31/08/2025
“Nguvu ya pamoja ni muhimu sana katika kufanikisha ulinzi na usalama wa Waandishi wa Habari” - Wakili Onesmo Olengurumwa Mratibu wa Kitaifa wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), akizungumza katika Mdahalo wa Kitaifa kuhusu Ulinzi na Usalama wa waandishi wa Habari ulifanyika jiji Dar es Salaam katika Ofisi za UNESCO, leo Agosti 29 2025.
Aidha, Wakili Olengurumwa amemueleza IGP Camilius Wambura ambaye alikuwa mgeni rasmi katika Mdahalo huo kwamba, Jeshi la Polisi linapaswa kuwalinda Waandishi wa Habari kuelekea katika kipinidi cha Uchaguzi huku akiwaasa Waandishi wa Habari kuzingatia maadili ya uandishi wa habari k**a njia moja wapo ya kukaa katika mstari haki na kujilinda.tanzania