17/06/2026
VIDEO: Kupitia mfuko wa Hifadhi Skimu wa NSSF watu waliojiajiri katika sekta binafsi wanayonafasi ya kujiwekea akiba na kunufaika kwa kupata mafao pamoja na bima ya matibabu.
Hayo yameelezwa na Afisa wa NSSF Mkoa wa Lindi, Joel Hamuli.
Follow Us
Istagram
Facebook
Twitter
Youtube