Godfrey kadudu

Godfrey kadudu Do not let your dreams being destroyed

09/08/2025
🚨 YALIO JILI 🦁: Simba SC haina mpango wa kusajili kiungo mwingine katika dirisha hili la usajili — usajili wa eneo la ki...
09/08/2025

🚨 YALIO JILI 🦁: Simba SC haina mpango wa kusajili kiungo mwingine katika dirisha hili la usajili — usajili wa eneo la kiungo umefungwa rasmi.

Kocha mkuu Fadlu Davids anaripotiwa kuvutiwa na Alassane Kanté, ambaye ameonyesha kiwango kizuri sana na anaendelea kung’ara katika mazoezi.

Neo Maema ameichagua Simba kwa sababu inashiriki michuano ya CAF Champions League.Nyota huyu amekataa Klabu kadhaa pale ...
06/08/2025

Neo Maema ameichagua Simba kwa sababu inashiriki michuano ya CAF Champions League.

Nyota huyu amekataa Klabu kadhaa pale Afrika Kusini 🇿🇦 Ili atue Simba kucheza CAF Champions League.

Wakala wake amethibitisha hili kupitia SABC Sports......


Aliyekuwa Spika wa Bunge la Tanzania Job Yustino Ndugai amefariki Dunia leo Agosti 06,2025 akiwa anaendelea kupatiwa mat...
06/08/2025

Aliyekuwa Spika wa Bunge la Tanzania Job Yustino Ndugai amefariki Dunia leo Agosti 06,2025 akiwa anaendelea kupatiwa matibabu Hospitalini baada ya kuugua ghafla.

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani Dkt. Tulia Ackson ametangaza kifo chake leo tarehe 6 Agosti 2025, Dodoma.

Ndugai amekuwa Spika wa Bunge tangu November 17, 2015 hadi Januari 06, 2022 alipojiuzulu na kuendelea kuwa Mbunge wa Kongwa.

Klabu ya Yanga wamemtambulisha Full back wa zamani wa Simba na Singida Black Stars Israel Mwenda !..Ni Rasmi Mwenda ni M...
11/12/2024

Klabu ya Yanga wamemtambulisha Full back wa zamani wa Simba na Singida Black Stars Israel Mwenda !..

Ni Rasmi Mwenda ni Mwananchi .

Jangwani ndo kumeanza kupambazuka
15/11/2024

Jangwani ndo kumeanza kupambazuka

𝐊𝐀𝐍𝐔𝐍𝐈 𝐙𝐀 𝐌𝐅𝐔𝐍𝐆𝐀𝐉𝐈 𝐁𝐎𝐑𝐀 ⚪🟡.13.1 Magoli yaliyofungwa kwa Kwa njia ya Kawaida yatakuwa na Alama Mbili (02) na Kwa Magoli y...
08/05/2024

𝐊𝐀𝐍𝐔𝐍𝐈 𝐙𝐀 𝐌𝐅𝐔𝐍𝐆𝐀𝐉𝐈 𝐁𝐎𝐑𝐀 ⚪🟡.

13.1 Magoli yaliyofungwa kwa Kwa njia ya Kawaida yatakuwa na Alama Mbili (02) na Kwa Magoli yaliyofungwa kwa njia ya Penati yatakuwa na Alama Moja (01).

Kwa kanuni hiyo Mchezaji Mwenye Alama nyingi basi atakuwa Mshindi.

13.2 Endapo Wachezaji watalingana Alama,Mchezaji aliyecheza Muda mchache zaidi atakuwa Mshindi.

13.3 Endapo Wachezaji Watafanana katika Vigezo vyote Viwili hapo Juu,Mchezaji aliyefunga Magoli Ugenini atakuwa Mshindi.

13.4 Kwa Mashindano ya Mtoano,Mshindi atakuwa Mchezaji ambaye timu yake Imefika hatua ya Juu Zaidi Kuliko Mchezaji Mwingine.

K**a hatua hii haitotoa Mshindi Vipengele vya hapo Juu Vitatumika.

Kanuni ya Mwaka 2023.

𝐇𝐢𝐢 𝐈𝐧𝐚𝐭𝐰𝐚 𝐌𝐬𝐡𝐢𝐧??𝐢 𝐥𝐚𝐳𝐢𝐦𝐚 𝐚𝐛𝐚𝐤𝐢 𝐦𝐦𝐨𝐣𝐚.



