fmmanyara

fmmanyara Fm Manyara Radio ni moja ya Redio Bora inayopatikana Mkoani Manyara wilayani Babati . Kwere Street

Je, unajua Serikali imejipangaje kuhakikisha Watanzania wanatumia nishati safi ya kupikia?‎‎Usikose Kipindi Maalum cha T...
01/08/2025

Je, unajua Serikali imejipangaje kuhakikisha Watanzania wanatumia nishati safi ya kupikia?

‎Usikose Kipindi Maalum cha Tunza Dunia kitakachoruka Jumamosi | 2 Agosti 2025 kupitia vyombo takribani 25 vya habari kote nchini ambapo Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Mashaka Biteko atafafanua kwa kina kuhusu Utekelezaji wa Mkakati wa Matumizi ya Nishati Safi Tanzania – akiangazia juhudi, mikakati na hatua zinazochukuliwa na Serikali.

‎Powered by : Mainstream Media Limited



Usikose kusikiliza kipind hiki
25/07/2025

Usikose kusikiliza kipind hiki





Usipange kukosa!!
16/07/2025

Usipange kukosa!!



Mwenge wa uhuru umezindua Nishati safi ya ya Kupikia na klabu ya wapinga Rushwa katika shule ya sekondari ya wasichana M...
15/07/2025

Mwenge wa uhuru umezindua Nishati safi ya ya Kupikia na klabu ya wapinga Rushwa katika shule ya sekondari ya wasichana Manyara, ambapo Kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru kitaifa Ismail Ally Ussi, amesema amefurahishwa na mradi huo.

Ussi amesema uwepo wa mradi huo mkubwa ni juhudi zinazofanywa na Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dokta Samia Suluhu Hassan , katika kuhakikisha Taasisi zenye idadi zaidi ya watu 100 wanatumia Nishati safi ya Kupikia Ili kuweka mazingira katika hali ya usalama.

Akitoa taarifa ya mradio huo mkuu wa shule ya wasichana ya Manyara Gisela Msofe , amesema mradi huo umegharimu zaidi ya shilingi milioni 21 ambapo unahamasisha wananchi kutumia nishati safi na kuepukana na matumizi ya mkaa na kuni.

Usikose kufuatilia !!
01/07/2025

Usikose kufuatilia !!


Ni upi mchango wa vyama vya siasa katika kuwasaidia wanawake kugombea nafasi za uongozi
30/06/2025

Ni upi mchango wa vyama vya siasa katika kuwasaidia wanawake kugombea nafasi za uongozi



Mada- nafasi ya mwanamke katika uongozi, inavyosaidia kuondokana na Mila potofu katika jamii.
21/06/2025

Mada- nafasi ya mwanamke katika uongozi, inavyosaidia kuondokana na Mila potofu katika jamii.




Usikose kufuatilia 92.3 Fmmanyara
10/06/2025

Usikose kufuatilia 92.3 Fmmanyara

Je? Mazingira ya familia zetu ni rafiki Kwa malezi ya watoto wa miaka 0-8?
06/06/2025

Je? Mazingira ya familia zetu ni rafiki Kwa malezi ya watoto wa miaka 0-8?





Usikose kufuatilia kipindi Cha nguzo an’gavu, jumamosi hii ya may 24 kuanzia saa 10:15  Hadi saa 10:45 .Tutakuwa na mada...
23/05/2025

Usikose kufuatilia kipindi Cha nguzo an’gavu, jumamosi hii ya may 24 kuanzia saa 10:15 Hadi saa 10:45 .

Tutakuwa na mada isemayo : nafasi ya mwanamke katika uongozi inavyosaidia kuondokana na Mila potofu, tuma ujumbe mfupi tutausoma ndani ya kipindi, usikose


Wasanii mkoani Manyara na nchini kwa ujumla  wametakiwa kujisajili katika Baraza la sanaa la Taifa (BASATA) ili kutambul...
16/05/2025

Wasanii mkoani Manyara na nchini kwa ujumla wametakiwa kujisajili katika Baraza la sanaa la Taifa (BASATA) ili kutambuliwa na Tasisi hiyo na kupatiwa cheti cha sanaa pamoja na kupata fursa zitokanazo na sanaa .

Afisa kutoka BASATA Filipo Mkemwa, amesema hayo wakati akiongea na fm Manyara , amesema kila msanii anapaswa kujisajili ili kutambuliwa na Baraza hilo ili awe na uhuru wa kufanya kazi sehemu yeyote ndani na nje ya nchi.

Kwa upande wake afisa sanaa kutoka BASATA Dalianus Mtembei amesema kuna makundi matatu ambayo yanatambuliwa na BASATA ikiwemo sanaa ya muziki, sanaa ya ufundi , na sanaa ya maonyesho ambapo amesema kwa sasa Taasisi hiyo imeendelea kuboresha mifumo ya usajili kupitia online popote alipo na mfumo kumtambua alipo na sanaa anayo ifanya.

Heri ya sikukuu ya wafanyakazi kwa watanzania wote
01/05/2025

Heri ya sikukuu ya wafanyakazi kwa watanzania wote

Address

Kwere, Babati
Manyara

Telephone

+255689727210

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when fmmanyara posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to fmmanyara:

Share

Category