23/12/2025
Kuna generation nyingi za burudani nchini ambazo zimeacha legacy katika tasnia ya muziki hapa nchini, watangazaji mbalimbali waliweza kufanya vitu tofauti katika kiwanda cha burudani vitu ambavyo kwakiasi kikubwa vimeacha alama na kuweka njia kwa generation nyingine.
Mtu k**a nk hawa nimewataja kwa maana ya generation tofauti tofauti, kuna hapa Salama Jabir, anabaki k**a nguzo ya vijana wengi uwezo wake wa kuuliza maswali ambayo wengine wangeogopa basi yeye anakuuliza k**a swali la kawaida.
Sasa mimi nakuletea hii Gen Z generation, na moja kwa moja nakupeleka hadi hapa nataka nakukutanisha na kipaji cha kipekee sana, ambacho naamini akiendelea kupata airtime ya kutosha basi anakwenda kupanda mbegu ambayo soon matunda yake tutayaona katika vipindi vya burudani, ambavyo miaka ya hivi karibuni vilionekana kupoteza mvuto.
Huyu ni @
1. Ubunifu kwenye interview.
Hizi sifa zote nitaelezea kwa kumlejea , Kipindi hiki vijana wengi wanajitafuta kwenye utofauti ukizingatia na Generation ambayo kila mtangazaji wa burudani alitaka asikike k**a Bdozen, Kennedy the remedy, Adam Mchomvu, Dullah planet au Salama, hawa wasasa wanaishi kwenye u unique.
Style ya Dar Boi, kwanza yuko Slow kwenye kuongea na anakusikiliza then anauliza tena sio wakubishana, Always he sounds in the same tone, sio wa kupayuka au kuongelea puani.
Anauliza maswali ambayo wasikilizaji wangetamani kusikia, sio mtu wa udaku sana ila yuko deep sana kuhakikisha unapata burudani.
2. Fashionable.
"Music and fashion are inseparable " Vijana wanaofanya entertainment wana drip sana, ni wanyama na inatakiwa hivyo kwasababu hata wasanii wanao wa interview inawapa somo kuwa lazima niwe na mwonekano huu. Hapa Dar Boi ni mnyaka kabisa.
3. Voice Over & Event Hosts (MC)
Uwezo wa kufanya PA, Kufanya matangazo na Promotion lakini pia kusimamia shows.
Miaka mi 5 mbele kila radio itakuwa na Mtangazaji aina ya Dar Boi, sio kwa ubaya lakini kitu kizuri kinaishi, sio kwa kumuiga ufanyaji kazi wake, lakini watangazaji wengi watajitafuta kupitia style yake ya utangazaji.
Mimi ni mjumbe tuu naitwa