๐—ฅ๐—”๐——๐—œ ๐Ÿฎ๐Ÿฐ/๐Ÿณ

๐—ฅ๐—”๐——๐—œ ๐Ÿฎ๐Ÿฐ/๐Ÿณ Huu ni ukurasa unaojihusisha na habari za kimataifa katika nyanja ya siasa, biashara, sayansi na teknolojia pamoja na michezo.

Wagawanye kisha watawale,ndicho kinachofanywa na Serikali ya Israel ndani ya Syria hivi sasa kwa kufanya mashambulizi nd...
16/07/2025

Wagawanye kisha watawale,ndicho kinachofanywa na Serikali ya Israel ndani ya Syria hivi sasa kwa kufanya mashambulizi ndani ya nchi huru na kumega ardhi zaidi.
By:Abdull Najad Faiq

Iran๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ท imepokea mfumo wa ulinzi wa anga unao zalishwa China.By:Abdull Najad
08/07/2025

Iran๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ท imepokea mfumo wa ulinzi wa anga unao zalishwa China.
By:Abdull Najad

๐ŸšจRIPOTI: Makombora ya balistiki ya Iran๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ท yalipiga kambi tano za kijeshi za Israe ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ฑ wakati wa vita vya siku 12 mwezi ul...
08/07/2025

๐ŸšจRIPOTI: Makombora ya balistiki ya Iran๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ท yalipiga kambi tano za kijeshi za Israe ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ฑ wakati wa vita vya siku 12 mwezi uliopita, gazeti la The Telegraph liliripoti Jumamosi kwa mara ya kwanza, likinukuu data ya satelaiti iliyoshirikiwa na Chuo Kikuu cha Jimbo la Oregon. Maelezo ya mashambulizi katika kambi za Jeshi la Ulinzi la Israeli na maeneo mengine nyeti yamezuiwa kuchapishwa nchini Israeli kwa sababu ya sheria za udhibiti wa kijeshi, kwani mamlaka zinahoji kuwa zinaweza kutumiwa na Iran kurekebisha vyema makombora yake. Lakini kulingana na chombo cha habari cha Uingereza, kambi zilizolengwa ni pamoja na kituo cha anga cha Tel Nof, kituo cha ujasusi cha Glilot, na kambi ya utengenezaji wa silaha ya Zipporit. Ripoti hiyo ilitokana na data ya rada iliyopatikana na The Telegraph kutoka Chuo Kikuu cha Oregon State, ambayo hufuatilia uharibifu wa bomu katika maeneo ya vita kupitia satelaiti. Kwa mujibu wa ripoti hiyo, vituo vitano vya IDF vilishambuliwa kwa jumla ya roketi sita wakati wa vita kati ya Israel na Iran, vilivyozinduliwa na Israel tarehe 13 Juni ili kusambaratisha miradi ya nyuklia na makombora ya Jamhuri ya Kiislamu.
By:Abdulll Najad Faiq

Baada ya kumalizana na ndege za kivita za J-10,๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ท Iran inatazamia kununua ndege vita nyengine za kisasa zaidi za China z...
04/07/2025

Baada ya kumalizana na ndege za kivita za J-10,๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ท Iran inatazamia kununua ndege vita nyengine za kisasa zaidi za China zinazojulikana k**a J-20 ambazo zinalinganishwa ubora na ndege vita za kisasa za Marekani zinazojulikana k**a F-22 Raptor.
By:Abdull Najad Faiq

๐ŸšจNi rasmi Iran๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ท imepokea ndege 40 za kisasa za kivita kizazi cha 5 za China zinazojulikana k**a J-10 ambazo zilifanya v...
04/07/2025

๐ŸšจNi rasmi Iran๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ท imepokea ndege 40 za kisasa za kivita kizazi cha 5 za China zinazojulikana k**a J-10 ambazo zilifanya vizuri katika vita vya hivi karibuni baina ya Pakistan na India.
By:Abdull Najad Faiq