02/05/2024

YAJUE YA TANGA MJINI NA MAAJABU YAKE

1 - Saa 3 usiku hakuna daladala barabarani.
2-Saa 4 usiku huoni watu nje na usiulize kwanini. Jiongeze bro!
3-Ugali wa 1500 unapata mboga 7, usisahau uono (dagaa mchele) buree.
4- Ndio jiji lenye baiskeli za kukodi k**a bodaboda na kiti chenye sponji.
5- Disco wanapiga taarabu.
6- Hakuna kelele wala vurugu ni kimyaaa hadi raha.
7 - Kijana akishakuwa na uhakika wa kula na kulala anaoa hata wake watatu kwa mpigo.
8- Binti wa Kitanga mwambie apande pikipiki utalipa. Akifika mnunulie chips yai na soda. Kwisha!
9 - Ndio jiji lenye soda zake. 'Healtho' au 'Anjari'. Huko Bakhresa na Mo hawasikiki.
10 - Ukiishi na watu vizuri kuoa na kuolewa hupati shida wao ndo wanamaliza kazi.
11-Raskazone, Donge,Tanga Beach ndio ushuani kwa mafogo.
12- Maji ya kunywa siyo ya kununua dukani, ya bomba tu yanakata kiu, safi hadi raha.
13- Kwa mabinti uwe na pumzi, ukijiroga bro utatolewa jasho ujute.
14 - Kuna traffic light mbili tu pale Toyota na Mombo Hospitali.
15- Machimbo yetu yaleee ni nenda Sabasaba na Kwa Chichi. Hii ni code kwa wakware.
16 - Daladala ipo radhi kumsubiri mtu hata ikibidi kupiga rivasi kumfuata alipo.
17- Ni jiji lililopangika vizuri uswahilini, mjini mpaka ushuani.
18 - Kule madem wanaenda bar au club na madera na ushungi kichwani.
19 - Tanga kila binti anajua mapenzi na wanaheshimu wanaume.
20 - Mabinti wa Tanga wanapenda ndoa na wanajua kulea waume.

Ongeza nyingine ✍️

08/04/2024

Best African based Action movies 🎥🎬
1. Blood Diamond (2006) - 8.0
2. Hotel Rwanda (2004) - 8.1
3. Black Hawk Down (2001) - 7.7
4. Tears of the Sun (2003) - 6.6
5. The Last King of Scotland (2006) - 7.7
6. District 9 (2009) - 7.9
7. Tsotsi (2005) - 7.2
8. Out of Africa (1985) - 7.2
9. The Ghost and the Darkness (1996) - 6.8
10. The Constant Gardener (2005) - 7.4
11. The Gods Must Be Crazy (1980) - 7.3
12. Invictus (2009) - 7.3
13. The Lion King (1994) - 8.5
14. Mandela: Long Walk to Freedom (2013) - 7.1
15. Gorillas in the Mist (1988) - 7.0
16. The Interpreter (2005) - 6.4
17. The Siege of Jadotville (2016) - 7.2
18. Zulu (1964) - 7.7
19. The Blue Elephant (2014) - 6.7
20. Chappie (2015) - 6.8
21. The Bang Bang Club (2010) - 7.0
22. Out of Inferno (2013) - 6.1
23. The Wild Geese (1978) - 6.8
24. Africa United (2010) - 6.6
25. Catch a Fire (2006) - 6.7
26. The Ghost and the Darkness (1996) - 6.8
27. The Power of One (1992) - 7.2
28. The Wilby Conspiracy (1975) - 6.8
29. Machine Gun Preacher (2011) - 6.8
30. The Naked Prey (1965) - 7.3
31. The Air Up There (1994) - 5.5
32. The Gods Must Be Crazy II (1989) - 6.8
33. White Hunter Black Heart (1990) - 6.7
34. Red Scorpion (1988) - 5.2
35. Ashanti (1979) - 5.5
36. Dark of the Sun (1968) - 6.9
37. Shaka Zulu (1986) - 7.7
38. Mountains of the Moon (1990) - 7.2
39. Safari (1956) - 6.5
40. Zambezia (2012) - 5.8
41. Safari 3000 (1982) - 5.2
42. Safari Drums (1953) - 5.1
43. The Lion of Africa (1988) - 6.0
44. The White Warrior (1959) - 6.2
45. African Cats (2011) - 7.6
46. The Journey of August King (1995) - 6.3
47. King Solomon's Mines (1985) - 5.2
48. Lost in Africa (2010) - 6.1
49. Diamonds (1999) - 5.4
50. In My Country (2004) - 6.3
51. Silverton Siege (2022) - (Rating not available at the moment).

Kiungo Mshambuliaji kutoka nchini Cameroon na Simba SC, W***y Onana, amesema huu ndiyo wakati muhimu kwa timu yake kwend...
27/03/2024

Kiungo Mshambuliaji kutoka nchini Cameroon na Simba SC, W***y Onana, amesema huu ndiyo wakati muhimu kwa timu yake kwenda kuandika historia mpya Barani Afrika kwa kutinga Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa Barani Afrika kwa mara ya kwanza.

