Habari Za Nyarugusu CAMP

Habari Za Nyarugusu CAMP Ukurasa unaotoa taarifa za Kambini Nyarugusu kwa sekta zote. Kuna wakati tunaenda kitaifa & kimataifa

😩  : Video na picha za zaidi ya Wanawake 10 wa kundi la Mamans de Valeur zavuja na kusambaa NyarugusuPichani ni baadhi y...
15/12/2025

😩 : Video na picha za zaidi ya Wanawake 10 wa kundi la Mamans de Valeur zavuja na kusambaa Nyarugusu

Pichani ni baadhi ya picha za utupu za wanawake wa kijiji cha P1 wa kundi Mamans de Valeur zilizonaswa na kuanza kusambazwa tangu mwishoni mwa mwezi wa 11 atika kambi ya Nyarugusu wilayani Kasulu mkoani Kigoma.

Picha na video zingine za wanawake 8 wa kundi hilo la Mamans de Valeur zilizotumwa kwetu zitatupwa hapa k**a njia ya kufichua madudu yao hasa pale walivyo wake za wanaume.

Kati ya picha na video hizo, kuna za wanawake wa klasta ya 1, 2, 3, 4, 5, 8 na ya 9 ya kijiji cha P1 na zingine za wanawake wa kundi hilo waishio katika vijiji vingine k**a L1 na kadhalika.

Wanavijiwe wengi walioona picha hizo wamesikitishwa kuona picha na video za utupu za wanawake waliokuwa wameonekana wanajiheshimu kumbe ni changudoa wa kutupa na ambao hawafai kuitwa wake za watu.
..✍🏼Mwaga wino kutupa maoni yako kuhusu jinsi tabia hii chafu inayohashiria kumomonyoka kwa maadili yetu itakavyokomeshwa.

😭 : Mwanamke mwengine raia wa Fizi afariki huko KentuckyJamaa ya Bashim'muma nyumba ya Mlea - Byendo inayo masikitiko ma...
14/12/2025

😭 : Mwanamke mwengine raia wa Fizi afariki huko Kentucky

Jamaa ya Bashim'muma nyumba ya Mlea - Byendo inayo masikitiko makubwa ya kutangaza kifo cha bibi yao na mama yao Leontina Mawazo wa jamaa ya Basango aliyefariki usiku wa kuamkia Jumapili hii Desemba 14, 2025 kwenye hospitali moja ya rufaa huko mjini Kentucky nchini Marekani.

Chanzo chetu kimesema kuwa, Bi. Leontina aliyekuwa mke wa pili wa marehemu Saidi 'Yolondjwa amefariki baada ya kusumbuliwa na ugonjwa wa Kansa iliyomsababishia presha na magonjwa mengine yaliyomfikisha kwenye mauti.

Hivyo ndivyo jinsi Bi. Leontina aliyeacha zaidi ya watoto 4, wajukuu 20 na vitukuu wasiopungua 15 na ambaye msiba wake ukiwa umewekwa nyumbani kwa Mzee Mwala katika klasta ya 7 ya kijiji cha P1 huku mpango wa mazishi yake ukitajwa kutangaza baadaye.

Uongozi wa ukurasa huu unatoa pole kwa ndugu, jamaa na marafiki pamoja na wakaaji wa kijiji cha P1, Mungu azidi kuwafariji na kumpumzisha Bi. Leontina kwa amani, amina!

01/12/2025
😭 : Picha inayoonyesha jinsi mguu wa Mchungaji na mkaaji wa kijiji cha G2 ulivyovunjwa na mti hadi kumsababishia umauti....
26/11/2025

😭 : Picha inayoonyesha jinsi mguu wa Mchungaji na mkaaji wa kijiji cha G2 ulivyovunjwa na mti hadi kumsababishia umauti.

Tunaomba samahani kwa wale watakaoumia kwa kuona picha hiyo.

😭 : Mchungaji na mkaaji wa kijiji cha G2 afariki masaa chache baada ya kuangukiwa na mti  Pichani ni Mchungaji na mkaaji...
26/11/2025

😭 : Mchungaji na mkaaji wa kijiji cha G2 afariki masaa chache baada ya kuangukiwa na mti

Pichani ni Mchungaji na mkaaji wa kijiji cha G2, zone ya 2 aliyefariki asubuhi ya Jumatano hii novemba 26, 2025 kwenye hospitali kuu ya kambini, wilayani Kasulu mkoani.

Mmoja wa wakaaji wa chetu kijiji cha E2 aliyetutumia picha hizi (ona picha) wakati alipokuwa kijijini G2 ambaye hajataka jina lake litajwe amesema; "Huyo mwenye nakutumia picha zake hapo alikuwa Mchungaji, kwake ni mu G2. Alifariki hii asubuhi baada ya kuangukiwa na mti ulioagushwa kwa upepo wa usiku wa jana."