Kamanda wa CENTCOM Jenerali Michael Kurilla aliwasili Tel Aviv mapema leo na kukutana na Mkuu wa Majeshi wa IDF Eyal Zam...
03/07/2025

Kamanda wa CENTCOM Jenerali Michael Kurilla aliwasili Tel Aviv mapema leo na kukutana na Mkuu wa Majeshi wa IDF Eyal Zamir.
Nb:Je!unadhani kipi kilijadiliwa hapa
By:Abdull Najad Faiq

๐Ÿšจ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ฑIsrael imekumbwa na mgogoro mkubwa wa uhaba wa nishati ya mafuta ndani ya nchi kutokana na uharibifu wa miundombinu y...
03/07/2025

๐Ÿšจ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ฑIsrael imekumbwa na mgogoro mkubwa wa uhaba wa nishati ya mafuta ndani ya nchi kutokana na uharibifu wa miundombinu ya mafuta iliyofanywa na makombora ya Iran ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ทwakati wa vita vyake vya siku 12.
By:Abdull Najad Faiq

NGUVU NA UWEZO HALISI WA MAREKANI NA ISRAEL KATIKA ULIMWENGUNa:Abdull Najad FaiqMwanzoni tuliaminishwa kuwa Marekani ni ...
03/07/2025

NGUVU NA UWEZO HALISI WA MAREKANI NA ISRAEL KATIKA ULIMWENGU
Na:Abdull Najad Faiq
Mwanzoni tuliaminishwa kuwa Marekani ni taifa kubwa kijeshi na lenye nguvu duniani,hii inachagizwa na ukubwa wa bajet ya Ulinzi ya Marekani sambamba kuwa na teknolojia ya hali ya juu katika Ulimwengu
Ila licha ya yote hayo Marekani hutumia mbinu kadhaa ili kudumisha nguvu zake pamoja na ubabe wake

Kwanza Marekani pamoja na Israel ni mataifa ambayo hupigana vita katika ardhi za nchi pinzani ili kuepuka hasara katika nchi zao kwa raia pamoja na miundombinu na mali,ikiwa vitatokea vita ambavyo vitasababisha madhara ndani ya ardhi ya Marekani ama Israel basi ninakuhakikishia Umoja wa Mataifa lazima utachukua hatua za haraka sana ili kumaliza mgogoro huo

Pili,sio Israel wala Marekani ambae anapenda apambane na mpinzani mwenye nguvu za kweli mathalan vita vya Israel dhidi ya Iran,tulizoea falsafa ya Israel kwamba ukiwapiga kidogo wao watakupiga zaidi mara dufu ila hali ilikua ni tofauti kwa Iran hakika tulishuhudia madhara ya uharibifu ya mashambulizi ya Iran dhidi ya Israel yalikua ni makubwa zaid,kitendo cha Trump kuamua kuvimaliza vita ilhali mwanzo aliiambia Iran kuwa isipo jisalimisha ataiacha ipate madhara toka kwa Israel,licha ya usaidizi wote wa ulinzi wa anga wa Marekani,Uingereza na Ufaransa kwa Israel na kuamua kusitisha vita bila ya kutimiza lengo lao la msingi,kuliibua dhana kwamba Israel ilikumbana na mpinzani mkali sana kiasi kwamba ikabidi Wamagharib wasalimu amri
Ilikua ni rahisi kwa Marekani kuivamia kijeshi Iraq ya Sadam Hussein ila Marekani hii super power ilivimbiwa na Korea Kaskazini ya Kiduku,je!mnajua kwanini? Sababu Kiduku alikua na Nyuklia ya kweli ila Sadam hakua na silaha hatari zilikua ni propaganda zilizopikwa na Marekani ili kuhalalisha wake uvamizi

