Kicora FM

Kicora FM 98.9 FM Kigoma
Jitambue! Wewe Ni Nyota!
📧 [email protected]
📱 +255 754 570 369 & +255 756 736 484

🎙️ Jumatatu hii usikose!Ungana nasi katika kipindi maalum tukijadili mada: "Uelewa na Udhibiti wa Kifua Kikuu (TB) kwa W...
26/07/2025

🎙️ Jumatatu hii usikose!

Ungana nasi katika kipindi maalum tukijadili mada: "Uelewa na Udhibiti wa Kifua Kikuu (TB) kwa Watoto Chini ya Miaka Nane."

Je, TB huwapata watoto? Dalili zake ni zipi? Na ni hatua gani za kuchukua kulinda afya zao?

Tutakuwa na mgeni maalum kutoka sekta ya afya atakayetoa elimu na kujibu maswali yako moja kwa moja.

📍 July 28, 2025
🕕 Saa 09:00 - 10:00 AM
📻 KICORA Radio

MWENYEKITI WA UVCCM KATA YA KIGOMA MJINI CDE REHEMA AMANI KINGU AMECHUKUA FOMU YA UBUNGE VITI MAALUMU UVCCM. LEO KATIKA ...
30/06/2025

MWENYEKITI WA UVCCM KATA YA KIGOMA MJINI CDE REHEMA AMANI KINGU AMECHUKUA FOMU YA UBUNGE VITI MAALUMU UVCCM. LEO KATIKA OFISI YA KATIBU WA UVCCM MKOA WA KIGOMA .


13/06/2025


07/06/2025



Ndani ya KICORA RADIO tupo na Mhandisi Imelda Salum.
20/05/2025

Ndani ya KICORA RADIO tupo na Mhandisi Imelda Salum.



Usikose kushiriki kipindi hiki maalum Jumamosi hii kupitia   tukijikita kuangazia Malezi, Makuzi na Maendeleo ya awali y...
15/05/2025

Usikose kushiriki kipindi hiki maalum Jumamosi hii kupitia tukijikita kuangazia Malezi, Makuzi na Maendeleo ya awali ya mtoto kupitia mradi wa awamu ya pili.





💔🕊️
14/05/2025

💔🕊️

Usikose kusikiliza kipindi maalum kinachoangazia Malezi, Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto jumanne hii May 6, 2025 n...
04/05/2025

Usikose kusikiliza kipindi maalum kinachoangazia Malezi, Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto jumanne hii May 6, 2025 ndani ya





Nchi ya Afrika Magharibi Gabon imerudishwa katika Umoja wa Afrika baada ya kutolewa vikwazo vilivyowekwa dhidi yake mwez...
01/05/2025

Nchi ya Afrika Magharibi Gabon imerudishwa katika Umoja wa Afrika baada ya kutolewa vikwazo vilivyowekwa dhidi yake mwezi Agosti mwaka 2023 baada ya mapinduzi yaliyoongozwa na Ali Bongo.

Katika taarifa iliyotelewa kupitia mtandao wa kijamii wa X Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika (PSC), katika kikao kilichofanyika mjini Addis Ababa wametoa vikwazo k**a kutolewa kwa Gabon katika taasisi za Baraza Hilo.

Mabadiliko hayo ya Baraza la Amani na Usalama la AU, yanakuja baada ya kile walichokiri kuwa mchakato wa siasa nchini humo umekuwa imara na wakuridhisha.

Uamuzi huu wa UN unakuja siku tatu kabla ya kuapishwa kwa Brice Clotaire Oligui Nguema, aliyechaguliwa kuwa rais wa nchi mnamo Aprili 12 2025.


Baada ya siku ya Jumanne serikali ya India inayoongozwa na Waziri mkuu Narendra Modi kutoa tamko kuwa wataivamia nchi ya...
01/05/2025

Baada ya siku ya Jumanne serikali ya India inayoongozwa na Waziri mkuu Narendra Modi kutoa tamko kuwa wataivamia nchi ya Pakistan ndani ya muda usiojulikana kwa shutuma za kuhusika na uvamizi katika eneo la Kashmir leo Waziri wa Mambo ya kigeni wa Marekani Marco Rubio amezitaka nchi hizo kupunguza mizozano hiyo.

Rubio ameitaka nchi ya India kufanya uchunguzu juu ya tukio la uvamizi lililosababisha mauaji ya watu wakiwemo watalii katika eneo linalozozaniwa la Kashmir, huku akiitaka Pakistan kutoa ushirikiano katika uchunguzi huo ilikumuwajibisha yeyote aliyehusika na uvamizi huo.

Kwa upande mwingine nchi ya Pakistan kupitia Waziri Mkuu wake Shehbaz Sharif imeitaka Marekani kushinikiza India kusitisha maamuzi ya kuivamia Pakistan badala yake ifanye uchunguzi juu ya swala hilo ili kumuwajibisha muhusika mkuu na sio kulazimisha kuwa Pakistan imehusika.

Address

Kigoma

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Kicora FM posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Kicora FM:

Share

Category