozi wa Shirika kwa kutuamini na kutukabidhi majukumu haya k**a tulivyotoka kuapa, tunaahidi kufanya kazi kwa bidii na weledi wa hali ya juu ili kufanikisha malengo ya Taasisi ya kuendeleza Uhifadhi endelevu na kukuza Utalii katika Hifadhi za Taifa” alisema Kamishna Aweda.

Makamishna wa Uhifadhi Wasaidizi waliopandishwa leo ni pamoja na Simon Aweda, Catherine Mbena, Marckyfarreny Rwezaula, Nuhu Masay, Glads Ng’umbi, Dkt. Halima Kiwango, Halid Mngofi, Catherine Mwamage, na Julius Rutainurwa.

06/05/2025

Mhe Cecilia Paresso( mb) akichangia mjadala wa hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Ujenzi kwa mwaka wa fedha 2025/26 leo tarehe 6/5/2025.

Tukutane NAMANGA BORDER May 17, 2025 Kwa Garama Ya Tsh 30,000 Pekee Kwa Mawasiliano Zaidi Unaweza Kuwasiliana nap KUPITI...
05/05/2025

Tukutane NAMANGA BORDER May 17, 2025 Kwa Garama Ya Tsh 30,000 Pekee Kwa Mawasiliano Zaidi Unaweza Kuwasiliana nap KUPITIA Namba Zilizo Kwa Tangazo la Safari

05/05/2025
30/04/2025

KAMATI YA FEDHA YAKAGUA MIRADI YENYE THAMANI YA ZAIDI YA MIL.300Kamati ya Fedha na Mipango ya Halmashauri ya Wilaya ya Karatu inayoongozwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Karatu Mhe. Dkt. Lucian Mahu imetembelea na kukagua miradi ya maendeleo

MAPOKEZI YA VIJANA WA UVCCM WILAYA YA KARATU MKOANI MANYARA📍 BABATI - MANYARAL⏰26/04/2025Mapema Leo vijana wa mkoa wa Ma...
26/04/2025

MAPOKEZI YA VIJANA WA UVCCM WILAYA YA KARATU MKOANI MANYARA

📍 BABATI - MANYARA
L⏰26/04/2025

Mapema Leo vijana wa mkoa wa Manyara chini ya mwenyekiti wao *Ndg Inyasi Amsii* wamewapokea vijana wa UVCCM Wilaya ya Karatu chini ya mwenyekiti wake *Ndg Elibariki Magnus* ambao wamekuja ziara kusherehekea miaka 61 ya muungano

Aidha Katibu wa CCM mkoa wa Manyara*Ndg Shabani Mrisho* aliongoza mapokezi hayo yalioambatana na matembezi

Address

Karatu

Opening Hours

Monday 09:00 - 16:00
Tuesday 09:00 - 16:00
Wednesday 09:00 - 16:00
Thursday 09:00 - 16:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 12:00
Sunday 09:00 - 12:00

Telephone

+255673941419

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Karatu Online TV posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Karatu Online TV:

Share

Category