01/01/2023
MATATIZO YA KIFAMILIA, MAJERAHA YAMUWEKA NJE YA UWANJA MLINDA MLANGO BORA KOMBE LA FA.
MLINDA mlango wa Coastal Union, Kinda aliyebeba tuzo ya Kipa Bora wa Michuano ya Kombe la Shirikisho la Azam (ASFC) Mohamed Hussein Mohamed "Muddy Colour" amekuwa nje Kwa kipindi Sasa kutokana na kuandwa na MAJERAHA pamoja na matatizo ya kifamilia.
Muddy Colour ambaye alitwaa Tuzo ya Mlinda Mlango Bora ASFC amekuwa akiandamwa na majeraha pamoja na Kuuguliwa