
17/06/2023
ZITO KAMBE ANACHAMBUA BAJETI YA SERIKALI MUDA HUU
Owned by University of Dar es Salaam
Kinondoni
Monday | 08:00 - 22:00 |
Tuesday | 08:00 - 22:00 |
Wednesday | 08:00 - 22:00 |
Thursday | 08:00 - 22:00 |
Friday | 08:00 - 22:00 |
Saturday | 08:00 - 22:00 |
Sunday | 08:00 - 22:00 |
Be the first to know and let us send you an email when Mlimani tv posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.
Nyota wa timu ya Liverpool ambaye ni raia wa Misri, Mohamed Salah ametangazwa mshindi wa tuzo ya mchezaji bora wa Afrika wa mwaka 2017 Shirikisho la soka barani Afrika (CAF).
Salah alikuwa akishindana na Pierre-Emerick Aubameyang, na Sadio Mane na akaibuka bora zaidi kwa wingi wa kura na ubora awapo kiwanjani.
Mane na Salah walihudhuria sherehe za kutangazwa kwa washindi mjini Accra, Ghana saa 24 kabla ya mechi ya Kombe la FA Ijumaa ambapo klabu yao ya Liverpool itacheza dhidi ya Everton.