Greencity Tv Online

Greencity Tv Online Karibu
Kituo chako bora cha matangazo Online
Kawa Habari za MICHEZO, BURUDANI, MATUKIO na HISTORIA ungana nasi

TUNAKUA KIDIGITALI

13/12/2025

HISTORIA FUPI YA ALIYEKUWA MBUNGE WA PERAMIHO KUPITIA CHAMA CHA MAPINDUZI CCM MAREHEMU JENISTA MUHAGAMA

Msikilize pia baadhi ya maongezi yake kwenye utendaji wake wa majukumu, akiwa Waziri.

08/12/2025

TAARIFA

Hii ni Channel yako pendwa   Ukitazama tafakuli usisahau ku SUBSCRIBE πŸ‘‡πŸΎπŸ‘‡πŸΎβ˜ΊοΈ
17/11/2025

Hii ni Channel yako pendwa
Ukitazama tafakuli usisahau ku SUBSCRIBE
πŸ‘‡πŸΎπŸ‘‡πŸΎβ˜ΊοΈ

Leo Novemba 17 2025, Taasisi ya Tulia Trust iliyo chini ya Dkt Tulia Ackson ambaye ni Mbunge wa Jimbo jipya la Uyole na Raisi wa Umoja wa Mabunge Duniani...

02/10/2025

TRA MKOA WA MBEYA WATOA ELIMU YA NAMNA AMBAVYO WAFANYA BIASHARA WA MTANDAONI WANAWEZA KUWA SEHEMU YA KUCHANGIA KODI NCHINI.

Elimu hii iliyoambatanishwa na mafunzo ya Matumizi sahihi na salama ya mitandao, pia wamezitaja faida endapo mfanya biashara mtandaoni atazipata endapo atakuwa rasmi katika kulipa kodi.
Faida hizo ni k**a vile
1. Kupata utambulisho wa Kisheria
2. Kuaminika kwa wateja na washirika
3. Kupata Fulsa na Mikopo na Ruzuku
4. Ushiriki katika tenda na wazabuni
5. Kuepuka adhabu za kisheria
6. Kupata alama nzuri ya kikodi
7. Historia ya kifedha iliyowazi
6. Ulinzi wa Biashara yako na
8. Usaidizi wa moja kwa moja kutoka TRA

Pamoja na faida hizo, Meneja wa TRA Mkoa wa Mbeya Bw. Lukas Shaban amesema sasa TRA Mkoa wa Mbeya wameanzisha Dawati maalumu ili kuwasaidia wafanyabiashara wa mtandaoni. Dawati hili linashughulika na elimu pamoja na changamoto zote, ili kuhakikisha kila mmoja anaweza kulipa kodi yake kwa heari na kwa moyo.
Ameongeza kuwa TRA ni rafiki wa mfanya biashara, hivyo kukiwa na jambo lolote la sintofahamu lenye lengo la kudhoofisha ulipaji wa kodi basi fika ofisini mila ipo wazi.

*NIVISHE CAMPAIGN*    *Msimu wa Pili* Tunapokea Mavazi kwaajili ya kuwafikishia wahitaji kwenye Kaya Duni;   1. Nguo na ...
21/09/2025

*NIVISHE CAMPAIGN*
*Msimu wa Pili*

Tunapokea Mavazi kwaajili ya kuwafikishia wahitaji kwenye Kaya Duni;
1. Nguo na Viatu
2. Sabuni na
3. Mafuta ya Kupaka

Kilele cha kampeni hii itakuwa Tar 14 Oktoba 2025, hivyo naomba tuendelee kuhamasishana.

NOTE: USICHOME KWA MOTO HIZO NGUO, WAPATIE HAWA WANAZIHITAJI. MUNGU ATAIPOKEA SADAKA YAKO, UTABARIKIWA HAKIKA.

Kunaweza kujiunga na Group letu la Wasap ama kuja Inbox kwa kutuma Ujumbe "NGUO" kupitia namna hizo hapo chini:
πŸ‘‡πŸΎπŸ‘‡πŸΎ
0742 315 086 na
0742 116 359

# β˜ΊοΈπŸ™πŸΎ

19/09/2025

WAMZI COSMETICS MBEYA utaipata hii Sabuni inayoitwa GLOW SOAP ☎️0742 116 359

Address

Mbeya

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Greencity Tv Online posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Greencity Tv Online:

Share