20/12/2025
"Wana-CCM, wapenzi wa CCM na wale wakereketwa wa CCM, endeleeni kukiimarisha chama chetu, kinatumainiwa na walio wengi. Nakishukuru kwa kunilea katika kipindi chote mpaka hapa, bado ni mwanachama hai." - Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu Mstaafu wa Tanzania akiwaaga wananchi wa Ruangwa