Mmoja kati ya Wataalam wa afya waliompokea marehemu alisema kuwa, Mchungaji asingepona kutokana na damu nyingi zilizomvuja kwenye mguu uliovunjwa na mti (ona picha kwenye chapisho la pili) huku chumba cha kuhifadhia damu hospitalini kikiwa hafifu.

Hivyo ndivyo jinsi Mchungaji huyo ambaye jina lake halijafahamika alivyofariki ambapo watu wa familia walianza kukutana mapema asubuhi nyumbani kwa marehemu ili kuandaa kwa ajili ya mipango ya mazishi na mwendelezo wa msiba wa mpendwa wao.

Uongozi wa ukurasa huu unatoa pole kwa ndugu, jamaa, marafiki na kwa wakaaji wa kijiji cha G2 pamoja na waumini wa kanisa la marehemu Mchungaji. Mungu azidi kuwafariji na kumpumzisha Mchungaji kwa amani, amina.

⚽ : Timu ya watu wa Fizi imekiona cha moto kwenye UEFA Champions League :Chelsea 3️⃣ - 0️⃣ Barcelona.. ✍🏼 Njoo na kalamu...
25/11/2025

⚽ : Timu ya watu wa Fizi imekiona cha moto kwenye UEFA Champions League

:
Chelsea 3️⃣ - 0️⃣ Barcelona
.. ✍🏼 Njoo na kalamu ya chuma kwenye maoni kutuambia uchambuzi wako kwa faida ya wote ndani na nje ya Kambi ya Nyarugusu.

⚽ : Moja kati ya timu hizi 2 ndio itakayokutana na timu ya taifa ya DRC πŸ‡¨πŸ‡© kwenye mchuano wa mwisho kuwania kushiriki ko...
21/11/2025

⚽ : Moja kati ya timu hizi 2 ndio itakayokutana na timu ya taifa ya DRC πŸ‡¨πŸ‡© kwenye mchuano wa mwisho kuwania kushiriki kombe la Dunia 2026

Wengi wamekuwa wakiniuliza in box kutaka kufahamu timu ambayo timu ya taifa ya DRC πŸ‡¨πŸ‡© itakutana nayo kwenye hatua ya mwisho ya play-off kwa kuwania kushiriki kombe la Dunia 2026.

Ukweli ni kwamba, kwenye mchezo wake wa mwisho unaoratiboshwa kupigwa mwezi machi 2026, timu ya taifa ya DRC πŸ‡¨πŸ‡© itakutana na moja kati ya timu ya taifa ya Jamaica na ile ya Caledonia iliyosajiliwa na FIFA mwaka wa 2004.

Baada ya ngoma hiyo kali inayosubiriwa kukodolewa macho na dunia nzima, mshindi kwa mechi hiyo atakuwa amehikatia chapu bila mizengwe tiketi ya kushiriki kombe la dunia.

πŸ˜‚ Tumeamua tuwatumie picha za vikosi vyote ili muanze kutoa majina ya wachezaji tishio tutakaoanza kuwaloga mapemaa πŸ˜‚πŸ˜‚
Majina yasikose kupelekwa kwa Mama Waro na MizigindiπŸ˜‚
.. ✍🏼 Watoto wa Fatshi Béton, mwasemaje kuhusiana na mechi hiyo ya kutisha inayosubiriwa k**a hamu kubwa?

πŸ›‘ : Nvua kali iliyonyesha leo yasababisha majanga ya paa za nyumba na za shule kuruka na watu 3 kupigwa na radi huku nyu...
20/11/2025

πŸ›‘ : Nvua kali iliyonyesha leo yasababisha majanga ya paa za nyumba na za shule kuruka na watu 3 kupigwa na radi huku nyumba zingine zikiripotiwa kujaa maji

Paa za zaidi ya nyumba 20 na za shule 2 kuruka huku zaidi ya nyumba zingine 15 zikiripotiwa kujaa maji ndio matokeo ya nvua kali iliyonyesha Alhamisi hii Novemba 20, 2025 katika kambi ya Nyarugusu iliyopo wilayani Kasulu mkoani Kigoma.

Vijiji vilivyoathiriwa zaidi na nvua hiyo kali ambayo ni ya kwanza kuja kwa kishindo tangu msimu huu wa nvua kuanza ni pamoja vijiji vya A1, D1, G1, baadhi ya vijiji vya zone ya 11 na vya zone ya 14 ambako paa za nyumba zisizopungua 20 zimeripotiwa kuruka na nyumba zingine kuanguka huku paa ya jengo ya shule ya msingi Uhuru ya Q1 na ya shule ya sekondari CharitΓ© nazo zikirushwa.