Simba SC wapo katika maandalizi ya kuwavaa mabingwa wa Misri, Al Ahly katika mchezo wa kwanza wa hatua ya robo fainali ya michuano hiyo, mchezo utakaochezwa ljumaa (Machi 29) saa 3.00 usiku, Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es salaam.

Akizungumza walipokuwa visiwani Zanzibar ambapo timu yake imeweka kambi, Onana amesema anajua wanaenda kupambana na bingwa mtetezi, hivyo hautakuwa mchezo rahisi kwao lakini ndiyo wakati wa kuonyesha ubora wao kwa kutimiza malengo yao ya muda mrefu.

“Binafsi najisikia vizuri kucheza Robo Fainali kwa mara ya kwanza, Al Ahly ni k**a Real Madrid kwa Afrika inaweza kuwa katika kipindi cha mpito lakini katika michuano ya Ligi ya Mabingwa wanakuja kivingine.

Tunatambua tunakwenda kucheza na timu kubwa sana barani Afrika, hizi ni nyakati bora kwa wachezaji na viongozi wa Benchi la Ufundi kuandika historia mpya,” amesema Onana.

Amesema k**a kuna aliyekuwa akiingalia Simba SC ikiishia hatua ya Robo Fainali abadilishe mtazamo kwa kuwa huu ni wakati wa kwenda kubadili hii historia ambayo kwa muda mrefu wamekuwa wakiisubiri.

“Sijui mipango ya mwalimu katika mchezo huo lakini mimi binafsi niko tayari kwa ajili ya mechi hii kubwa ambayo itatazamwa na watu wengi Barani Afrika,” amesema Onana.

Simba SC imefika hatua hiyo baada ya kuishia nafasi ya pili katika msimamo wa Kundi B kwa alama tisa nyuma ya Asec Mimosas ya Ivory Coast ikiwa na alama 12.

FAHAMU MACHACHE USIYOYA-JUA KUHUSU TEMBOTembo ni moja ya wanyama ambao hawapendi kelele na uzito wake ni tani 7Chakula C...
26/03/2024

FAHAMU MACHACHE USIYOYA-JUA KUHUSU TEMBO

Tembo ni moja ya wanyama ambao hawapendi kelele na uzito wake ni tani 7

Chakula Cha tembo kwa siku ni kilo 300 na maji lita 40, wastani wake wa kuishi ni miaka 60

Tembo dume huwa na wanawake wawili mpaka wanne

Uume wa tembo una kilo 27 ukimuona akifanya mapenzi unaweza kuhisi ana miguu mitatu

Tembo hufanya mapenzi kwa masaa 12 yaani masaa 6 ya mwanzo hutumia kumuandaa mwenza wake na masaa 6 yaliyobaki Ndio shughuli yenye ya kunyanduana

Tembo dume akipiga bao manii zake ni ujazo wa lita tano na zaidi .
UKIAMBIWA USIMUIGE TEMBO UWE UNAELEWA🤸‍♂️

..🌵..𝐊𝐀𝐃𝐈  𝐙𝐀𝐊𝐄 𝐙𝐈𝐌𝐄𝐊𝐀𝐓𝐀𝐋𝐈𝐖𝐀.Bodi ya Ligi (TPLB) pia Imepitia amchezo wa Singida Fountain Gate dhidi ya Namungo FC na Ku...
26/03/2024

..🌵..𝐊𝐀𝐃𝐈 𝐙𝐀𝐊𝐄 𝐙𝐈𝐌𝐄𝐊𝐀𝐓𝐀𝐋𝐈𝐖𝐀.

Bodi ya Ligi (TPLB) pia Imepitia amchezo wa Singida Fountain Gate dhidi ya Namungo FC na Kuziondoa Kadi nyekundu za Wachezaji Thomas Ulimwengu wa Singida na Erasto Nyoni wa Namungo FC kwakuwa zilitolewa kwa Makosa.

Mchezo huo uliopigwa katika Dimba la CCM kirumba Jijini Mwanza Ulisimamiwa na Mwamuzi Ramadhani Kayoko ambae katika Mchezo huo Uliomalizika kwa Singida kushinda Moja bila alitoa Kadi Nyekundu tatu.

Kadi nyekundu za Thomas Ulimwengu na Erasto Nyoni zimefutwa lakini sio kadi ya Dickson Ambundo.

𝐌𝐚𝐭𝐚𝐭𝐚 𝐲𝐚 𝐑𝐚𝐦𝐚𝐝𝐡𝐚𝐧𝐢 𝐊𝐚𝐲𝐨𝐤𝐨.

Address

Korogwe

Telephone

+255653261832

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Godfrey kadudu posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Godfrey kadudu:

Share