Habari 254tv

Habari 254tv Kisiwa Cha Burudani. Subscribe YOUTUBE
>> 254
>> News And Entertainment
(1)

Kikosi Cha The Harambee Stars Tulikielekea Fainali Za Mwisho Za Kufuzu   Dhidi Ya Mataifa Ya Burundi Na Ivory Coast  Okt...
26/09/2025

Kikosi Cha The Harambee Stars Tulikielekea Fainali Za Mwisho Za Kufuzu Dhidi Ya Mataifa Ya Burundi Na Ivory Coast Oktoba 9 Na 14 Mtawalia !

Subscribe Upate Uhondo Zaidi BongaTube Media / Habari 254tv / Swahili 003

Chapisho La JOHN HECHE Kwenye Mtandao Wa X
25/09/2025

Chapisho La JOHN HECHE Kwenye Mtandao Wa X

SIMBU APANDISHWA CHEO BAADA YA MBIO ZA TOKYO !Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, Jenerali Jacob Mkunda amempandisha cheo Alphonc...
25/09/2025

SIMBU APANDISHWA CHEO BAADA YA MBIO ZA TOKYO !

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, Jenerali Jacob Mkunda amempandisha cheo Alphonce Simbu kutoka Sajini na kuwa Sajini Taji, baada ya kushinda medali ya dhahabu katika Mashindano ya Mbio Ndefu ya Dunia jijini Tokyo, Japan.

Jenerali Mkunda ametoa rai kwa maafisa na askari wote jeshini kufanya kazi kwa bidii na kuleta mafanikio katika kila idara jeshini.

Picha/Kwa Hisani

25/09/2025

Ak**atwa Baada Ya Kamera Kumnasa Akidhalilisha Bendera Ya Taifa La Kenya Katika Uwanja Wa Nyayo Stadium , Nairobi . Idara Ya Polisi Inasema Wanamtafuta Mwenzake Ambaye Yuko Mafichoni !

23/09/2025

Mapokezi Ya Wanariadha Wakenya Baada Ya Kung'ara Katika Mbio Za Tokyo 2025 !

Subscribe Kwa BongaTube Media Na Habari 254tv/Swahili 003

23/09/2025

SALAM SK AFUNGUKA NA KUWEKA WAZI MMILIKI WA WASAFI FM !

23/09/2025
22/09/2025

Kocha wa Taifa Stars Hemed Suleiman "Morocco" ndiye kocha wa muda katika klabu ya Simba SC baada ya mkufunzi mkuu Fadlu David kuachana na miamba hao katika mazingira tatanishi.

Habari 254tv

Orodha ya Mashahidi wa Mwenyekiti Wa CHADEMA Tundu Lissu !1.Mhe. Samia Suluhu Hassan – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Ta...
22/09/2025

Orodha ya Mashahidi wa Mwenyekiti Wa CHADEMA Tundu Lissu !

1.Mhe. Samia Suluhu Hassan – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
2.Mhe. Philip Mpango – Makamu wa Rais
3.Mhe. Kassim Majaliwa – Waziri Mkuu
4.Jenerali Wambura – Mkuu wa Jeshi
5.Ramadhani Kingai – Kamanda wa Polisi
6.Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa na Ujasusi (jina halijulikani)
7.Ramadhani Nganzi – Naibu Mkuu wa Jeshi la Polisi
8.Agatha Atuhaire – Mwandishi wa habari aliyetekwa nyara na kuteswa
9.Boniface Mwangi – Mwanaharakati kutoka Kenya
10.John Maro – Mkurugenzi wa Jambo TV
11.Amani Golugwa – Naibu Katibu Mkuu na anajua kuhusu kuitishwa kwa mkutano husika
12.John Wegesa Heche – Makamu Mwenyekiti na Anayejua mwenendo na mahali tulipokuwa hadi kuk**atwa Aprili 9
13.John Mnyika – Katibu Mkuu wa CHADEMA
14.Jaji Mstaafu W***y Mutunga – Nairobi, Kenya
15.Martha Karua – Mwanasiasa na Wakili, Nairobi, Kenya

TUNDU LISSU KUENDELEA KUSOTA GEREZANI !Mahak**a Kuu, Masjala Ndogo Dar es Salaam imetupilia mbali hoja zote za pingamizi...
22/09/2025

TUNDU LISSU KUENDELEA KUSOTA GEREZANI !

Mahak**a Kuu, Masjala Ndogo Dar es Salaam imetupilia mbali hoja zote za pingamizi la Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu kuhusiana na ubatili wa hati ya mashtaka.

Lissu, ambaye anakabiliwa na mashtaka ya uhaini, alidai kuwa hati ya mashtaka ni batili kwa kuwa haioneshi maelezo ya kosa wala nia ya kutenda kosa la uhaini ambayo ni viini muhimu katika hati ya mashtaka.

Kwa mujibu wa gazeti la Mwananchi, katika uamuzi uliotolewa leo Jumatatu, Septemba 22, 2025 uliosomwa na kiongozi wa jopo la majaji, Jaji Dunstan Ndunguru - imesema baada ya kupitia hati hiyo imeridhika ipo sahihi, kwani inatoa maelezo ya kosa k**a sheria inavyoelekeza.

Pia, imeeleza kuhusu suala la nia ya kutenda kosa la uhaini hilo ni suala la ushahidi unaotarajiwa kuwasilishwa.

NILILISHWA SUMU BILA SAMIA NINGEKUFA! Mgombea ubunge wa Arusha Mjini kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda, am...
21/09/2025

NILILISHWA SUMU BILA SAMIA NINGEKUFA!

Mgombea ubunge wa Arusha Mjini kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda, amekiri kuwahi kulishwa sumu hali iliyomsababishia kulazwa hospitalini na kutoonekana hadharani.

Makonda amefichua siri hiyo leo Jumapili, Septemba 21, 2025, wakati wa ibada katika Kanisa la Mbingu Duniani lililopo Njiro, Arusha, akisema si mara yake ya kwanza kulishwa sumu na kwamba amenusurika kifo mara kadhaa.

“Kuna kipindi nilipotea nikaanza kutafutwa, na wengine mlinitafuta kwa nguvu kubwa huyu yuko wapi. Ukweli nilikuwa naumwa, nililishwa sumu,”

“Yasingekuwa maombi ya Watanzania na Mungu kumuinua Rais Samia Suluhu Hassan kusimamia matibabu yangu nilitakiwe nife mwaka jana,” amesema Makonda.

21/09/2025

FT: Arsenal 1-1 Manchester City

Msimu kukamilika bila kombe mashabibiki hawatamuelewa... timu imekamilika.

Habari 254tv

Address

Masaki
00625

Telephone

+254704000104

Website

https://www.youtube.com/@habari254

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Habari 254tv posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Habari 254tv:

Share