10/08/2025
Mgombea wa kiti cha Urais kupitia tiketi ya Chama cha Alliance for Africa Farmers Party (AAFP),
Kunje Ngombare Mwiru amefika Ofisi za Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), akiwa na pamoja na mgombea mwenza Chumu Abdallah Juma kwajili ya kuchukua fomu za kuwania nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Wagombea hao na wagombea wengine watatakiwa kutafuta wadhamini na kurudisha fomu hizo kwa ajili ya uteuzi wa Tume k**a wamekidhi vigezo vyote.
100.5MHz