MCB powerful of success and strength fitness

MCB powerful of success and strength fitness Home of entertainment rewind yourself

Kutana na mchezaji ghali kinda wa soka yamal lamine wa Bei ya jion ni kiraka haswa katika tasnia ya soka la comedy na fo...
23/07/2025

Kutana na mchezaji ghali kinda wa soka yamal lamine wa Bei ya jion ni kiraka haswa katika tasnia ya soka la comedy na football kwa ujumla anafaa kucheza namba zote

09/06/2025

Kwa MBEYA City Council FC – Nimetambuliwa sasa hivi k**a mmoja wa mashabiki wake bora!

Kwa MBEYA City Council FC – Nimetambuliwa sasa hivi k**a mmoja wa mashabiki wake bora!It's time for purple nation  ABHAN...
09/06/2025

Kwa MBEYA City Council FC – Nimetambuliwa sasa hivi k**a mmoja wa mashabiki wake bora!

It's time for purple nation
ABHANITU ABHAPAKAYA MMATUBHUKE TUKAKOMI MBOMBO KUKILE BHANITU
Komaa lyendekhe ,,, POAPA YAPILE INDWANGA KYASYELE IKYAKA .....
Ngomeluumundu ..

Katika ramani ya soka la Tanzania, Mbeya City FC si jina la kawaida tena. Ni hadithi ya mafanikio ya haraka, ndoto za vi...
06/06/2025

Katika ramani ya soka la Tanzania, Mbeya City FC si jina la kawaida tena. Ni hadithi ya mafanikio ya haraka, ndoto za vijana, na nguvu ya jamii inayounga mkono ndoto kupitia mchezo wa mpira wa miguu.

⏳ Ilianzishwa rasmi mnamo 25 Agosti 2011, Mbeya City Football Club ni klabu ya kipekee inayomilikiwa na Halmashauri ya Jiji la Mbeya. Ilianzishwa kwa malengo ya kijamii na kimichezo kukuza vipaji vya vijana, kuhamasisha ushiriki wa jamii kwenye michezo, na kuifanya Mbeya kuwa miongoni mwa majiji ya michezo yenye hadhi kitaifa.

🏟 Uwanja wao wa nyumbani ni Sokoine Stadium, jukwaa la historia, mapambano na burudani halisi ya soka. Hapa ndipo mashabiki wa ‘Jacaranda Warriors’ hukusanyika kwa shauku na moyo wa kizalendo kushuhudia mechi za nyumbani.

📈 Rekodi na Mafanikio Muhimu:

✅ 2013/2014 Mbeya City FC ilivunja rekodi kwa kumaliza msimu wake wa kwanza Ligi Kuu Bara katika nafasi ya tatu, ikiwa na alama 49. Kwa klabu changa, hii ilikuwa ni ishara ya uwezo, nidhamu na benchi bora la ufundi.

✅ 2024/2025 Wakiwa wanashiriki Ligi Daraja la Kwanza (NBC Championship League), walimaliza nafasi ya pili kwa alama 68, nyuma kidogo ya Mtibwa Sugar iliyomaliza na 71. Wamerudi tena kwenye Ligi Kuu wakiwa na morali, umoja na nguvu mpya.

🎽 Utambulisho wa Klabu:

Mbeya City FC inafahamika kwa jezi zao za rangi ya zambarau na nyeupe, rangi zinazowakilisha utulivu, heshima na uimara wa fikra. Ni moja ya klabu chache zinazoendesha mpira kitaasisi kwa misingi ya kiserikali lakini zenye ushindani wa kibiashara.

Mashabiki wamekuwa wakijiita kwa majina k**a:

Green City Boys kutokana na asili ya jiji la Mbeya lililojaa mandhari ya kijani.

Purple nation, kutokana na nguvu yao uwanjani na uhodari wa kiufundi.
Wagonga Nyundo, kutokana na namna ambavyo wamekuwa wakipata ushindi kwenye michezo yao.

