Swahili Times

Swahili Times Habari bila mipaka, saa 24.
(447)

"Tunakwenda kuinyanyua sekta ya maziwa [Bukombe] lakini pia kuweka viwanda vitakavyochakata maziwa ili maziwa yawe bidha...
12/10/2025

"Tunakwenda kuinyanyua sekta ya maziwa [Bukombe] lakini pia kuweka viwanda vitakavyochakata maziwa ili maziwa yawe bidhaa na wafugaji wale waweze kuuza bidhaa fedha iingie mfukoni na maisha yaendelee. Hiyo ndiyo kazi na utu." - Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CCM, Dkt. Samia Suluhu kwenye kampeni Bukombe

12/10/2025

  Jumapili Oktoba 12, 2025
11/10/2025



Jumapili Oktoba 12, 2025

11/10/2025

Fuatilia mahojiano na Mgombea Urais wa Tanzania kupitia chama cha ADA-TADEA, Georges Bussungu akizungumza kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025.Tufatilie...

11/10/2025

Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama cha ADA -TADEA, Georges Bussungu amesema ikiwa Watanzania wanataka kuandamana waandamane kifikra wakapige kura ili wapate mabadiliko wanayoyataka.

Mahak**a ya Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma imemhukumu kifungo cha miaka 30 Twaha Nassoro Juma (51) kwa tuhuma za kubaka ...
11/10/2025

Mahak**a ya Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma imemhukumu kifungo cha miaka 30 Twaha Nassoro Juma (51) kwa tuhuma za kubaka mtoto wake, mwenye umri wa miaka 9, tukio lililotokea Machi 12, 2025.

Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Samia Suluhu Hassan akipiga ‘selfie’ na wananchi wa Wil...
11/10/2025

Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Samia Suluhu Hassan akipiga ‘selfie’ na wananchi wa Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu wakati wa mkutano wa kampeni mkoani humo.

11/10/2025

Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu amesema atahakikisha sekta ya kilimo inakua kwa asilimia 10 kwa mwaka kufikia mwaka 2030.

“Reli ya SGR ambayo itatoka Tanga hadi Musoma itapita hapa Maswa. Maswa patakuwa na kituo kikubwa, kituo cha reli kitaka...
11/10/2025

“Reli ya SGR ambayo itatoka Tanga hadi Musoma itapita hapa Maswa. Maswa patakuwa na kituo kikubwa, kituo cha reli kitakachoshusha na kupakia abiria, lakini bidhaa pia. Kituo kile kitakuwa na fursa za biashara ili kukuza biashara na kuongeza fursa za ajira kwa vijana wetu.” - Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CCM, Dkt. Samia Suluhu kwenye kampeni Maswa

Jeshi la Polisi mkoani Mbeya linamshikilia Tatuzo Yohana Mzumbwe, mkazi wa Masoko mkoani humo kwa tuhuma za mauaji ya ma...
11/10/2025

Jeshi la Polisi mkoani Mbeya linamshikilia Tatuzo Yohana Mzumbwe, mkazi wa Masoko mkoani humo kwa tuhuma za mauaji ya mama yake wa kambo, Mary Yohana (61), kwa kumkata na panga kichwani.

Polisi wamesema mtuhumiwa anadaiwa kutenda kosa hilo Oktoba 6, 2025, majira ya saa 2:00 asubuhi katika Kijiji cha Mapinduzi, Kata ya Masoko, Tarafa ya Isangati.

"Uchunguzi wa awali umebaini kuwa chanzo cha tukio hilo ni mgogoro wa kifamilia kuhusu mashamba ambapo mtuhumiwa alikuwa akimshinikiza Mary Yohana kugawa mashamba ya urithi yaliyoachwa baada ya baba yake kufariki," imesema taarifa.

Jeshi la Polisi limesema mtuhumiwa atafikishwa mahak**ani baada ya uchunguzi kukamilika.

"Hakuna wakati ambao tunahitaji wabunge bora katika mkoa wetu wa Kigoma [...] k**a wakati huu tulionao sasa." - Mgombea ...
10/10/2025

"Hakuna wakati ambao tunahitaji wabunge bora katika mkoa wetu wa Kigoma [...] k**a wakati huu tulionao sasa." - Mgombea Ubunge Jimbo la Kigoma Mjini, Zitto Kabwe

Address

Kinondoni

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Swahili Times posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Swahili Times:

Share