Jensen Tv

Jensen Tv Podcast for Entertainment, Interviews, Articles & Reality shows, Celebrities Gallery
For promotion DM or WhatsApp 0764290055

Matukio mbalimbali ya picha kutoka hapa MJ executive Lounge Makongolosi Usiku wa dhahabu Kwa  , hakika msanii wetu anape...
08/07/2025

Matukio mbalimbali ya picha kutoka hapa MJ executive Lounge Makongolosi Usiku wa dhahabu Kwa , hakika msanii wetu anapendwa na tusichoke K*m- support

06/07/2025
UCHAMBUZI WA EP YA MBOSSO "ROOM NUMBER 3"Kwanza kabisa nimpongeze Mbosso   na watu wote ambao walikua nyuma kukamilisha ...
13/06/2025

UCHAMBUZI WA EP YA MBOSSO "ROOM NUMBER 3"

Kwanza kabisa nimpongeze Mbosso na watu wote ambao walikua nyuma kukamilisha project hii hakika mmejua kututendea Haki mashabiki na Wadau wa burudani.

1. JINA LA EP NA COVER
K**a ambavyo yeye mwenyewe amesema kua Room Number 3 sio chumba cha guest Bali ni sehemu ya Tatu ya ukuaji wake. Sehemu ya Kwanza ilikua Yamoto Band, sehemu ya pili ni WCB wasafi na sasa ni Yeye mwenyewe. Kwahiyo kila kitu humu unategemea ukute jinsi gani amekua.

COVER.
Ningekua mwanafasihi ningesema picha inasadifu yaliyomo Ndani, Kwanza ukiangalia Picha utaona watoto wa 3 wa Mbosso, Hii ni kwamba amekua Mwanaume sasa hakwepi majuk*mu yake anayatikiza k**a Baba.

Lakini pia ukiangalia Meza imesheheni vyakula na Matunda huku Mbosso ameshika chupa ya Chai ikiwa na maana Kwamba, Hayo ni Matunda ya mziki wake mpaka kufikia hapa, lakini bado yeye anajuk*mu la kuilisha familia yake k**a Baba.

2. IDADI YA NYIMBO BILA KUSHIRIKISHA MTU.
YES! Yuko sahihi kabisa 100% nyimbo 7 (6+1 bonus Track) k**a kweli amekua basi tunahitaji atuoneshe ukubwa wake, matarajio ya wengi ilikua NI kwamba kwakua mbosso hayuko WCB ana wigo Mpana wa kufanya Collaboration na wasanii wengine ikiwemo kundi lake la Yamoto Band, lakini lazima watu wajue kua huyu ni Mbosso Mkubwa inabidi aoneshe ukubwa wake.

3. NYIMBO BORA.
Katika nyimbo 7 ukimsikiliza mbosso ametumia Melody k**a 2 kwenye ladha mbalimbali za muziki ikiwemo Afro pop, Singeli, Mchiriku nk, ukiangalia Kwa namba mpaka sasa PAWA ndio imepokelewa Kwa ukubwa, lakini Kwa upande wangu Asuman huenda ukawa wimbo Bora wa Singeli, lakini Wimbo wa Nusu saa ni wimbo Bora Sana.

Mwisho.
Hii ni Ep Bora ipeni sikio lakini utunzi na uwasilishaji Bora wa mashairi ulio fanywa humu ni Excellent 👌 👌 nad Dope

By

Jamii zetu zimekua sehemu ya maisha yetu, changamoto za kifedha, magonjwa na k*mpoteza wapendwa wetu vimekua sehemu yetu...
06/06/2025

Jamii zetu zimekua sehemu ya maisha yetu, changamoto za kifedha, magonjwa na k*mpoteza wapendwa wetu vimekua sehemu yetu.

Licha ya haya yote bado zipo baadhi ya asasi zisizo za kiserikali ambazo zimeendelea kufanya matendo ya huruma Kwa Wana jamii. ni miongoni mwa asasi zisizo za kiserikali ambazo zimeendelea kugusa maisha ya wengi Kwa charity.

Wameguswa yatima, Wanafunzi na Watu wanaoishi Katika mazingira magumu.

