Nicodem Ambokile

Nicodem Ambokile Sports news

DEAL DONE:✅ Klabu ya Azam Fc imethibitisha kukamilisha usajili wa mshambuliaji Muhsin Malima mwenye umri wa miaka 24 aki...
07/07/2025

DEAL DONE:✅ Klabu ya Azam Fc imethibitisha kukamilisha usajili wa mshambuliaji Muhsin Malima mwenye umri wa miaka 24 akitokea Zed Fc inayoshiriki ligi kuu Misri, kwa mkataba wa mwaka mmoja utakaoisha 2026.

🔥🔥🏆🏆 Kocha bora kwa sasa duniani.🏆 Champions League 🏆 Ligue 1 🏆 Coup de France 🏆 French Super Cup 💥 Nusu fainali Club Wo...
05/07/2025

🔥🔥🏆🏆 Kocha bora kwa sasa duniani.

🏆 Champions League
🏆 Ligue 1
🏆 Coup de France
🏆 French Super Cup
💥 Nusu fainali Club World cup.

Luis Enrique na PSG katika msimu wa 2024/2025.

MVP🔥
05/07/2025

MVP🔥

📝 DEAL DONE ✅: Klabu ya Azam Fc imemtambulisha aliyekuwa kocha wa Al Hilal ya Sudan, Florent Ibenge k**a kocha wao mkuu,...
05/07/2025

📝 DEAL DONE ✅: Klabu ya Azam Fc imemtambulisha aliyekuwa kocha wa Al Hilal ya Sudan, Florent Ibenge k**a kocha wao mkuu, akichukua mikoba ya Rachid Taoussi aliyeoneshwa mlango wa kutokea baada ya kutamatika kwa msimu uliopita.

🚨🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 DEAL DONE ✅: klabu ya Chelsea imefanikiwa kunasa Saini ya  Jamie Gittens (20)  kutoka Borussia Dortmund  Kwa da...
05/07/2025

🚨🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 DEAL DONE ✅: klabu ya Chelsea imefanikiwa kunasa Saini ya Jamie Gittens (20) kutoka Borussia Dortmund Kwa dau la £48.5m na nyongeza ya £3.5m.

🚨 DEAL DONE:  Klabu ya Manchester United wametangaza kumsajili Diego Leon kutoka klabu ya Cerro Porteño ya Paraguay.
05/07/2025

🚨 DEAL DONE: Klabu ya Manchester United wametangaza kumsajili Diego Leon kutoka klabu ya Cerro Porteño ya Paraguay.

🚨❤️🤍 DEAL DONE ✅: Kiungo Mshambuliaji fundi, Nico Williams amesaini Mkataba mpya wa Miaka nane ambao utamfanya kusalia K...
04/07/2025

🚨❤️🤍 DEAL DONE ✅: Kiungo Mshambuliaji fundi, Nico Williams amesaini Mkataba mpya wa Miaka nane ambao utamfanya kusalia Klabuni Athletic Bilbao mpaka June 2035.
Kwenye Mkataba mpya Nico Williams amewekewa kipengele cha kuvunja Mkataba wake kwa kutoa Euro Milioni 98.

🚨 DEAL DONE: Gabriel Heinze atakua   msaidizi wa  Mikel Arteta k**a kocha msaidizi wa Arsenal kwa msimu ujao❤️🤍Heinze ra...
04/07/2025

🚨 DEAL DONE: Gabriel Heinze atakua msaidizi wa Mikel Arteta k**a kocha msaidizi wa Arsenal kwa msimu ujao❤️🤍

Heinze raia wa Argentina amekua kocha msaidizi wa Arsenal akichukua nafasi ya Carlos Cuesta ambaye ameondoka na kujiunga na Parma k**a kocha mkuu wa klabu hiyo.

Chamaz Boy✅
04/07/2025

Chamaz Boy✅

Ratiba ya hatua ya mtoano timu za  ya  na  leo Julai 4, 2025.
04/07/2025

Ratiba ya hatua ya mtoano timu za ya na leo Julai 4, 2025.

🚨 RASMI: Paul Pogba atavaa jezi namba 8 katika klabu yake mpya ya Monaco. (Source: )
29/06/2025

🚨 RASMI: Paul Pogba atavaa jezi namba 8 katika klabu yake mpya ya Monaco.

(Source: )

🚨 DEAL DONE : Klabu ya Fenerbahçe inayoshiriki ligi kuu ya Uturuki imefanikiwa kumsajili Jhon Duran kutoka  Al-Nassr  kw...
29/06/2025

🚨 DEAL DONE : Klabu ya Fenerbahçe inayoshiriki ligi kuu ya Uturuki imefanikiwa kumsajili Jhon Duran kutoka Al-Nassr kwa mkataba wa mkopo .

Address

Mbeya

Telephone

+255712441336

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Nicodem Ambokile posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share