05/01/2018
Usikose kusikiliza kipindi cha Taifa la watoto siku ya jumamosi kuanzia majira ya saa 09:00 asubuhi hadi Saa 10:00 asubuhi ambapo siku ya tar 06/01/2018 tutakuwa na wototo kutoka shule mbalimbali wilayani kyela tukiungana na watoto walioko nyumbani kupitia namba za studio 0752 464 828 huku tukiangazia mambo mbalimbali k**a vile maswali,methali,nahau,vitendawili,mafumbo,hadithi,na nyimbo,kyela FM radio inaelimisha inaburusha utakuwa nami mtangazaji wako Elizabeth Michael
Kipindi maalum cha watoto kinachokujia kila siku za jumamosi kuanzia saa 3:00 asubuhi hadi saa 4:00