Jensen Tv inatambua mchango wenu Katika jamii, mzidi kuwagusa wengi.

Pongezi kubwa kwa Fredrik Bundala  Kwa uwekezaji mkubwa alio ufanya kuikuza  .Miongoni mwa Vituo Bora vya habari, buruda...
06/06/2025

Pongezi kubwa kwa Fredrik Bundala Kwa uwekezaji mkubwa alio ufanya kuikuza .

Miongoni mwa Vituo Bora vya habari, burudani na Simulizi basi Simulizi na Sauti wamekua Bora Sana, uharaka WA kuyafikia matukio na uchambuzi yakinifu.

Matukio k**a vita ya Ukraine na Urusi makala za viongozi na kukupa ukweli wa Mambo.

Jensen Tv tunawapa pongezi na kuwatakia mafanikio Zaidi.

Huu ni ukweli usiopingika kua tangu January 2025 Hadi sasa hivi, Mfanyabl biashara na mjasiriamali Stewart Asajile  ndie...
05/06/2025

Huu ni ukweli usiopingika kua tangu January 2025 Hadi sasa hivi, Mfanyabl biashara na mjasiriamali Stewart Asajile ndie mtu mwenye ushawishi Mkubwa zaidi Nyanda za Juu kusini.

1. Kuilinda, kukuza na Kuisimamia brand yake.

Brand ya mavazi ya ( Mbeya Boy na Mbeya Girl) imeendelea kua brand inayouza Zaidi, lakini ni Katika kipindi hiki ambacho ameweza kuirudisha online Media yake

2. Mwendelezo Mzuri.
Hapa naomba tukubaliane wote kwamba ndio show Bora zaidi kuwahi kuandaliwa mkoani Mbeya na mtu wa Mbeya na ikawa kubwa.

Makao makuu ya Mbeya Boy ni Soweto njia inayoelekea shule ya msingi Mwenge.

Kwa kutambua jitihada hizi Basi Tunampa Maua yake na kusema yeye ni Kidume wa Mbeya na aendelee Zaidi.

Licha ya kuwa na changamoto nyingi za Uhuru wa habari nchini na sehemu mbalimbali duniani lakini bado Kuna vyombo mbalim...
04/06/2025

Licha ya kuwa na changamoto nyingi za Uhuru wa habari nchini na sehemu mbalimbali duniani lakini bado Kuna vyombo mbalimbali ambavyo vimeamua kua chanzo sahihi cha habari Katika jamii zako.

iliyopo Mbeya Block T ni Moja Kati ya chanzo cha habari Bora zaidi mtandaoni Kwa nyanda za Juu kusini na sehemu kubwa nchini.

Uchambuzi yakinifu na vyanzo sahihi, habari za siasa Kwa kugusa vyama vyote ikiwemo vyama pinzani.

Kwasasa hakuna kituo Bora kuzidi hawa Baharia TV.

Hongera Sana Kwa kazi nzuri.

Ni ukweli usiopingika kua Miaka k**a mi tano sasa usikikizaji wa Radio Umekua mdogo Sana miongoni mwa wananchi.Ili watu ...
04/06/2025

Ni ukweli usiopingika kua Miaka k**a mi tano sasa usikikizaji wa Radio Umekua mdogo Sana miongoni mwa wananchi.

Ili watu wasikilize radio basi ni lazima uwe vizuri upande wa digital, hapo lazima watu wakusikiliza au uwe na vipindi vikaliiiiii k**a ya E FM chini ya 🤗🤗 vinginevyo itakua radio Yako.

na XXL ya Clouds Fm

Sasa Kwa nyanda za Juu kusini hawana mpinzani Kwa Nyanja zote Mbili.

1. Usikikivu wa Radio na vipindi, nadhani ukifika mkoa wa Njombe sio ajabu kukuta kila sehemu wanasikiliza Kings FM, Wana vipindi Bora Sana vya Habari, Michezo, Burudani na serious Problems.

2. Digital
Ndio radio pekee nyanda za Juu kusini ambayo ukiingia mtandaoni basi wako active Sana wanatoa habari Kwa wakati sahihi na Ku upload video zao zikiwa na Quality Kali Sana.