Tatu,kumdhibiti mpinzani pamoja na kumpiga vita vya kiuchumi,Kwa miaka mingi Marekani amekua akitumia mbinu za kuiwekea vikwazo vya kiuchumi nchi iliyo hasimu wake kabla ya kuivamia kijeshi,hili tumelishuhudia kule Iraq,Libya na hata dhidi ya Iran wanatumia mbinu ile ile kuidhoofisha kiuchumi Iran ili kuleta hali ngumu ya maisha ndani ya nchi mwisho kuibua uasi wa wananchi dhidi ya Serikali yao
Udhibiti wa mpinzani pia unafanywa na Marekani kwa kutoa takwa kwa Iran kuachana na mpango wake wa makombora ya masafa marefu ili Iran iweze kuondolewa vikwazo vya kiuchumi na Marekani,hili linafanyika sababu makombora ya masafa marefu ya Iran yanaweza kuleta madhara makubwa kwa mshirika wao Israel ama hata dhidi ya wao Marekani wenyewe,swali la kujiuliza je!ni vita gani hivi visivyo na mlingano? Mbona Marekani hakuna anae muingilia juu ya silaha zake?

Kwahiyo kinacho itwa nguvu kubwa ya Marekani ni uongo sababu k**a wangekua na nguvu zilizo halisi basi wasingekua wakihofia nchi ambazo wanahisi ni maadui zao ziwe na nguvu kijeshi na kiuchumi,lakini daima Marekani imekua ikitumia mbinu ya kuzizoofisha ama kuzilainisha kwanza nchi hizo ndipo wafanye uvamizi wao

Katika vita vyake vingi Marekani alivyo pigana k**a utachunguza basi utagundua kuwa haendi pekeyake bali huenda pamoja na NATO ili nchi zaidi ya 5 wakuchangie pamoja huku wakiwa wamekufunga kamba kwa vikwazo vya kiuchumi

Laiti k**a dunia ingekua ni sawa na yenye haki basi na tujiulize ni nani ambae anaeweza kumuekea masharti Marekani juu ya uzibiti wa silaha anazozalisha ikiwemo mabomu hatari yenye uzito wa tani nyingi ya kupasua miamba pamoja na ndege za kivita?
Je ni nani leo katika Ulimwengu huu anaweza kuiwekea vikwazo ama kuiwajibisha Israel pamoja na Marekani pindipo wakitenda makosa?
Hakika mwisho utagundua kila kitu ni feki katika dunia hii haki itazingatiwa kuwa ni haki kutokana na ni nani inayo mgusa

KUTENGWA KWA DINI KATIKA SERIKALI ZA ULIMWENGUNa:Abdull NajadHuenda mimi sio wa kwanza ila natamani nikufumbue macho kat...
29/06/2025

KUTENGWA KWA DINI KATIKA SERIKALI ZA ULIMWENGU
Na:Abdull Najad
Huenda mimi sio wa kwanza ila natamani nikufumbue macho katika hili
Wamagharibi walipotuletea mifumo yao ya uongozi kuanzia Ujima hadi Ubepari walimaanisha kuua na kuitenga mifumo yote ya kiuongozi ambayo itakua ni tofauti na sera zao pamoja na maslahi yao

Imezoeleka kuna mataifa tunayanasibihisha na dini fulani iwe ya Uislam ama dini ya Ukristo ila kiuhalisia kile unacho kiona sio kitu halisi kilichopo eidha nchi hizo wameaumua wenyewe kwenda tofauti ama wamelazimishwa
Mathalan nchi ya Marekani pamoja na nchi nyingi za bara la Ulaya,serikali zake zinanasibihishwa na dini ya Ukristo na viongozi wao wakiwa katika majukwaa hunukuu hadi maandiko ya Biblia ili kuzipa nguvu hoja zao lakini ukija katika uhalisia wa matendo yanayofanywa na yanayo hubiriwa na mataifa hayo sio katika matendo aliyo amuru Mungu ama anayo yaridhia,mfano mzuri wa kampeni za haki za mashoga zinazo hubiriwa na takriban mataifa yote makubwa ya Ulaya na tujiulize hivi anaye watuma viongozi hawa kufanya kampeni hizi ni maandiko ya Mungu ama ni mafundisho ya shetani wanae mtumikia?

