Kicora FM

Kicora FM 98.9 FM Kigoma
Jitambue! Wewe Ni Nyota!
πŸ“§ [email protected]
πŸ“± +255 754 570 369 & +255 756 736 484

23/10/2025

AHADI KWA VIJANA WA BODABODA!
Mgombea ubunge wa Jimbo la Kakonko atoa ahadi ya kujenga vituo (vimvuli) vya kisasa kwa waendesha bodaboda
Pia ameahidi kushirikiana na mamlaka husika kuhakikisha upatikanaji wa leseni kwa haraka na kwa urahisi zaidi .

Ni wakati wa kuinua sekta ya bodaboda β€” vijana wafaidike, biashara iende mbele!

21/10/2025

> β€œAjira katika sekta ya afya zaja! πŸ’ͺ🏽
Rais Samia anaahidi fursa mpya ndani ya siku 100 za kwanza β€” ni wakati wa vijana kuamka na kuchangamkia nafasi hizi! 🌍πŸ”₯
”

Kiciora Radio 98.9MHz inaungana na taasisi zote zingine katika kuadhimisha kumbukumbu ya kuondokewa na aliyekuwa Rais wa...
14/10/2025

Kiciora Radio 98.9MHz inaungana na taasisi zote zingine katika kuadhimisha kumbukumbu ya kuondokewa na aliyekuwa Rais wa kwanza wa Tanzania Hayati Mwl.Julius Kambarage Nyerere.

11/10/2025

Si wanyama TU hata binadamu Kila mtu anambabe wake ..hili si kuhusu udhaifu ila heshima n thamani ya mtu unayemujofia kumpoteza.


Usikose kuisikiliza Mahakama ya burudani ya  Kicora Radio 98.9MHz jumatatu hii.
03/10/2025

Usikose kuisikiliza Mahakama ya burudani ya Kicora Radio 98.9MHz jumatatu hii.


30/08/2025



Usikose kusikiliza kipindi maalum kinachoangazia Malezi, Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto jumatatu hii Agost 4, 202...
03/08/2025

Usikose kusikiliza kipindi maalum kinachoangazia Malezi, Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto jumatatu hii Agost 4, 2025 ndani ya





China imeanzisha mpango wa kitaifa wa kutoa ruzuku ya yuan 3,600 kwa mwaka kwa kila mtoto mwenye umri chini ya miaka mit...
29/07/2025

China imeanzisha mpango wa kitaifa wa kutoa ruzuku ya yuan 3,600 kwa mwaka kwa kila mtoto mwenye umri chini ya miaka mitatu. Lengo ni kupunguza mzigo wa gharama za malezi kwa familia na kuongeza kiwango cha uzazi nchini humo.

Mpango huu utawanufaisha familia takribani milioni 20, na umetajwa kuwa hatua ya kwanza ya kitaifa kushughulikia changamoto ya kupungua kwa idadi ya watu licha ya kuondolewa kwa sera ya mtoto mmoja.

Familia zilizo na watoto waliozaliwa kati ya 2022 na 2024 pia zinaruhusiwa kutuma maombi ya ruzuku hiyo. Serikali ya China inaendelea kuchukua hatua mbalimbali ili kuhamasisha ongezeko la watoto.

#

28/07/2025

Director of Enabel explains plans, strategies and goals of BADILIKA TOKOMOZA UKATILI campaign aimed at ending violence against women and children managed by the ministry of gender women and special groups under Honr Dorothy Gwajima in Kigoma.

28/07/2025

Maajabu ya Cheusi Mangala B. Wakionyesha ujuzi wao mbele ya mh. Dorothy Gwajima wakati wa uzinduzi wa kampeni ya kupinga ukatili Kigoma.

MWENYEKITI WA UVCCM KATA YA KIGOMA MJINI CDE REHEMA AMANI KINGU AMECHUKUA FOMU YA UBUNGE VITI MAALUMU UVCCM. LEO KATIKA ...
30/06/2025

MWENYEKITI WA UVCCM KATA YA KIGOMA MJINI CDE REHEMA AMANI KINGU AMECHUKUA FOMU YA UBUNGE VITI MAALUMU UVCCM. LEO KATIKA OFISI YA KATIBU WA UVCCM MKOA WA KIGOMA .


Address

Kigoma

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Kicora FM posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Kicora FM:

Share

Category