Mbeya City FC ni zaidi ya klabu ni harakati ya kijamii, ni dira ya maendeleo ya michezo, na ni mfano wa mafanikio yanayowezekana pale jamii inapojitokeza kuunga mkono vipaji.
The return of ch

 Klabu ya Al Ahly SC ya misri imeachana rasmi na kocha wake mkuu wa kikosi hicho Marcel Koller baada ya kuondoshwa na ma...
29/04/2025


Klabu ya Al Ahly SC ya misri imeachana rasmi na kocha wake mkuu wa kikosi hicho Marcel Koller baada ya kuondoshwa na mamelod sundowns kwenye mashindano ya klabu bingwa usiku wa Jana baada ya mchezo kumalizika mashabiki wa Al Ahly walimpiga na chupa za maji akaondoka uwanjani akiwa hoi.

Ikumbukwe Jana hiyo hiyo pia Kocha Mokwena aliyekuwa Kocha wa Mamelodi Sundowns FC nae alitimuliwa wydad Casablanca na sasa ni zamu ya Kocha wa Al Ahly hly .... Mamelody ndo wameotesha nyasi kibarua chake.

Mmasai & msukuma watu peace sana ukiishi na vizuri Ukiwa maeneo k**a ya zenjii kawaida miongoni mwabiashara za haraka ni...
11/04/2025

Mmasai & msukuma watu peace sana ukiishi na vizuri

Ukiwa maeneo k**a ya zenjii kawaida miongoni mwabiashara za haraka ni kuuza kanzu na barakashia ukiwa shinyanga mashuka ya kisukuma na Masai lazima ya husike kiasi chake kwenye soko lao harikadharika ukicha mbeya chunya Korner za machimbo sululu na chepe kwa hardware Yako nisehem ya biadha muhimu yote kwa yote nikwasababu ya mifumo ya maisha katika kila eneo , ukitembea usukumani maeneo ya intilia kabsa huko utaonekana k**a waajabu ikiwa utaonekana unatembeza biblia ama vitabu vyashule kwasababu kizazi kilichopo nikizazi kilichojaa mawazo ya uchungaji mifugo, kulima tumbaku na maisha ya kawaida ila chakushangaza huyo huyo msukuma na Mamsai kakimbia nyumban kwenda kuuza urembo nchi ya mbali any way maisha k**ali . 😁😁😁😁⚖️
Maisha ya nyuma kidgo ili niadim sana ukamkuta msuma muislam au mkristo lakin saiz msukuma ama mmasai amebadilika sana watanzania muwatoa hao watu kuwaona k**a kivutio Cha watali ,,,, mana nikawaida sana kusikia walikuwapo watu kumi na Masai mmoko ama msukuma Mmoja kiasi kwamba hata mlengwa mwenyewe kajiengua kwenye kundi la binadam,,**"tuko Masai tuu hapa hapana mutu nyingine mura

Sema nn msukuma unyamwezi mwingi sana wasukuma na Masai watown wote mpoke mauwa yenu watu safi sana UAMINIFU Ni JADI YENU
Sijawahi sikia mmegombana na mtu bila shida

02/04/2025

MAGANDA YA NDIZI MZUZU ( Plantain peels) YANATIBU

🌿 Vidonda vya tumbo/ Stomach ulcer
🌿Asidi au Acid reflux
🌿Mbegu chache / Low s***m count
🌿Vidonda au Wound
🌿Jongo au (gaiti) Gout
🌿kiwango kikubwa cha uzalishaji wa maziwa au High prolactin( hyperprolactinemia)
🌿Mawe kwenye figo / Kidney stones
🌿 tatizo la aleji au mzio / Allergic reactions
🌿Shinikizo la juu la damu au High Blood pressure

Cha kufanya ,katakata maganda hayo vipande vidogovidogo,chemsha kwenye maji kwa dakika 15-20. Kunywa kikombe kimoja asubuhi na kingine jioni kila siku hadi utakapopona.Baadabya wiki moja (siku 14 kapime).

Au kausha juani maganda hayo upate unga wake.utaweka vijiko viwili vya chakula kwenye maji ya moto pamoja na kijiko kimoja cha asali kwenye maji hayohayo ya moto.Kunywa mara 2 kwa siku kila siku.leta mrejesho baada ya siku 14.

Ukipona leta sadaka ya shukurani kwa namba hizi 0744 001 306 au 0675 166 945

Asili huponya

15/03/2025

Address

Mbaliz Mcbboy. Tz@gmail. Com
Mbeya
654123

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when MCB powerful of success and strength fitness posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share