Mashujaa FM

Mashujaa FM Mashujaa Fm tunapatikana mkoa wa lindi, makao makuu yapo manispaa ya Lindi ... tupigie simu kutangaz

HABARI: Klabu ya soka ya Tabora United inayoshiriki Ligi Kuu ya NBC Tanzania bara imeuzwa kwa Mamlaka ya kukusanya Mapat...
18/09/2025

HABARI: Klabu ya soka ya Tabora United inayoshiriki Ligi Kuu ya NBC Tanzania bara imeuzwa kwa Mamlaka ya kukusanya Mapato Tanzania (TRA) na sasa itajulikana k**a TRA UNITED SPORTS CLUB

Klabu hiyo yenye maskani yake Mkoani Tabora, baada ya kuuzwa itahamishwa Jijini Dar es Salaam kuongeza idadi ya timu za Jiji hilo kwenye Ligi Kuu kuwa 5 ikiungana na Simba Sc, Yanga Sc, KMC Fc na JKT Tanzania.

Follow Us
Istagram
Facebook
Twitter
Youtube

Cheza na ushinde TZS 10M kwa TZS 100 kila baada ya dakika 5!Daka tiketi yako ya TAMBA NA NAMBA kwa kupitia *149*88 # au ...
18/09/2025

Cheza na ushinde TZS 10M kwa TZS 100 kila baada ya dakika 5!
Daka tiketi yako ya TAMBA NA NAMBA kwa kupitia *149*88 # au kwa wakala wa Bahati Nasibu ya Taifa!
Wafatilie ili kujua zaidi.

18+. Cheza kistaarabu. ITHUBA ni mwendeshaji rasmi wa Bahati Nasibu ya Taifa.

HABARI: Wananchi wa Kijiji cha Ikungu Wilaya Nachingwea Mkoani Lindi wamejitokeza kujitolea Katika ujenzi wa vyumba viwi...
17/09/2025

HABARI: Wananchi wa Kijiji cha Ikungu Wilaya Nachingwea Mkoani Lindi wamejitokeza kujitolea Katika ujenzi wa vyumba viwili vya Madarasa na ofisi ya waalimu Katika shule ya Msingi Ikungu.

Wakizungumza wakati wa zoezi hilo wananchi hao wameeleza kuwa wamefanya hivyo ikiwa Sehemu ya kuunga mkono jitiada za serikali Katika sekta ya elimu kwani kwa kufanya hivyo itapelea watoto wao kupata elimu bora huku wakihaidi Kuendelea Kufanya hivyo Katika maeneo mengine.

Aidha wamesema kuwa wataendelea kuwaamasisha wananchi wengine kujitokeza Kwa wingi na kwaumoja ili waweze kupata mafanikio zaidi Katika kijiji na hata serikali itawapelekea miradi mingi zaidi.

Akizungumza kwa niaba ya uongozi wa Shule ya msingi Ikungu mwalimu Majaliwa amewashukuru wananchi hao kwa kujitolea huku akisema uongozi wa Shule hiyo unaunga mkono jambo hilo na unatakiwa kuigwa kwani inapelekea mahusiano mazuri huku akiwaomba Kuendelea Katika taasisi zingine.

Follow Us
Istagram
Facebook
Twitter
Youtube

MICHEZO: Klabu ya Simba imeanza safari kwenda Botswana kuvaana na Gaborone United ya nchini humo katika mechi ya raundi ...
17/09/2025

MICHEZO: Klabu ya Simba imeanza safari kwenda Botswana kuvaana na Gaborone United ya nchini humo katika mechi ya raundi ya kwanza Ligi ya Mabingwa Afrika itakayochezwa Jumamosi Septemba 20, 2025.

Aidha Kikosi cha Yanga kimeondoka alfajiri ya leo Jumatano Septemba 17, 2025 Dar es Salaam kuelekea Angola kwa ajili ya mchezo wa Raundi ya Kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Wiliete ya nchini humo.

Safari ya Wananchi imeanzia Dar es Salaam na kupitia Addis Ababa, Ethiopia, ambapo wataunganisha ndege nyingine kuelekea Luanda tayari kwa mchezo huo utakaochezwa Ijumaa kwenye Uwanja wa Novemba 11, Luanda.

Yanga inakwenda kwenye mchezo huo ikiwa na morali kubwa baada ya ushindi wa bao 1-0 walioupata jana jioni dhidi ya Simba katika fainali ya Ngao ya Jamii katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, bao pekee likifungwa na Pacome Zouzoua.

Timu hizo zinatarajiwa kurudiana Septemba 27 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam ambapo mshindi wa jumla atakutana na mshindi kati ya Elgeco Plus ya Madagascar na Silver Strikers ya Malawi.