Kungineko ni katika vijiji vya U1, V1, VA, VB, VC, VD, VE, VF, VG, VH na VI vipatikanavyo kwenye zone ya 6 ambako maji yameripotiwa kuingia kwenye nyumba zisizopungua 20 na kuharibu baadhi ya vitu hususan chakula; hali ambayo inazidi kuongeza wasiwasi kwa waomba hifadhi wapatikanao maeneo hayo.

Taarifa nyingine isiyo rasmi ambayo imetufikia imesema kuwa watu watatu wa familia moja akiwemo msichana na kaka zake wawili wamepigwa na radi katika kijiji cha Q1 ambapo mpaka sasa taarifa kuhusu maendeleo yao bado kutolewa.
.. ✍🏼 Kwa kuwa bado hizi ni taarifa za mapema, njoo kwenye maoni kutuambia kilichojiri kwenye zone yako ao kijijini kwako kuhusiana na nvua hii kali iliyonyesha na kuharibu vitu vingi.

⚽ : Fiston Mayele wa DRC ajinyakulia tuzo muhimu kwenye sherehe za CAF Awards 2025Mshambuliaji wa timu ya taifa ya DRC πŸ‡¨...
19/11/2025

⚽ : Fiston Mayele wa DRC ajinyakulia tuzo muhimu kwenye sherehe za CAF Awards 2025

Mshambuliaji wa timu ya taifa ya DRC πŸ‡¨πŸ‡© anayesakata gozi la kukata na shoka huko Misri, Fiston Kalala Mayele amepewa usiku huu tuzo ya Interclub player of year (meilleur joueur Interclubs de l'annΓ©e) Barani Afrika mwaka 2025.

Na klabu yake ya Pyramids FC imechaguliwa kuwa klabu ya mwaka huu wa 2025...✍🏼 Mwaga wino kutupa maoni yako ikiwa kuna uonevu wowote kuhusiana na tuzo hiyo aliyopewa Fiston Kalala Mayele wa DRC πŸ‡¨πŸ‡©.

😭  KUSINI: Pichani ni Prosper Poloshi aliyewayi kuwa mlinda mlango wa timu ya Red Cross na mwanafunzi kwenye shule ya se...
19/11/2025

😭 KUSINI: Pichani ni Prosper Poloshi aliyewayi kuwa mlinda mlango wa timu ya Red Cross na mwanafunzi kwenye shule ya sekondari Amani kambini Lugufu ambaye aliaga dunia tangu mida ya alhasiri ya hiyo Jumanne Novemba 18, 2025 huko Cap Town nchini Afrika Kusini

Tunatoa mkono wa pole kwa ndugu, jamaa na marafiki na kwa wachezaji wa Red Cross pamoja na wanafunzi wa Institut Amani. Mungu azidi kuwafariji na kumpumzisha marehemu kwa amani, amina!

😭 : Mchezaji wa zamani wa AB3 Abeilles Boban akutwa mapema asubuhi ya Jumanne hii novemba 18, 2025 akiwa amefariki huku ...
18/11/2025

😭 : Mchezaji wa zamani wa AB3 Abeilles Boban akutwa mapema asubuhi ya Jumanne hii novemba 18, 2025 akiwa amefariki huku akikutwa na jeraha kichwani k**a aliyepigwa kitu kizito kichwani

😭 : Mama mzazi wa mchezaji wa zamani wa Bilombe aaga dunia kambini ManatanJamii ya wakongomani waishio Msumbiji inayo ma...
17/11/2025

😭 : Mama mzazi wa mchezaji wa zamani wa Bilombe aaga dunia kambini Manatan

Jamii ya wakongomani waishio Msumbiji inayo masikitiko makubwa ya kutangaza kifo cha aliyekuwa mke wa Mzee E***o ajulikanaye kwa jina la Bi. Pili wa kabila la Wazoba aliyeaga dunia jioni ya hiyo Jumapili novemba 16, 2025 katika kambi ya Manatan nchini Msumbiji.

Chanzo chetu cha siri kuhusiana na taarifa hii kimesema kuwa Bi. Pili ambaye ni mama mzazi wa MBECHA E***O aliyekuwa mchezaji wa zamani wa GHI1 Bilombe anatajwa kufariki kwa ugonjwa wa Kisukari uliomsumbua kwa miaka ya kutosha.

Hivyo ndivyo jinsi Bi. Pili aliyekuwa mkaaji klasta ya 7 ya kijiji cha G1, zone ya 3 kabla ya kuhamia huko Msumbiji alivyofariki huku mazishi yake yakipangwa kufanyika Alhamisi ila mahali ambako msiba wake ulipowekwa huko kambini Nyarugusu bado kujulikana.

Uongozi wa ukurasa huu unatoa pole kwa ndugu, jamaa na marafiki pamoja na wakaaji wa kijiji cha G1 kwa kumpoteza mpendwa wao, Mungu azidi kuwafariji na kumpumzisha marehemu kwa amani; amina.

Address

Nyarugusu
Makere

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Habari Za Nyarugusu CAMP posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share