Kiuhalisia hakuna taifa hata moja duniani linalo fuata mfumo mzima kamili wa sheria za Mungu na k**a atatokea kiongozi yeyote ama nchi yoyote duniani itakayotaka kuishi kwa kutekeleza sheria ama amri halisi za Mungu basi hakika kiongozi huyo hatoachwa salama atapigwa vita vyote na ataondoshwa madarakani na mfumo wa uongozi wa Magharibi
Hakika hakuna uhusiano wowote wa serikali ya Israel pamoja na maandiko ya dini,Israel ya M***a na Yesu haikua na serikali bali ilikua na amri za Mungu ambazo wachache waliokua wameamini,waliishi katika amri hizo za Mungu ila Israel ya sasa ni mfumo wa kidemokrasia wa Magharib ambao hautekelezi amri hata 1 ya Mungu wao wanaongozwa na utashi wa kibinaadam unaofanya serikali ya Kizayuni kuendeleza mauaji pamoja na ufisadi mkubwa katika ardhi

Kadhalika serikali ya Saud Arabia haipo katika mfumo wa uongozi unao kubalika na sheria ya dini,Wamagharib hadi leo wameibana nchi ya Afghanistan kwa vikwazo,yote tu ni kuhakikisha kwamba serikali ya Taliban haiongozi nchi ya Afghanistan kwa sheria kamili za dini ya Uislam

Kuna vitu Wamagharib wanatueleza lakini havipo katika uhalisia mfano kuhusu sheria ya kunyonga,wanapinga kwa nguvu zote aliyefanya kosa la kuua huku kwetu Afrika asinyongwe lakini wao walimnyonga Sadam Hussein pasina ushahidi wowote wala sababu ya maana

Wamagharib, Marekani ameshawahi kutumia mabomu ya Nyuklia kushambulia Japan na katika mkataba wa IAEA unazitaka nchi zenye nyuklia kupunguza nyuklia zao ila hadi leo Marekani haijatekeleza sharti hilo,wanaruhusu washirika wao kumiliki nyuklia ila sio Iran na wenginewe,hakika huu ndio uongo na unafiki wao

Ripoti: Marekani ilitumia kati ya 15%-20% ya makombora yake ya ulinzi wa anga wa Thaad ili kuilinda Israel katika vita v...
29/06/2025

Ripoti: Marekani ilitumia kati ya 15%-20% ya makombora yake ya ulinzi wa anga wa Thaad ili kuilinda Israel katika vita vyake vya siku 12 dhidi ya Iran ambapo jumla ya gharama walizo tumia ni $800 milioni.
By:Abdull Najad Faiq

Waziri Mkuu wa Israel Nyetanyahu amesema yakwamba Israel imefikia malengo yake kwa kuharibu mpango wa Nyuklia wa Iran hi...
24/06/2025

Waziri Mkuu wa Israel Nyetanyahu amesema yakwamba Israel imefikia malengo yake kwa kuharibu mpango wa Nyuklia wa Iran hivyo vita vyake dhidi ya Iran vimemalizika.
By:Abdull Najad Faiq

Trump ameweza kumaliza vita baina ya Israel dhidi ya Iran ila ameshindwa kukomesha mauaji ya Israel dhidi ya raia wa Gaz...
24/06/2025

Trump ameweza kumaliza vita baina ya Israel dhidi ya Iran ila ameshindwa kukomesha mauaji ya Israel dhidi ya raia wa Gaza,huu ni katika unafiki mkubwa wa Magharibi na uongo wao dhidi ya haki za binaadam pamoja na demokrasia.
By:Abdull Najad Faiq

Address

Kinondoni

Telephone

+255743184044

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when ๐—ฅ๐—”๐——๐—œ ๐Ÿฎ๐Ÿฐ/๐Ÿณ posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to ๐—ฅ๐—”๐——๐—œ ๐Ÿฎ๐Ÿฐ/๐Ÿณ:

Share