Follow Us
Istagram
Facebook
Twitter
Youtube

Jifunze SPIN4CASH leo!Zungusha na ushinde hadi TZS MILIONI 4 PAPO HAPO kwa wakala wa Bahati Nasibu ya Taifa aliye karibu...
17/09/2025

Jifunze SPIN4CASH leo!
Zungusha na ushinde hadi TZS MILIONI 4 PAPO HAPO kwa wakala wa Bahati Nasibu ya Taifa aliye karibu nawe.
Wafatilie ili kujua zaidi.

18+. Cheza kistaarabu. ITHUBA ni mwendeshaji rasmi wa Bahati Nasibu ya Taifa.

MICHEZO: Yanga SC imetwaa ubingwa wa Ngao ya Jamii baada ya kuwafunga watani wao Simba SC bao 1-0.Huu ni mchezo wa sita ...
16/09/2025

MICHEZO: Yanga SC imetwaa ubingwa wa Ngao ya Jamii baada ya kuwafunga watani wao Simba SC bao 1-0.

Huu ni mchezo wa sita mfululizo ambao Yanga imepata ushindi dhidi ya Simba.

Follow Us
Istagram
Facebook
Twitter
Youtube

Juma nne ni ya Hit Boy   hapa  kwenye   Follow UsIstagram Facebook  Twitter  Youtube
16/09/2025

Juma nne ni ya Hit Boy hapa kwenye

Follow Us
Istagram
Facebook
Twitter
Youtube

16/09/2025

TZS BILIONI 2.7 iko kwenye gurudumu!
Cheza SPIN4CASH kuanzia TZS 1,000 pekee kwa kupiga *149*88 # au wakala yeyote wa Bahati Nasibu ya Taifa.
Wafatilie ili kujua zaidi.

18+. Cheza Kistaarabu. ITHUBA ni mwendeshaji rasmi wa Bahati Nasibu ya Taifa.

15/09/2025



Kwenye mpangaji auza nyumba aliyoachiwa kuisimamia na kukimbia.

Follow Us
Istagram
Facebook
Twitter
Youtube

HABARI: Wananchi wa Kijiji cha Mihumo, kilichopo Kata ya Mihumo, Wilaya ya Liwale Mkoani Lindi, wamemkataa mwenyekiti wa...
15/09/2025

HABARI: Wananchi wa Kijiji cha Mihumo, kilichopo Kata ya Mihumo, Wilaya ya Liwale Mkoani Lindi, wamemkataa mwenyekiti wao wa kijiji wakidai kutokuwa na imani nae kutokana na utendaji wake wa kazi ambao wamedai hauruhusu maendeleo ya kijiji hicho kusonga mbele.

Katika mkutano wa hadhara uliofanyika Kijijini hapo, Septemba 14,2025 wananchi wameeleza kutoridhishwa na namna mwenyekiti huyo anavyosimamia shughuli za kijiji, wakimtuhumu kwa kutokuwa na uwazi katika matumizi ya fedha, kushindwa kushirikisha wananchi katika maamuzi muhimu, pamoja na kutowajibika ipasavyo katika majukumu yake ya kila siku.

Akizungumza baada ya kusikiliza malalamiko ya wananchi, Afisa Tarafa wa Tarafa ya Liwale Mjini Hasan Selemani akatoa agizo la siku 60 kwa ajili ya kufanyika uchunguzi wa kina juu ya tuhuma zinazomkabili mwenyekiti huyo.

Aidha, alieleza kuwa hatua hiyo inalenga kuhakikisha haki inatendeka kwa pande zote mbili, na iwapo tuhuma zitathibitika, hatua za kisheria zitachukuliwa.

Follow Us
Istagram
Facebook
Twitter
Youtube

BURUDANI: Kutoka kwenye kiwanda cha production Tanzania anaitwa Producer  usikose kusikiliza   The vibe show.Follow UsIs...
15/09/2025

BURUDANI: Kutoka kwenye kiwanda cha production Tanzania anaitwa Producer usikose kusikiliza The vibe show.

Follow Us
Istagram
Facebook
Twitter
Youtube

MICHEZO: Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania limemteua mwamuzi wa kati Ahmed Arajiga kuchezesha mechi ya ngao ya jamii...
15/09/2025

MICHEZO: Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania limemteua mwamuzi wa kati Ahmed Arajiga kuchezesha mechi ya ngao ya jamii kati ya Yanga na Simba.

Mechi hiyo itachezwa Septemba 16, 2025 saa 11 jioni katika uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es salaam.

Follow Us
Istagram
Facebook
Twitter
Youtube

Address

Wailes
Lindi

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mashujaa FM posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Mashujaa FM:

Share

Category