Nukta Fakti

Nukta Fakti NuktaFakti ni ukurasa rasmi ulioanzishwa na tovuti ya Nukta Habari kufuatilia habari za uzushi Tanzania.

Nukta Fakti is the first Swahili fact-checking initiative in Tanzania under Nukta Africa, a fast growing digital media and technology company. We debunk misinformation and disinformation to minimise more harm to our society. We believe in improving people's lives through quality content which is free from disinformation. Share with us any doubtful information for verification and we will do it for you.

22/07/2025

📰 Usidanganywe na Kichwa Pekee
Je, unajua kuwa kichwa cha habari kinaweza kupotosha k**a maudhui ya habari ni tofauti kabisa?
👉 Soma habari nzima kabla ya kuamini au kushiriki.




Na Nukta Fakti

Nukta Fakti imefanya uchunguzi kwenye chapisho linalosambaa kwenye mitandao ya kijamii hususan Facebok linalosambaza taa...
22/07/2025

Nukta Fakti imefanya uchunguzi kwenye chapisho linalosambaa kwenye mitandao ya kijamii hususan Facebok linalosambaza taarifa zinazodai kuwa Mwenyekiti wa zamani wa Chadema, Freeman Mbowe amefutwa uwanachama wa chama hicho na kubaini kuwa taarifa hiyo si ya kweli.

Uchunguzi umebaini kuwa chapisho hilo ni feki, halijachapishwa na ITV, halipo kwenye kurasa rasmi za chombo hicho cha habari. Aidha chapisho la Taarifa kwa Umma lililotumika k**a chanzo haijatolewa na Chadema na halipo kwenye kurasa rasmi za chama hicho. Pia aina ya mwandiko (font) uliotumika sio mwandiko unaotumiwa katika machapisho rasmi ya Chadema.




Na Nukta Fakti

Nukta Fakti imefanya uchunguzi kwenye chapisho linalosambaa kwenye mitandao ya kijamii hususan Facebok linalosambaza taa...
22/07/2025

Nukta Fakti imefanya uchunguzi kwenye chapisho linalosambaa kwenye mitandao ya kijamii hususan Facebok linalosambaza taarifa zinazodai kuwa Boniface Jacob (Boni Yai) amedai Godbless Lema ni msaliti, amegeuza 'TONETONE' kuwa faida yake binafsi na kubaini kuwa taarifa hiyo si ya kweli.

Uchunguzi umebaini kuwa chapisho hilo ni feki, halijachapishwa na Mwanahalisi Digital, halipo kwenye kurasa rasmi za chombo hicho cha habari. Aidha aina ya mwandiko (font) uliotumika sio mwandiko unaotumiwa katika machapisho ya chombo hicho cha habari.




Na Nukta Fakti

Uchunguzi uliofanywa na NUKTA FAKTI umebaini kuwa chapisho hili ni feki, halijachapishwa na Carry Mastori , halipo kweny...
22/07/2025

Uchunguzi uliofanywa na NUKTA FAKTI umebaini kuwa chapisho hili ni feki, halijachapishwa na Carry Mastori , halipo kwenye kurasa rasmi za mtengeneza maudhui huyo. Aidha aina ya mwandiko (font) uliotumika sio mwandiko unaotumiwa katika machapisho ya mtengezaji wa maudhui huyo.




Na Nukta Fakti

Uchunguzi uliofanywa na NUKTA FAKTI umebaini kuwa chapisho hili ni feki, halijachapishwa na Millard Ayo, halipo kwenye k...
22/07/2025

Uchunguzi uliofanywa na NUKTA FAKTI umebaini kuwa chapisho hili ni feki, halijachapishwa na Millard Ayo, halipo kwenye kurasa rasmi za chombo hicho cha habari. Aidha aina ya mwandiko (font) uliotumika sio mwandiko unaotumiwa katika machapisho ya chombo hicho cha habari.




Na Nukta Fakti

Uchunguzi uliofanywa na NUKTA FAKTI umebaini kuwa chapisho hili ni feki, halijachapishwa na Jambo Tv, halipo kwenye kura...
22/07/2025

Uchunguzi uliofanywa na NUKTA FAKTI umebaini kuwa chapisho hili ni feki, halijachapishwa na Jambo Tv, halipo kwenye kurasa rasmi za chombo hicho cha habari. Aidha aina ya mwandiko (font) uliotumika sio mwandiko unaotumiwa katika machapisho ya chombo hicho cha habari.




Na Nukta Fakti

"Si kila kilichoandikwa au kusemwa kwenye mitandao ni kweli. Habari za uongo huvalishwa sura ya ukweli ili kupotosha. Ka...
22/07/2025

"Si kila kilichoandikwa au kusemwa kwenye mitandao ni kweli. Habari za uongo huvalishwa sura ya ukweli ili kupotosha. Kabla ya kushiriki taarifa yoyote, chukua muda kuisoma kwa makini, kuangalia chanzo chake"




Na Nukta Fakti

Uchunguzi uliofanywa na NUKTA FAKTI umebaini kuwa chapisho hili ni feki, halijachapishwa na The Chanzo, halipo kwenye ku...
15/07/2025

Uchunguzi uliofanywa na NUKTA FAKTI umebaini kuwa chapisho hili ni feki, halijachapishwa na The Chanzo, halipo kwenye kurasa rasmi za chombo hicho cha habari. Aidha aina ya mwandiko (font) uliotumika sio mwandiko unaotumiwa katika machapisho ya chombo hicho cha habari.




Na Nukta Fakti

Nukta Fakti imefanya uchunguzi kwenye chapisho linalosambaa kwenye mitandao ya kijamii hususan Facebok. Chapisho hilo li...
14/07/2025

Nukta Fakti imefanya uchunguzi kwenye chapisho linalosambaa kwenye mitandao ya kijamii hususan Facebok. Chapisho hilo linaonekana k**a chapishi rasmi la mtandao wa X kutoka kwenye ukurasa wa Martin Masese likitoa tuhuma kwa Balozi Humphrey Polepole ambaye amejiudhuru nafasi yake ya utumishi wa umma hivi karibuni.

Uchunguzi uliofanywa na NUKTA FAKTI umebaini kuwa chapisho hilo ni feki na halijachapishwa kwenye kurasa rasmi za Martin Masese .Aidha, aina ya mwandiko (font) uliotumika si mwandiko rasmi unaotumika kwenye machapisho ya mtandao wa X.




Na Nukta Fakti

Address

Kinondoni

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Nukta Fakti posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Nukta Fakti:

Share

Category