Lakini sasa hivi ndio Radio ambayo iko karibu Sana na Wadau na jamii nzima ya Njombe na mikoa jirani.

Pongezi kubwa kwenu mzidi kuwa Bora na wateja wazidi kujihisi wafalme.

Baada ya kushuhudia uzinduzi wa hadhi ya nyota 5 pale Midtown Makambako, Star anayetamba na Album yake ya nchini     ana...
04/06/2025

Baada ya kushuhudia uzinduzi wa hadhi ya nyota 5 pale Midtown Makambako, Star anayetamba na Album yake ya nchini anasema sasa kazi ndio imeanza.

Sasa ni zamu ya Chunya na viunga Vyake ratiba iko hivi......

June 6,nazungumzia Ijumaa hii atakuwa kwenye kisima cha burudani Katika wilaya ya Chunya hapa nazungumzia Itumbiiiiiiiiiiii

June 7, Juma mosi, ni Katika uk*mbi wa hadhi ya O2 arena hapa ni MJ Lounge Makongolosi hapa na Mimi nitakuwepo zitasikikizwa zote za kwenye Album na Kali za mda wote.

Halafu Sasa Tarehe 8 Jpili tunaimalizia Ibada Kwa watoto wa Shanta Mbangalaaaaaa
Hapa sasa itadondoshwa burudani yenye hadhi ya Grams kuanzia 900 🥱🥱🥱🥱

Chunya hapa hakuna kulalaaaaaaaaa

Nyote mnakaribishwa........

MAUA YA JENSEN TV KWA Stanley Seba .255Moja Kati ya watu ambao wamefanya watu wengi tuwajue wasanii wa Njombe, Vituo vya...
04/06/2025

MAUA YA JENSEN TV KWA Stanley Seba .255

Moja Kati ya watu ambao wamefanya watu wengi tuwajue wasanii wa Njombe, Vituo vya habari vya Njombe nk, lakini linapokuja suala la Ku support mziki wa Njombe basi jamaa anajua Sana anakupa takwimu za msanii na jinsi ya kuzipata kazi za wasanii.

Nadhanii ukiachana na Balozi Eddo tiger Mnyama basi yeye ni mtu pekee anaweza k*m support msanii hata k**a ana kazi mbovu.

Pia jamaa hajui kuficha k**a unakosea Yuko straight anakwambia. Nadhani ukweli wake ni chanzo cha Watangazaji wengi Njombe kuwa makini na kua na ubunifu zaidi hata Radio za Njombe pia zinaogopa kuingia kwenye 18 zake ukijichanganya Tu ana wewe

Uzinduzi wa album ya B2K Mnyama ulikua Mkubwa ukichagizwa na Support ya Stanley na B2K anajua Hilo, Ulikua ukipita groups mbalimbali Facebook lazima ukute Seba anak*mbusha na kukupa Sababu za kwenda kwenye uzinduzi.

K**a huyu angekua Mbeya basi wasanii wa Mbeya wote wangekua Mjini na Media zetu zingekua zaidi ya baadhi ya Media zilizo Dar.

Unastahili Heshima Yako Seba .255 🌺 🌹 🌹 🌹

Cc Jensen Tv

Jensen Tv k**a kituo Bora cha habari za burudani kimataifa (International Entertainment News) kimetambua mchango wa Vitu...
04/06/2025

Jensen Tv k**a kituo Bora cha habari za burudani kimataifa (International Entertainment News) kimetambua mchango wa Vituo mbalimbali, Watangazaji na watu mbalimbali ambao wanamchango Katika tasnia ya burudani nchini.

Tupo katikati ya mwaka ni muda sahihi kutambua mchango wa watu mbalimbali Katika upande wa burudani ambao wamefanya vizuri.

Hii ni orodha ya Watu maarufu mtandaoni, Wasanii, Radio, TV na online Media na Watangazaji wengi wametajwa.

Fuatilia

Our birthday wishes goes to the one of  Best rapper in this era   Gucci mane.Happy birthday to you G
13/02/2025

Our birthday wishes goes to the one of Best rapper in this era Gucci mane.

Happy birthday to you G

Address

Ilomba
Mbeya

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Jensen Tv posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Jensen Tv:

Share